BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,349
Jamani makubwa nayasikia hapa kupitia Star TV.Wachambuzi maustaadh wanaeleza hadith za Mtume hasa mfungo na sikukuu ya Idi.Sasa hapa kwenye hitimisho ndio wamesema waislam waachwe waunde chombo chao wenyewe na si hii BAKWATA.
Wamesema Uundwaji na BAKWATA umechambuliwa vizuri na mwenzetu Mohamed Said kwamba malengo ya BAKWATA sio mazuri.Mwisho kabisa wamesema BAKWATA ni tawi la Kanisa....
My Take:
R.I.P Mwalimu Nyerere na mafunzo yako juu ya mshikamano
Tatizo la waislam ni kujiona wao ni bora kuliko watu wengine duniani jambo ambalo linawatesa mpaka vifo vyao
na hawaishi kulalamika kuwa wanaonewa hata kama utakaa naye nyumba moja anataka akubadili uishi atakavyo yeye hata kama yeye ni zoba anataka equalization na ukimzidi hata darasani anaanza kukushughulikia kwa ktumia ule utaratibu wao wa makaratasi meupe. Dawa yao imeshapatikana hawatafanya vurugu mpaka ipite miaka kumi kwa Pombe hatajali makunyanzi wala itikafu