Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Status
Not open for further replies.
Kuna baadhi ya habari nimezisikia kwenye uchambuzi wa magazeti redioni asubuhi ya leo, zimenipa mawazo kuwa kuna kazi kubwa na ngumu sana mbele ya safari kama kuna nia ya kweli ya kuleta uhuru wa pili hapa nchini.

Hili tukio lililotokea siku chache zilizopita ambalo liko mahakamani sasa limefanywa kuwa la kidini. ajenda hapa ni kutaka kuwagawanya watu na kuendelea kuwatawala kama alivyofanya mkoloni mzungu yaani ''divide and rule'' ndivyo anavyofanya mkoloni mweusi akishirikiana na waganga njaa ili kulinda maslahi yake. Yaani kazi ni ngumu kweli kweli.

"Mtu aliyefilisika kisiasa atatafuta kujihalalisha ama kwa uzawa (siyo uzalendo) ama kwa udini ama kwa ukabila....." Mwl Nyerere.
 
Kweli naamini zaidi kuwa uislamu ni dini ya kinafiki sana..................ilipotokea pemba watu kuuawa...waislamu waliilaani sn ccm.....ilipotokea mwembeyanga waislamu walilaani sana kwa kuwa huko kote ni waislamu na wala hawakusema kuwa hawaruhusiwi kuandamana.....ilipotokea pale arusha wakombozi wetu kuuawa km ngedere waislamu walikuwa wa kwanza kuisemea ccm na kuilaani chadema na kufurahia vifo vya raia wema.........kweli uislamu ni dini ya kinafiki sana
Hapana hapana,Dini ya Kiislamu sio ya kinafiki ila baadhi ya viongozi wetu wa dini ni wanafiki sana. Mbona kule Irani walimpiga yule mwanamke mzinzi mpaka akafa huku amevaa hijabu, mbona hawakumvua kusudi asije akadhalilisha dini yetu ya kiislamu????!!!!! Na hakukuwa na laana zozote za kuwalaani wa Irani kwa kudhalilisha dini ya kiislamu? Mbona wanaojitolea muhanga wanavaa hijabu na kanzu kwa nini basi tusilaamu kuwa wanadhalilisha uislamu??? Mbona wanmapinduzi wa Misri,Libya, Yemeni waliandamana wakivaa hizo hijabu na wakalipuliwa kwa mabobu na kuuawa huku wamevaaa hayo mavazi na hatukutokea mitaani kusema kuwa waliouawamedhalilisha dini ya kiislamu!!! Nasema hivyo sababu dini yetu ni ya mapendo na haiungi mkono kuua. Ni hayo machache ambayo hata wenzetu hawatuelewi
Masalaam
 
Kwa mtindo huo, hata suala la mabadiliko ya katiba litageuzwa kuwa la kidini! Itakuwa ni masikitiko makubwa na huzuni pale waislamu watakaporubuniwa na vibaka wa ccm kwa masilahi yao binafsi kwamba suala la mabadiliko ya katiba ni kwa ajili ya masilahi ya chadema! Huko ndiko tunakoelekea! Bado tuna safari ndefu lakini tutafika tu!
wewe mpu.mbavu hujui hitoria ya nchi hii. waislamu ndo waliodai uhuru wa nchi hii wameuawa wengi (fikiria kuhusu akina Abshiri bin Salim, hasan Omari Bin makunganya, Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi na hata waasisi wa Pre-TANU (TAA)) wakati wakiristo wakiwakumbatia kwa mwanvuli wa dini (kumbuka kule uchagani na uhayani waliandamana kupinga Tz kupata uhuru eti hatujawa tayari). Nahata nyerere alipokuja wakamkaribisha na kumlipa mshahara baada ya kuacha kazi Pungu sec. Lakini hapa unataka kutuaminisha kuwa wakristo ndo wanamapinduzi? waislam wana mfano, ni upi mfano wa wakristo.
Achana na hii histora uchara uliyosoma shuleni kwenu, jifunze historia ya ukweli ujue ukweli. Anyway tunajua kua uhuru tuliodai haukutusaidia, sasa tupo kwenye harakati za kutafuta uhuru wa pili ambao naamini hatutafanya makosa tena. Tuliweza na sioni sababu kwa nini tushindwe. We shall win, by any means. do not matter is today, tommorow or after. we shall have it.
 
  • Thanks
Reactions: Ami
Lawama zote kwa vyombo vya habari.. vinavyoendelea kuza ujinga huo
 
wewe mpu.mbavu hujui hitoria ya nchi hii. waislamu ndo waliodai uhuru wa nchi hii wameuawa wengi (fikiria kuhusu akina Abshiri bin Salim, hasan Omari Bin makunganya, Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi na hata waasisi wa Pre-TANU (TAA)) wakati wakiristo wakiwakumbatia kwa mwanvuli wa dini (kumbuka kule uchagani na uhayani waliandamana kupinga Tz kupata uhuru eti hatujawa tayari). Nahata nyerere alipokuja wakamkaribisha na kumlipa mshahara baada ya kuacha kazi Pungu sec. Lakini hapa unataka kutuaminisha kuwa wakristo ndo wanamapinduzi? waislam wana mfano, ni upi mfano wa wakristo.
Achana na hii histora uchara uliyosoma shuleni kwenu, jifunze historia ya ukweli ujue ukweli. Anyway tunajua kua uhuru tuliodai haukutusaidia, sasa tupo kwenye harakati za kutafuta uhuru wa pili ambao naamini hatutafanya makosa tena. Tuliweza na sioni sababu kwa nini tushindwe. We shall win, by any means. do not matter is today, tommorow or after. we shall have it.
Hivi Mtemi Mkwawa (aiyewapiga Wajerumani) alikuwa Muislam? Nilithani alikuwa akiabudu Mizimu...mwe...
 
Kuna baadhi ya habari nimezisikia kwenye uchambuzi wa magazeti redioni asubuhi ya leo, zimenipa mawazo kuwa kuna kazi kubwa na ngumu sana mbele ya safari kama kuna nia ya kweli ya kuleta uhuru wa pili hapa nchini.

Hili tukio lililotokea siku chache zilizopita ambalo liko mahakamani sasa limefanywa kuwa la kidini. ajenda hapa ni kutaka kuwagawanya watu na kuendelea kuwatawala kama alivyofanya mkoloni mzungu yaani ''divide and rule'' ndivyo anavyofanya mkoloni mweusi akishirikiana na waganga njaa ili kulinda maslahi yake. Yaani kazi ni ngumu kweli kweli.

Kwa kuwa hii kijani inawakera mimi naitumia kwa nini naipenda niachieni mwenyewe mi ni vejiteriani.

Hapa hakuna ugumu wowote ndugu yangu mkiamua kugawanyika mtagawanyika, mkiamua kuwa wamoja mtakuwa. Muhimu ni kila mmoja kujali hisia za mwingine. Kutendeana haki. kuacha kubaguana kwa kigezo chochote. kama ninastahiki usininyanyapae kwa ajili ya imani yangu, nipe ninachostahiki. kama sistahiki basi niambie ukweli usinipendelee na kumnyima anayestahiki.
 
wewe mpu.mbavu hujui hitoria ya nchi hii. waislamu ndo waliodai uhuru wa nchi hii wameuawa wengi (fikiria kuhusu akina Abshiri bin Salim, hasan Omari Bin makunganya, Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi na hata waasisi wa Pre-TANU (TAA)) wakati wakiristo wakiwakumbatia kwa mwanvuli wa dini (kumbuka kule uchagani na uhayani waliandamana kupinga Tz kupata uhuru eti hatujawa tayari). Nahata nyerere alipokuja wakamkaribisha na kumlipa mshahara baada ya kuacha kazi Pungu sec. Lakini hapa unataka kutuaminisha kuwa wakristo ndo wanamapinduzi? waislam wana mfano, ni upi mfano wa wakristo.
Achana na hii histora uchara uliyosoma shuleni kwenu, jifunze historia ya ukweli ujue ukweli. Anyway tunajua kua uhuru tuliodai haukutusaidia, sasa tupo kwenye harakati za kutafuta uhuru wa pili ambao naamini hatutafanya makosa tena. Tuliweza na sioni sababu kwa nini tushindwe. We shall win, by any means. do not matter is today, tommorow or after. we shall have it.

Mi naamini yanayoitwa matusi, yanakuwa matusi pale tu unapoamin kwamba ni matusi.
 
Mbona huyu "CD" nimewahi mshuhudia anakula "NOAH"... uislamu wake wanipa mashaka
 
wewe mpu.mbavu hujui hitoria ya nchi hii. waislamu ndo waliodai uhuru wa nchi hii wameuawa wengi (fikiria kuhusu akina Abshiri bin Salim, hasan Omari Bin makunganya, Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi na hata waasisi wa Pre-TANU (TAA)) wakati wakiristo wakiwakumbatia kwa mwanvuli wa dini (kumbuka kule uchagani na uhayani waliandamana kupinga Tz kupata uhuru eti hatujawa tayari). Nahata nyerere alipokuja wakamkaribisha na kumlipa mshahara baada ya kuacha kazi Pungu sec. Lakini hapa unataka kutuaminisha kuwa wakristo ndo wanamapinduzi? waislam wana mfano, ni upi mfano wa wakristo.
Achana na hii histora uchara uliyosoma shuleni kwenu, jifunze historia ya ukweli ujue ukweli. Anyway tunajua kua uhuru tuliodai haukutusaidia, sasa tupo kwenye harakati za kutafuta uhuru wa pili ambao naamini hatutafanya makosa tena. Tuliweza na sioni sababu kwa nini tushindwe. We shall win, by any means. do not matter is today, tommorow or after. we shall have it.

DUU! sikujua kama jeshi la mkwawa lilikuwa la waislamu! that means wahehe=waislam! asalam aleikum walahi!
 
Kuna baadhi ya habari nimezisikia kwenye uchambuzi wa magazeti redioni asubuhi ya leo, zimenipa mawazo kuwa kuna kazi kubwa na ngumu sana mbele ya safari kama kuna nia ya kweli ya kuleta uhuru wa pili hapa nchini.

Hili tukio lililotokea siku chache zilizopita ambalo liko mahakamani sasa limefanywa kuwa la kidini. ajenda hapa ni kutaka kuwagawanya watu na kuendelea kuwatawala kama alivyofanya mkoloni mzungu yaani ''divide and rule'' ndivyo anavyofanya mkoloni mweusi akishirikiana na waganga njaa ili kulinda maslahi yake. Yaani kazi ni ngumu kweli kweli.

taarifa hiihata haifahamiki chanzo chake.............vyombo vipi hivyo vya habari?????????

havina majina?
 
Kuna thread ilianzishwa "ni rahisi kumtawala mwislamu kuliko mkristo" they are so cheap.

We **** acha lugha zako za kis*nge s*nge kama hizi. Kama huna cha kuchangia kaa kimya...kwani lazima uchangie na kudhalilisha umma mzima kwa mawazo yako ya kishoga uliyofundishwa na mapadre walawiti wa sunday schools?... Samahani ndugu zangu wengine wakristo wastaarabu.

Ila hawa wengine ni lazima kudeal nao kama wanavyopenda wao... Za uso mpaka tutaelewana tu.
 
Hivi Mtemi Mkwawa (aiyewapiga Wajerumani) alikuwa Muislam? Nilithani alikuwa akiabudu Mizimu...mwe...
Who told you? lakini pia rudi kwa post ya yule anayewakebehi waislam ambaye haswa ndo mlengwa wa post yangu. hivi sio waislam waliopigania uhuru wa nchi hii tangu mkoloni mjerumani? halafu jamaa analeta kashfa za kijinga?
 
Duh! Kutokana na hiyo picha huyo mama ni amevaa hijab tatizo watu hawajui maana ya hijabu wanafikiri ni vazi fulani rasmi sivyo hivyo wakuu vazi lolote linasitiri maungo ya mwanamke kutokana na taratibu za kiislamu ni hijabu hiyo.
Nauliza je wafuasi wachadema na viongozi wao kama kweli ni wapenda haki na kufuata utaratibu wa kisheria, hivyn walivyofanya ndo busara zao? Hawa kweli wakishika nchi watatoa haki kwa watu wanaowapinga kwa kufuata taratibu wakati kwenye hili waliamua kuchukua sheria mkononi? Na wanao watetea wakinamama kwa unyanyasaji kama huu wapo wapi kama sio wanafiki? Mimi sitokuja kuiunga mkono chadema hata siku moja kama hawatajirekebisha na huyu maelezo ya Tundu Lisu yanadhihirisha kuwa huyu mtu akili yake ni finyu and he only goes by the book je ni amekariri alivyovisoma darasani na hana uwezo kiakili kutumia busara na taaluma kwa pamoja au ni ujeuri na ubishi wa kutokubali kujirekebisha na kuomba radhi pale kwenye kosa?
 
Kwa kuwa hii kijani inawakera mimi naitumia kwa nini naipenda niachieni mwenyewe mi ni vejiteriani.

Hapa hakuna ugumu wowote ndugu yangu mkiamua kugawanyika mtagawanyika, mkiamua kuwa wamoja mtakuwa. Muhimu ni kila mmoja kujali hisia za mwingine. Kutendeana haki. kuacha kubaguana kwa kigezo chochote. kama ninastahiki usininyanyapae kwa ajili ya imani yangu, nipe ninachostahiki. kama sistahiki basi niambie ukweli usinipendelee na kumnyima anayestahiki.
very usefull post. japokuwa nipo agaist na chama cha majmbazi (ccm)
 
Who told you? lakini pia rudi kwa post ya yule anayewakebehi waislam ambaye haswa ndo mlengwa wa post yangu. hivi sio waislam waliopigania uhuru wa nchi hii tangu mkoloni mjerumani? halafu jamaa analeta kashfa za kijinga?

Anyway uzoefu wangu unaonyesha suala la dini liko very sensitive kiasi kwamba hata watu ambao mpo kimtazamo mmoja kisiasa mnaweza mkavurugana mara moja iwapo dini itaingilia kati majadiliano. Mimi nadhani suala la dini halitazuia ukombozi. Wapo watu wachache sana wakristo kwa waislamu ambao yaani wao kila kitu kinachotokea ulimwengu huu wanakitafsiri kidini. Mara oh hivi huyu kweli akiwa atatupatia mahakama ya kadhi? Wengine kama walokole wako busy kweli na tafsiri zao za zama za mwisho na kunyakuliwa. Lakini hayo yote yanapaswa kuwa maisha private ya kidini. Tusiyaruhusu yaingilie siasa. Bahati nzuri kwa mfumo ulioasisiwa na Mwl. Nyerere waislam wa bara walio wengi wameweza kuzoea hali ya utenganisho wa serikali na mambo ya dini. Wale wa Zanzibar kidogo hali ni tete maana hawawezi kutenganisha serikali na dini na unapoona hadi baa zinachomwa moto lakini serikali ya znz imekaa kimya na baraza la wawakilishi linasupport uhuni wa kupiga vita pombe hapo kuna safari ndefu kweli. Kwa ujumla wake dini Tanzania halijawa jambo kubwa kivile kuzuia mabadiliko ya kweli ya kutuletea uhuru.
 
Mkuu, mbona unaanza kwa matusi? Sio ustaarabu huo. Aidha acha udini eti waislaam ndio waliopigania uhuru wa nchi hii. Kumbuka wale wazee walipigania uhuru wa Tanganyika si kama waislaam bali kama Watanganyika ila dini yao wengi wao walikuwa waislaam. Je yule tajiri mkubwa na mfadhili mkuu wa TAA na baadaye TANU Mhe. John Rupia alikuwa muislaam? Na kama suala lilikuwa ni udini (Uislaam), ilikuwaje wamkubalie Mwl. Nyerere, Mkristo aungane nao kupigania uhuru huo? P/se Mkuu be sensible and think logically as a great thinker, member of JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom