wewe mpu.mbavu hujui hitoria ya nchi hii. waislamu ndo waliodai uhuru wa nchi hii wameuawa wengi (fikiria kuhusu akina Abshiri bin Salim, hasan Omari Bin makunganya, Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi na hata waasisi wa Pre-TANU (TAA)) wakati wakiristo wakiwakumbatia kwa mwanvuli wa dini (kumbuka kule uchagani na uhayani waliandamana kupinga Tz kupata uhuru eti hatujawa tayari). Nahata nyerere alipokuja wakamkaribisha na kumlipa mshahara baada ya kuacha kazi Pungu sec. Lakini hapa unataka kutuaminisha kuwa wakristo ndo wanamapinduzi? waislam wana mfano, ni upi mfano wa wakristo.
Achana na hii histora uchara uliyosoma shuleni kwenu, jifunze historia ya ukweli ujue ukweli. Anyway tunajua kua uhuru tuliodai haukutusaidia, sasa tupo kwenye harakati za kutafuta uhuru wa pili ambao naamini hatutafanya makosa tena. Tuliweza na sioni sababu kwa nini tushindwe. We shall win, by any means. do not matter is today, tommorow or after. we shall have it.
Mkuu mbona unaanza kwa matusi? Huo sio ustaarabu. Pili acha udini, kumbuka wakati wale wazee wanapigania uhuru wa Tanganyika hawakupigania kama waislaam, la hasha bali wengi wao dini yao ilikuwa uislaam. Kama walipigania kidini basi wasingewakaribisha Mwl. Nyerere na wengine kama akina Oscar Kambona katika chama cha TAA na baadaye TANU. Au unasemaje kuhusu yule mwanachama aliyekuwa tajiri mkubwa na mfadhili mkuu wa TAA na baadaye TANU Mhe. John Rupia. Ilikuwaje naye awe katika mapambano hay? Kama wangekuwa na dhana mbovu ya udini kama yako, nadhani kwa ubinafsi huo mpaka leo tungekuwa chini ya wakoloni.