Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Status
Not open for further replies.
Naheshimu mawazo yenu,ila cdm waangalie kwa makini juu ya hili suala kinachozungumziwa ni tukio la kuvuliwa hijab na si kingine,wajaribu kueleza uma ilikuwaje hijab ikavuliwa wakati mtu walishamdhibiti?na sikufananisha na ahadi za ccm za mahakama ya kazi kwani hazihusiani na udhalilishaji huu.kama dc alikuwa na makosa haikupaswa kufikia kuvuana nguo na kuwekana uchi.[/QUOTE

Jamani mbona mnapenda kukuza hata mambo madogo? Tangu lini kuvua hijab ni kuwa uchi? Ingekuwa hivyo si ingekuwa balaa? wanawake wangapi wa kiislamu wanaranda mitaani bila hijab? Au mtu akiwa DC ndio anakuwa muislamu sana? Yawezekana hijab ilivuka bahati mbaya ktk hizo prukshani za kubishania alichoenda kukifanya huko!
katika dini ya kiislamu mwanamke sehemu yote ya mwili wake ni uchi ila uso na Viganja vya mikono ndivyo vinaruhusiwa kuonekana!hao wanaokuwa kinyume na hivyo ni uchi tu hakuna mjadala!
 
Mkuu sasa hivi si tayari mko kwenye mchakato wa kuanzisha mahakama ya Kadhi? au kuna mahakama ya Kadhi nyingine itakayokuja baadaye zaidi ya hii mnayoiandaa sasa hivi?
Kuhusu hayo mambo ya shari sisi wakristu kwa kweli hatuyawezi....sisi ni kama kondoo tu...kama mna majambia huko njooni mtuchinjilie mbali tu...maana tumefundishwa ..'Tusiwapinge waovu/adui....mtu akikupiga shavu la kushoto , mpe na la kulia'. Sisi tunaomba uzima na afya njema ili tuweze kuiona hiyo mahakama ya Kadhi ya kishindo!
Usitufundishe silaha za kutumia wakati ukifika wakati nyinyi mna makombora kwenye tume zenu za kijeshi.Muda ukifika tutanyang'anyana hizo hizo ambazo ni kutoka kodi zetu sote.Labda muite drones kutoka Sychelles.Zenyewe zitatuuwa sote kwani hazichagui.
 
wapeleke ujinga huko,wale machangudoa wanaouza mbunye kule zanzibar halafu wanafutia hijab mbona hawajaenda kuwafuata?wadili na mambo ya msingi na wawaeleze waislam ni kwa nini ccm haiwapi waislam ilichowaahidi?
bakwata ni taasisi ya ccm kama ilivyo uvccm uwt nk hawana maana hawa wamerudisha maendeleo ya waislamu nyuma miaka hamsini na wanachojua ni uchonganishi tu.
hivi ni lini wasomi wa kiislamu wataingia kwenye hizi taasisi kila taasisi inaongozwa na vilaza mara utasikia tunadhulumiwa mara nini.

watu kama january makamba,pro ibrahim lipumba,dk husein mwinyi,dk kigwangala ndio wanaotakiwa kushika taasisi za kiislamu sio hawa wanaoshindana kwa kumiliki majini dunia sasa hivi ni sayansi na teknolojia.

RIGO EDMUND

With all due respect I support your points. I have said,I am saying and I'll kee saying again and again that,ISLAMIC RELIGION IS JUST A BUNCH OF HOOLIGANS! I am very sorry to say that but that is the truth!

Haingii akilini hata kidogo hawa watu wameshuapalia ISSUE YA HIJAB alokuwa amevaa DC wakti akifanya UHALIFU,UVUNJIFU WA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI kule Igunga. Yaani WAISLAMU na BAKWATA YAO hawajaona makosa aliyotenda huyu DC ya kuvunja sheria na Katiba ya nchi kuhusu Uchaguzi BAALI WAMEONA KUVULIWA HIJAB TUU??? Huu ni upuuzi,ujinga na uzezeta wa kushindwa kuona mambo ya msingi na kukomalia mambo ambayo ni very minor.

Pengine tu mimi niwaulize WAISLAMU popote walipo duniani kuwa:
  1. Naamini kunapotokea prukushani au vurugu za aina yoyote mahali popote pale kama vile fumanizi, kamata kamata ya polisi/raia au kitu kama ajali kuna WAISLAMU wengi tu mavazi yao huwa yanavuliwa au kutoka kwenye miili yao.Je,huo huwa ni udhalilishaji wa UISLAMU?
  2. Wewe ni kibaka na umekamatwa na raia wema au polisi ukiwa umevaa sijui KANZU,BARGASHIA(SALAMA ALEIKUM),HIJAB n.k ukatiwa kibano na hayo mavazi yako ya kidini yakatoka mwilini,HIVI UTAANZA KULAUMU KUWA UMEDHALILISHWA???????
  3. Kuna hawa WAISLAMU maarufu kama SUICIDER BOMBERS, ambao huwa wanavalia kininja yaani FULL MABUBUI NA HIJABU halafu wanabakiza macho tu HUKU WAKIWA WAMEBEBA MABOMU YA KULIPUA WENZAO,Je,wakikamatwa na kupewa kibano na wakaamuliwa kuvua hayo mavazi ITAKUWA NI KUDHALILISHA UISLAMU???
Waislamu bila shaka hawatakuwa na majibu sahihi ya maswali haya. Kama waislamu ni wapenda HAKI,basi MLAANI KWANZA KITENDO CHA DC FATMA CHA KUINGILIA NA KUTAKA KUVURUGA TARATIBU NA SHERIA ZA UCHAGUZI HUKO IGUNGA. Nje ya hapo tunaona kuwa WAISLAMU MNATUMIWA NA CCM KAMA MTAJI WA KURA.

Pengine tuwakumbushe tu JINSI CCM INAVYOWATUMIWA WAISLAMU KAMA MTAJI. MAHAKAMA YA KADHI ni moja ya UDANGANYIFU WA CCM ILIOTUMIA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2005 KWENYE ILANI YA UCHAGUZI ili kuwarubuni WAISLAMU MUIPE CCM KURA. Kwa vile MUSLIMS NI WAVIVU WA KUFIKIRI WALIINGIA MKENGE WAKAIPA CCM KURA LAKINI MPAKA KESHO HAKUNA CHA MAHAKAMA YA KADHI!! Lakini kwa vile hawa jamaa wana akili finyu bado wanaendelea kudanganywa na kutumiwa na CCM kwa ujinga wao.

Poleni sana WAISLAMU!
 
Kuna mijitu ni akili finyu kweli!
Mtu kavuliwa kilemba, nguo aibu iwapate waislamu wote duniani.
Sasa wangemnanihii ina maana waislamu wote duniani wangekuwa wamenanihiwa???
Mbona sijasikia mume wake akipiga kelele?
Mwenye mali yuko kimyaaa! Huyu anakuja na zake za akili zero.
Au huyo mama ni Ring Bounce watu wanagombea kufunga?
Acheni ujinga ongeeni mambo yenye akili.
 
Hili jambo linakuzwa bure ili kujenga udini udini, tena linashabikiwa na Clouds FM na kibonde wao na analysis zake za elimu ya chini ya mti - hili suala lilikuwa la kisiasa lakini kwa kujikomba komba kwa watu na njaa zao wanalipika ili ligeuke kuwa la kidini, sasa waache waweke mafuta ya petrol kwenye cheche za moto - then petrol itakapolipuka tuone kama watu watakumbuka hivyo vibaragashia,mitandio na hijabu.

Liendelezeni tu hili jambo ki ushabiki wa kisiasa kwa kutumia viongizi wa kidini kulikuza ila mjue yatakayotokea na nyie hamtakuwa salama. sisi wenye akili tunajua movement hizi ni njaa tu zinasumbua watu.
 
Waislam jamani angalieni taifa lenu kwa ujumla, tunataka mabadiliko yenye kuleta maendeleo.
  1. yule mama pale alikua katika shughuli za namna gani? kisiasa,kidini,kiserikali,kijamii?
  2. kama sio kidini, kuna uhusiano gani sasa kati yenyu na serikali kiasi kwamba nyie mnaguswa sana kupita watanzania wengine?
  3. huyu mama kafungua kesi mahakamani, subirini muone kitachojiri
  4. mauaji mangapi yanafanywa na serikali hamuiambii iombe radhi kwa waathirika
Waislam jaribuni kuwa RATIONAL, kama mnatumiwa kuweni macho. yeye mwenyewe aliwaambia 'zile za kushuka.....'
 
Ningewashauri waislam wangeandamana kwa hii issue ya Mweka hazina wa CCM MBUNGE MWIGULU kuzini na mke wa imam pale Igunga maana kama maandiko ndani ya quraan inavyosema"msiikaribie zinaa";ni dhahiri kabisa kosa la kuzini ni kubwa kuliko kumvua mtu hijab!

Otherwise wanaweza kuandamana kuhusu hijab kama wana lao jambo lingine la kisiasa zaidi la kimaadili!

facts zake zipo? zipo wazi?
 
Kuna mijitu ni akili finyu kweli!
Mtu kavuliwa kilemba, nguo aibu iwapate waislamu wote duniani.
Sasa wangemnanihii ina maana waislamu wote duniani wangekuwa wamenanihiwa???
Mbona sijasikia mume wake akipiga kelele?
Mwenye mali yuko kimyaaa! Huyu anakuja na zake za akili zero.
Au huyo mama ni Ring Bounce watu wanagombea kufunga?
Acheni ujinga ongeeni mambo yenye akili.
Mkuu ni aibu, yule mama ndiyo sasa wanamdhalilisha, kila mtu kajua sasa alivuliwa hijabu, hatujui na vingine walivyomvua ngoja tusubiri. Ningekuwa mimi ni mama yangu ningemwambia wasimtumie kuwa mtaji wa kuombea kura, aibu tupu hii.
 
RIGO EDMUND

With all due respect I support your points. I have said,I am saying and I'll kee saying again and again that,ISLAMIC RELIGION IS JUST A BUNCH OF HOOLIGANS! I am very sorry to say that but that is the truth!

Haingii akilini hata kidogo hawa watu wameshuapalia ISSUE YA HIJAB alokuwa amevaa DC wakti akifanya UHALIFU,UVUNJIFU WA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI kule Igunga. Yaani WAISLAMU na BAKWATA YAO hawajaona makosa aliyotenda huyu DC ya kuvunja sheria na Katiba ya nchi kuhusu Uchaguzi BAALI WAMEONA KUVULIWA HIJAB TUU??? Huu ni upuuzi,ujinga na uzezeta wa kushindwa kuona mambo ya msingi na kukomalia mambo ambayo ni very minor.

Pengine tu mimi niwaulize WAISLAMU popote walipo duniani kuwa:
  1. Naamini kunapotokea prukushani au vurugu za aina yoyote mahali popote pale kama vile fumanizi, kamata kamata ya polisi/raia au kitu kama ajali kuna WAISLAMU wengi tu mavazi yao huwa yanavuliwa au kutoka kwenye miili yao.Je,huo huwa ni udhalilishaji wa UISLAMU?
  2. Wewe ni kibaka na umekamatwa na raia wema au polisi ukiwa umevaa sijui KANZU,BARGASHIA(SALAMA ALEIKUM),HIJAB n.k ukatiwa kibano na hayo mavazi yako ya kidini yakatoka mwilini,HIVI UTAANZA KULAUMU KUWA UMEDHALILISHWA???????
  3. Kuna hawa WAISLAMU maarufu kama SUICIDER BOMBERS, ambao huwa wanavalia kininja yaani FULL MABUBUI NA HIJABU halafu wanabakiza macho tu HUKU WAKIWA WAMEBEBA MABOMU YA KULIPUA WENZAO,Je,wakikamatwa na kupewa kibano na wakaamuliwa kuvua hayo mavazi ITAKUWA NI KUDHALILISHA UISLAMU???
Waislamu bila shaka hawatakuwa na majibu sahihi ya maswali haya. Kama waislamu ni wapenda HAKI,basi MLAANI KWANZA KITENDO CHA DC FATMA CHA KUINGILIA NA KUTAKA KUVURUGA TARATIBU NA SHERIA ZA UCHAGUZI HUKO IGUNGA. Nje ya hapo tunaona kuwa WAISLAMU MNATUMIWA NA CCM KAMA MTAJI WA KURA.

Pengine tuwakumbushe tu JINSI CCM INAVYOWATUMIWA WAISLAMU KAMA MTAJI. MAHAKAMA YA KADHI ni moja ya UDANGANYIFU WA CCM ILIOTUMIA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2005 KWENYE ILANI YA UCHAGUZI ili kuwarubuni WAISLAMU MUIPE CCM KURA. Kwa vile MUSLIMS NI WAVIVU WA KUFIKIRI WALIINGIA MKENGE WAKAIPA CCM KURA LAKINI MPAKA KESHO HAKUNA CHA MAHAKAMA YA KADHI!! Lakini kwa vile hawa jamaa wana akili finyu bado wanaendelea kudanganywa na kutumiwa na CCM kwa ujinga wao.

Poleni sana WAISLAMU!

Well said. That's how a great thinker should be in analysis. Congrats.
 
Asaaam aleykum
mimi ni mwislam, Natafakari tamko la kulaani alotendewa DC wa Igunga. Je viongozi wangu wa Bakwata na Basuta kabla ya kulaani wamejadili nini kilichomsibu Mheshimiwa Fatuma kuwa pale alipokuwa na kufikwa na kadhia ile ni maridhawa kwa kiongozi kama yeye. pia wamedurusu Uislam wa Fatma kimatendo na kujua hulka yake kimaadili na kisiasa.
Viongozi wangu wa Dini ya Haki. Msiingizwe kwenye masuala ambayo mwisho wa siku mtahukumiwa kuwa wapiga zumari wa wanasiasa.

Hijabu huvaliwa sasa na hata machangudoa. Je kwa kufanya hivyo wanautukuza Uislam Wetu .

Sarakasi za Igunga tuwaachie Wanasiasa na sisi tuendelee na Kalima ya Laah Ilaah Illalah............................

Fatuma yuko kwenye siasa na huko wako wote Waislam na wasio Waislam Vyama Vyote. Suala liko Mahakamani na wenye dhamira ya kumtetea Fatuma na wakajiorozeshe Mahakamani.
 
wapeleke ujinga huko,wale machangudoa wanaouza mbunye kule zanzibar halafu wanafutia hijab mbona hawajaenda kuwafuata?wadili na mambo ya msingi na wawaeleze waislam ni kwa nini ccm haiwapi waislam ilichowaahidi?
bakwata ni taasisi ya ccm kama ilivyo uvccm uwt nk hawana maana hawa wamerudisha maendeleo ya waislamu nyuma miaka hamsini na wanachojua ni uchonganishi tu.
hivi ni lini wasomi wa kiislamu wataingia kwenye hizi taasisi kila taasisi inaongozwa na vilaza mara utasikia tunadhulumiwa mara nini.

watu kama january makamba,pro ibrahim lipumba,dk husein mwinyi,dk kigwangala ndio wanaotakiwa kushika taasisi za kiislamu sio hawa wanaoshindana kwa kumiliki majini dunia sasa hivi ni sayansi na teknolojia.
nyie kanisa tu,nani asiyelijua hilo?ndo maana hamtapata urais hata siku moja.
 
Majibu ya kejeri dharau kwa wafuasi na baadhi ya viongozi wa cdm kwa umma wa kiislam sidhani kama utakijenga chama. mjadala huu hata baadhi ya wafuasi wa cdm ambao ni muslim tayari umewafanya waielewe cdm jinsi inavyodharau waislam na uislam.

Ebu niambieni kwa viongozi wa cdm kama wangetamka kichama kuwa " sisi kama viongozi wa chama tunaomba radhi kwa jaziba iliyotumiwa na wafuasi wetu katika kupambana na kile walichokiona ni tatizo,tunaomba radhi na tunawaombea pia na wafuasi wetu kwa kitendo kile walichpkifanya". Ivi kweli siwangekuwa wamesimamisha mjadala?
 
Nilipata kusikia kuwa mwanamke wa kiislamu hataiwi kufanya kazi kwa mujibu wa kulwani, sasa iweje huyo mwanamke kufanya kazi? eti mwanamke pambo la nyumba. je hiyo si kukiuka sharia ya kiislaamu kwa mwanamke kufanya kazi? mbona hicho kitendo hakijapigiwa kelele? Huo ni unafiki
 
kama nyie dini yenu mumeichezea musiwe na wivu wengine wakiheshimu dini yao wacheni ushabiki

Wewe unachekesha kweli!!!!!!!!!!!!!!!. mngekuwa mnafuata imani ya dini mngefanya yale mauaji na kupiga watu kule babati Arusha. Mlimuuwa mchungaji wa watu bila sababu leo hii mnataka kuleta vita kwa ajili ya hijabu tuwaelewe vipi? Ndio maadili ya dini yenu yanavyowafundisha, wale waliowaingilia watu kanisani kule babati waliwakosea nini na mlikuwa hamju ya kuwa kuna mahakama? Imani za mauaji ni za mauaji tu msijitetee, waumini na wazuri ila uongozi wao ni mbovu mno.

Sisi hatuna wivu wa kuuwa, maadili yetu yatufundisha kuheshimiana. Sisi tunajua waumini wenu walisha wadharau nyinyi viongozi vigeugeu ni watu ambao mnapenda kupalilia matumbo yenu wakati kila mmoja anamajukumu yeke nyumbani kwake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom