Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
katika dini ya kiislamu mwanamke sehemu yote ya mwili wake ni uchi ila uso na Viganja vya mikono ndivyo vinaruhusiwa kuonekana!hao wanaokuwa kinyume na hivyo ni uchi tu hakuna mjadala!Naheshimu mawazo yenu,ila cdm waangalie kwa makini juu ya hili suala kinachozungumziwa ni tukio la kuvuliwa hijab na si kingine,wajaribu kueleza uma ilikuwaje hijab ikavuliwa wakati mtu walishamdhibiti?na sikufananisha na ahadi za ccm za mahakama ya kazi kwani hazihusiani na udhalilishaji huu.kama dc alikuwa na makosa haikupaswa kufikia kuvuana nguo na kuwekana uchi.[/QUOTE
Jamani mbona mnapenda kukuza hata mambo madogo? Tangu lini kuvua hijab ni kuwa uchi? Ingekuwa hivyo si ingekuwa balaa? wanawake wangapi wa kiislamu wanaranda mitaani bila hijab? Au mtu akiwa DC ndio anakuwa muislamu sana? Yawezekana hijab ilivuka bahati mbaya ktk hizo prukshani za kubishania alichoenda kukifanya huko!