Achana na redio zao zisizo na mshiko, sikiliza zile za wakristu usikie, wanawapongeza waislamu kwenye sherehe zao, no grudges yaani! hawa jamaa wamevaa mabomu kwenye viremba vyao, wasikushughu8lishe, their destiny is to die!Bakwata na Basuta mmeliona la hijabu tu, mnasemaje kuhusu redio imaan ya morogoro na vipazia sauti vinavyokashifu wakristo kwa sauti za kupaza? Mnadhani ni nmyie tu ndo mmedhalilishwa? Yametokea na yanaendelea kutokea katika taasisi kubwa ya umma ya elimu ya juu mpya hapa nchini ya mwanachuo kupigwa na kuchomwachomwa vitu na wanachuo waliovaa hijabu hamkukemea ndo kusema nyie moyo wa aina gani ambao wenzenu wanahalali ya kukashifiwa tu?Kemeeni haya ya waumini wenu ama kemeeni mioyo yenu pia kama mnawatuma wafanye haya
Umekosea! This thread is about jumuia mojawapo ya CCM, inaitwa bakwata! I wonder siku CDM tutakapoingia madarakani, sijui watateuliwa na nani!Chadema ni adui mkubwa atakae igawa nchi yetu kwa Ukristo na Uislam! Mungu tuepushie mbali balaa hili la Chadema!
CDM ni adui wa mafisadi ambao wengi wamo CC Magamba, hapo inaeleweka!Na magamba ni rafiki wakuu wa uchafu na ufisadi!Chadema ni adui mkubwa atakae igawa nchi yetu kwa Ukristo na Uislam! Mungu tuepushie mbali balaa hili la Chadema!
Hivi kwanini hawajasema "walimshambulia na kumdhalilisha" kwa sababu ya kabila lake?
Hivi, mwanamke kibaka akiwa amevaa hijabu na kupigwa NAKWATA watakuja kusema waliompiga waombe radhi ?? nauliza hivi kwasababu mama Kimario alichofanya ni kibayaza zaidi ya mwizi wa simu nk.
Swali la pili, je alivuliwa kweli au purukushani ilisababisha kilemba kitoke?? na kama ni hivyo je mwanamke mwenye hijabu asiguswe kuanzia leo?? hata akiua kwa kuhofia hijabu litaanguka??
Swali la tatu, hivi kweli kabisa bakwata (hao wengine huwa siwaelewi) hili ndilo la kufocus badala ya kuangalia jinsi machangudoa wanavyotumia hijab vibaya hasa mkoa wa Tanga na zanzibar???
IF WEARE REALLY SEROUS KUIMARISHA DINI, BASI BAKWATA WANGEANZA NA HAYO YA JAMII KABLA YA KUINGIA KWENYE SIASA, LAKINI KWASABABU HATA VIONGOZI WA DINI SIKU HIZI NI WANASIASA TU, BASI KWAO HILI PIA NI SAWA
hivi, mwanamke kibaka akiwa amevaa hijabu na kupigwa nakwata watakuja kusema waliompiga waombe radhi ?? Nauliza hivi kwasababu mama kimario alichofanya ni kibayaza zaidi ya mwizi wa simu nk.
swali la pili, je alivuliwa kweli au purukushani ilisababisha kilemba kitoke?? Na kama ni hivyo je mwanamke mwenye hijabu asiguswe kuanzia leo?? Hata akiua kwa kuhofia hijabu litaanguka??
swali la tatu, hivi kweli kabisa bakwata (hao wengine huwa siwaelewi) hili ndilo la kufocus badala ya kuangalia jinsi machangudoa wanavyotumia hijab vibaya hasa mkoa wa tanga na zanzibar???
if weare really serous kuimarisha dini, basi bakwata wangeanza na hayo ya jamii kabla ya kuingia kwenye siasa, lakini kwasababu hata viongozi wa dini siku hizi ni wanasiasa tu, basi kwao hili pia ni sawa
Mimi nilijua tu ya kwamba CCM wamezungumzia Hijabu kwa maana maalum. Na nilijua kwa uhakika waislaam watakuja hapa na kupiga makelele kuhusiana na mwanamke kuvuliwa Hijab lakini bila weledi wa maudhui ya uvaaji wa Hijab. Sababu sii kuvuliwa Hijab kwa sababu hata unapokwenbda kupiga picha ya passport mwanamke hulazimika kuivua Hijab..
Baraza kuu la waislam Tanzania(BAKWATA), na Baraza kuu la Answar suna Tanzania(BASUTA), kwa pamoja wamelaani kitendo cha viongozi wa CDM Kumvua hijabu DC Fatuma kimario wamesema kitendo hicho walichofanya chadema kwa mujibu wa uislam ni kama wamewadhalilisha waislam wote Duniani kwa hiyo amewataka viongozi wa CHADEMA kuwaomba radhi waislamu.
Naibu mufti akiwa mjini Tabora alisema Fatuma ana imani yake japo ni DC, heshimuni imani yake kwani waliomchagua wanajua kuwa imani yake inamtaka avae hijab alisema sheikh mohamed issa wa Answar Sunna.
CHANZO: Taarifa ya habari Radio Imaan
Mkuu hapo umenizindua. Hivi si tuliambiwa Chadema ni chama cha Wachaga? huyu Kimario inakuwaje anaiba shahada na kufanya njama ovu kwa niaba ya CCM wakati chama cha kabila lake ni kingine? Kumbe CCM kuna wachaga nako? Hivi na hao waliomkwida huyo mama hawakujua ni Mchaga?Hivi kwanini hawajasema "walimshambulia na kumdhalilisha" kwa sababu ya kabila lake?
CUF na CCM ndiyo wana jua siasa...Nimesoma michango ya wana JF jana na leo kwenye hii kadhia sijaona hekima za Chadema kama zipo.
Wengine wanasema hatuombi radhi na wengine wanajitia ufundi wa kutaka kuwafafanulia waislamu maana ya hijabu ili lile tukio lionekane ni upuuzi.
Kwa kweli nawasikitikia Chadema kwani kupitia hii habari wamekwisha,wazungu wanasema they are cornered. Hawajui siasa ni bora wavunje chama watafute shughuli ya kufanya.Yaani mpaka hapa siku moja imekwenda ndio kwanza wanasikiliza maneno ya mashabiki wao.
Mpaka muda huu hawajapata mtu wa kuwatahadharisha juu ya hisia za waislamu na madhara yake huko mbele?.Hawajaona kwamba hapa habari imekuwa tofauti na kampeni za vyama?.Hawajaona kwamba Bakwata kwa hili hawana mzozo na wenzao wengine na si rahisi kuwaparaganya waislamu kupitia maneno ya mashabiki.
Mkuu Mkandara
Wanawake wa Kiislam wanapiga picha za passport pamoja na mitandio yao. Wanachotakiwa kufanya ni kurudisha nyuma tu ili uso wote uonekane (kama inavyotumika kwenye picha za Visa za Marekani, Uingereza, URUSSI, Japan, na kwengineko duniani)