Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Status
Not open for further replies.
Kabla hujaenda kumuuliza mwalimu wa madrasa, wewe binafsi unaichukua CDM simply kwa sababu ni muislam?
Mimi sio mwislamu lakini ni CCM damu na ninachukia CDM vibaya sana.
 
Mnanishangaza waislam na hasa Cuf ngangari. Cuf kwa miaka mingi kimekuwa mhanga wa siasa maji taka za ccm za udini. Leo hii waingia kwenye reli zao! Naiheshimu dini ya Kiislamu, nusu ya ndugu zangu watoka huko. Nimesoma misingi ya dini ya Uislam, hili ya baadhi ya hulka ya waislamu wa Tz hasa viongozi lanishangaza.

Ulaya na amerika dini ya Kiislamu yazidi kujitanua na kukua kwa sababu ya kusimamia haki, ukweli, utu, upendo na maadili. Imekuwa kimbilio kwa wanyonge na wahanga wa "mfumo dola kandamizi na mfumo dume".

Kwa tz, ni kinyume ukristo unakua kwa sababu - kwa uafadhali kulinganisha na uislam - unawasaidia watu kuijua haki, kweli na kukabiliana na changamoto za ubindamu zinazokwaza ukristo wao.

Amkeni ndugu zangu waislam. Mnatumika mno na mifumo dola. Matatizo ya uislamu yanatokana na ubovu ndani ya taasisi za kiislam. Ili kutoa pressure, viongozi wa kiislamu wanatafuta scapegoat. Chadema mnaionea bure. Adui yenu mnamjua. Si muislam wala mkristo. Ni mfumo tawala na kandamizi wa ccm. Wenye nchi - waarabu na wahindi - wako kimya na ccm yao. AMKA!
 
Mimi sio mwislamu lakini ni CCM damu na ninachukia CDM vibaya sana.
Nafurahi kuona umeamua kubadili dini coz umechoshwa na uislam. jumapili tutakubatiza na utaitwa Furaha.
 
Niambie tofauti kati ya Kanzu na Hijab, muislamu?
Maswali ya kipuuzi kawaulize wanao. Mtu mjinga siku zote yale mambo yasiyo na maana ndiyo anayopoteza muda mwingi kujadili na kuacha yale ya msingi kwa vile hataki/hawezi kutumia ubongo wake.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
wewe sio muislamu, waislamu wote ni sawa na mwili kinapouma kidole mwili mzima unauma, sasa wewe amevuliwa hijabu muislamu mwenzako unasema huungi mkono, kama wewe ni muislam ni mnafiki au huijui dini yako, cdm itabaki hapa hapa duniani dini unakwenda nayo kwa mungu wako,
<br />
<br />
inavooneka wewe unashiriki kuhamasisha watu KUJILIPUA KWA MABOMU YA KUJITOA MHANGA.kwani ukiwa muislamu ukubari kila kitu hadi ujinga?
 
CDM lazima ikubali kuweka mgombea mislamu ndio hapo itapata msaada wa waislamu, msaada huo utakuja kwa kura na pesa. Bila nguvu ya waislamu chama hakitaendelea.
CCM inapata support ya wailsamu na wakristo lakini nyie ni support ya baadhi ya wakristo tena ni wa kikatoliki tu.
 
CDM lazima ikubali kuweka mgombea mislamu ndio hapo itapata msaada wa waislamu, msaada huo utakuja kwa kura na pesa. Bila nguvu ya waislamu chama hakitaendelea.
CCM inapata support ya wailsamu na wakristo lakini nyie ni support ya baadhi ya wakristo tena ni wa kikatoliki tu.
Matumishi ya CCM na Nape utayajua tu, kila kitu bila kuchanganya mambo ya dini roho zao haziridhiki. Hiyo ya dini ni wajinga tu ndio unaweza kuwapigia propaganda hizo na kuwachota wengine no.
Watanzania wengi hata ndani ya ukoo au ndoa wako dini tofauti mnafikiri watagombana kwa ajili ya hizo SIASA UCHWARA?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom