Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Status
Not open for further replies.
Udini mbaya sana ndio maana mimi nimeamua kuwa Pagan.
Ebu angalia sasa Magwanda wote saizi wameamia Magamba! Ha! Ha! Ha!
Ha ha ha hahahaha! Ni bahati mbaya sana Waafrika hatuku invent dini yetu, labda tungekuwa wamoja.

 
<span style="font-family: fixedsys"> Muwaishe mtoto madrasa ukamuongeze ukungu kichwani.</span>
<br />
<br />
sio makosa yako kosa ni aliyekuleta mjini unajicho moja (one eyed men)umelifumbua ukaona dunia ya bandia ya mbele huyajui hicho ni kiburi cha pumzi iko siku zita potea halafu umtafute slaa na hawara wake wakusaidie wacha ushabiki
 
<br />
<br />
sio makosa yako kosa ni aliyekuleta mjini unajicho moja (one eyed men)umelifumbua ukaona dunia ya bandia ya mbele huyajui hicho ni kiburi cha pumzi iko siku zita potea halafu umtafute slaa na hawara wake wakusaidie wacha ushabiki
Punguza jazba.
 
hili suala ssa limechukua sura mpaya..............BAKWATA is always manipulated
 
kakakk hahahahaaaa, doodododdddd, chcuchchcchchcucucuuuuuiiiiiiiiii nimecheka hadi basi, hizo "pumbavu zetu" unajua zikoje? hahahaaaaa haya heri niza kwetu sio za kwako, naenda lunch hapo Bukurutu, ntapata na kitimoto kidogo pale then narejea kwenye mjadala
na nyie mnaozungumzia kuhusu mahakama ya kadhi "Pumbavu zenu"
 
Mbona bakwata hawakutoa tamko dhidi ya tukio la yule mama wa CUF aliyefunuliwa hijab na maafande??
Ndio maana tangu mwanzo nilisema kuwa BAKWATA hawakutumia busara. Hawawezi kukurupuka tu kwa yale wanayotaka wao. Sheria msumeno.
 
When a child judge a certain action, he takes into account only the consequences of the behavior and pays no attention to the intention underlying the behavior.

Bakwata na wale wote wanaoona kuwa huyo DC mzandiki katendewa ndivyo sivyo uelewa wao wa mambo ni kama wa mtoto mdogo anaeangalia zaidi matokeo kuliko chanzo.
 
Ndio maana tangu mwanzo nilisema kuwa BAKWATA hawakutumia busara. Hawawezi kukurupuka tu kwa yale wanayotaka wao. Sheria msumeno.
CHADEMA wangekuwa ni punguani kama hayo mabaraza na wao wangetoa tamko kuwataka BAKWATA na BASUTA kuwaomba radhi CHADEMA kwa kosa la kubaka demokrasia lililofanywa na na uyu DC simply because ni muislam.
 
CHADEMA wangekuwa ni punguani kama hayo mabaraza na wao wangetoa tamko kuwataka BAKWATA na BASUTA kuwaomba radhi CHADEMA kwa kosa la kubaka demokrasia lililofanywa na na uyu DC simply because ni muislam.
Wewe kweli CDM damu, naona jinsi unavyo chukia uislamu
 
When a child judge a certain action, he takes into account only the consequences of the behavior and pays no attention to the intention underlying the behavior.

Bakwata na wale wote wanaoona kuwa huyo DC mzandiki katendewa ndivyo sivyo uelewa wao wa mambo ni kama wa mtoto mdogo anaeangalia zaidi matokeo kuliko chanzo.
Hapo umenena mkuu, naamini intention ilikua si kumvua DC hijab, wana CDM walikua wanatimiza wajibu wao kama raia yeyote anayepaswa kumdhibiti mualifu pindi polisi wanapokua mbali na eneo la tukio.
 
Mimi nilisema jamani chama hichi ni hatari kwa uislam, wakipewa nchi hawa marufuku kuvaa hijabu, marufuku vipaza sauti misikitini, waislamu fungueni macho.

Hayo mataputapu umeyatoa kwenye ilani ya chama gani? na yapo kwenye kipengele gani kwenye ilani ya chama hicho? acha kukurupuka wewe tulia utangaze sera za chama chako ili ieleweke miongoni mwa watanzania wote na isibaki kuwa chama cha wapemba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom