Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Bakwata, Basuta Walaani DC Kuvuliwa Hijabu

Status
Not open for further replies.
Hivi hijabu ni vazi la DC vazi la Waislamu? Kuna uhusiano gani wa hijabu kama vazi la DC? Huyo DC kama ni mwislamu alikutwa kwenye shughuli za ibada? Ninapenda kujua yule kiongozi wa CCM aliyezini na mke wa mtu huko Igunga alikuwa wa dini gani na mwanamke alikuwa wa dini gani? Isije ikawa walikuwa Waislamu wote na bila shaka kulikuwa na kuvuana hijabu lakini Waislamu hawakutoa tamko. Kipi kibaya zaidi kati ya DC ambaye ni Mwislamu akavuliwa hijabu (kwa bahati mbaya) katika purukushani za DC kukamatwa akifanya mambo yaliyo kinyume na sheria na lile suala la kiongozi aliyefanya zinaa ( hata kuvuliwa hijabu).

Bakwata muwe macho na CCM. CCM watawatumia kama Kondomu lakini wakishamaliza kuwatumia watawatupa kwenye shimo la takataka. Kumbukeni wakati walipotaka kura za Waislamu waliweka kwenye ilani yao ya uchaguzi wa mwaka 2005 luanzishaji wa mahakama ya kadhi lakini leo hawataki kuwaeleza kwamba walikuwa na maana gani kuweka lile suala la Mahakama ya Kadhi kwenye ilani wakati hawakuwa na nia ya kutekeleza?

Mkuu Hakika we ni Great Thinker! nimeyapenda mawazo yako.
 
Watu wengi bado hatutambui tofauti ya Dini na Imani(religion and faith) ila sitaki kwenda huko sana kwani hijabu ni vazi kwa waislam wakike na mtadio wanaita wakristo ila kitu na lengo ni lile moja kujistili.
Najiuliza huyo DC angekuwa mkiristu na amefunga mtandio yakatokea hayo masisita (nuns) sijui na wao wengeiomba CDM kuwataka radhi au vipi?
Waislam kuna wakati mwingine inatumidi tutumie hekima na busara kuliko hisia ambazo mara nyingi zinaleta chuki kwenye jamii.Tunapoiandama CHADEMA eti kisa hijabu tutakuwa hatujatumia elimu ambayo hata mtume alisisitiza kwani mambo mengine ambayo yako wazi hatusimami kidete bali kuacha tu porojo kuendelea fanya kazi mfano mahakama ya kadhi mpaka leo hatujui nani mbaya wetu kwani ata ccm iliaidi kitu kama hiki bt nothing.
Nurudi kutochanganya siasa na dini hapa tusidanganyane hivi vitu viko inseparable or compatible ila issue ni wakati gani,wapi na lini?
Kusema kuwa CHADEMA is agnst Islamic tutakua too narrow in thinking and reasoning.
Kitu gani kitafanya watu wawe na hisia na ushabiki wa udini ni kama hivi pale dini fulani kuchagua chama fulani na kufunga nacho ndoa,viongozi kujiusisha zaidi na siasa kuliko dini.Ni dhambi kubwa na izikwe kama tunataka mema.
 
CHADEMA waachane na siasa katika hili watekeleze agizo la Bakwata na Basuta.Kinyume cha hivyo chama kimekufa kabisa.
Mwanzo Chadema mlijitetea kwa taabu kwenye kampeni.Hapa kwenye hili ndio mmepiga muhuri kwamba Chama chenu kina chuki na uislamu.
Ingekuwa huyu DC ni mkristo wala kikao alichokuwa akifanya isingekuwa nongwa.
Ikiwa ni wizi wa kura mara ngapi mumekuwa na hisia hizo mbona haijawahi kutokea DC akakokotwa kama ng'ombe kwa kutumia hijabu!.
 
wasichanganye imani na dini. je uislam unaruhusu wizi wa kura? mbona wakizini mnadai wapigwe mawe. ha huyo dc hatofautiani na wanao zini. bakwata waislam gani hao? badala wakemee wizi wanatetea wizi? ondoa viongozi vilaza bakwata mtumie taaluma na sio hisia kama mbuzi.
 
Mkuu maswali yako yanajibiwa wazi na michango ya watu hapa JF. Walolitaka CCM hakika limetimia na sasa hivi inabidi uzoee na kukubali kwamba jumuiya ya Watanzania tayari imekwisha gawanyika. Mimi nimejaribu sana kuondoa fikra hizi lakini inaonyesha wazi kuwa haiwezekani, hivyo hao BAKWATA na BASUTA ni binadamu kama hawa hapa wanaCHADEMA ambao wanawakilisha mawazo yao ya kiutengano kupitia vyombo hivi. Soon itabidi uchague upande gani you belong!
Nikichanganya mawazo yenu, hapa ndipo ninapoona Watanzania tunapotea. Kwa upande mmoja hatupaswi kukata tamaa eti kwa sababu CCM imejaribu kutugonganisha vichwa.

Watu wengi bado hatutambui tofauti ya Dini na Imani(religion and faith) ila sitaki kwenda huko sana kwani hijabu ni vazi kwa waislam wakike na mtadio wanaita wakristo ila kitu na lengo ni lile moja kujistili.
Najiuliza huyo DC angekuwa mkiristu na amefunga mtandio yakatokea hayo masisita (nuns) sijui na wao wengeiomba CDM kuwataka radhi au vipi?
Waislam kuna wakati mwingine inatumidi tutumie hekima na busara kuliko hisia ambazo mara nyingi zinaleta chuki kwenye jamii.Tunapoiandama CHADEMA eti kisa hijabu tutakuwa hatujatumia elimu ambayo hata mtume alisisitiza kwani mambo mengine ambayo yako wazi hatusimami kidete bali kuacha tu porojo kuendelea fanya kazi mfano mahakama ya kadhi mpaka leo hatujui nani mbaya wetu kwani ata ccm iliaidi kitu kama hiki bt nothing.
Nurudi kutochanganya siasa na dini hapa tusidanganyane hivi vitu viko inseparable or compatible ila issue ni wakati gani,wapi na lini?
Kusema kuwa CHADEMA is agnst Islamic tutakua too narrow in thinking and reasoning.
Kitu gani kitafanya watu wawe na hisia na ushabiki wa udini ni kama hivi pale dini fulani kuchagua chama fulani na kufunga nacho ndoa,viongozi kujiusisha zaidi na siasa kuliko dini.Ni dhambi kubwa na izikwe kama tunataka mema.

Kwa upende wa pili Watanzania tunapaswa kuchagua Tanzania kabla ya dini na imani zetu, kwani kuweka dini na imani mbele na kuwa tayari kutengana kwa hilo, mizozo inayoweza kuzuka haitatupa mwanya hata wa kuabudu tunavyoviabudu. Mifano ya jamii zinazomalizana kwa udini inatosha kuwa somo kwetu.

Hitimisho: Tuziweke imani na dini zetu kuwa ni chaguo binafsi la mtu, yeye na Mungu wake; lakini linapokuja suala la Tanzania sote tuwe kitu kimoja, wito mmoja - TANZANIA KWANZA. Katu hatutaweza kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.
 
Watu wengi bado hatutambui tofauti ya Dini na Imani(religion and faith) ila sitaki kwenda huko sana kwani hijabu ni vazi kwa waislam wakike na mtadio wanaita wakristo ila kitu na lengo ni lile moja kujistili.<br />
Najiuliza huyo DC angekuwa mkiristu na amefunga mtandio yakatokea hayo masisita (nuns) sijui na wao wengeiomba CDM kuwataka radhi au vipi?<br />
Waislam kuna wakati mwingine inatumidi tutumie hekima na busara kuliko hisia ambazo mara nyingi zinaleta chuki kwenye jamii.Tunapoiandama CHADEMA eti kisa hijabu tutakuwa hatujatumia elimu ambayo hata mtume alisisitiza kwani mambo mengine ambayo yako wazi hatusimami kidete bali kuacha tu porojo kuendelea fanya kazi mfano mahakama ya kadhi mpaka leo hatujui nani mbaya wetu kwani ata ccm iliaidi kitu kama hiki bt nothing.<br />
Nurudi kutochanganya siasa na dini hapa tusidanganyane hivi vitu viko inseparable or compatible ila issue ni wakati gani,wapi na lini?<br />
Kusema kuwa CHADEMA is agnst Islamic tutakua too narrow in thinking and reasoning.<br />
Kitu gani kitafanya watu wawe na hisia na ushabiki wa udini ni kama hivi pale dini fulani kuchagua chama fulani na kufunga nacho ndoa,viongozi kujiusisha zaidi na siasa kuliko dini.Ni dhambi kubwa na izikwe kama tunataka mema.
<br />
<br />

I salute u mkuu yuo are the real great thinker
 
Watu wengi bado hatutambui tofauti ya Dini na Imani(religion and faith) ila sitaki kwenda huko sana kwani hijabu ni vazi kwa waislam wakike na mtadio wanaita wakristo ila kitu na lengo ni lile moja kujistili.
Najiuliza huyo DC angekuwa mkiristu na amefunga mtandio yakatokea hayo masisita (nuns) sijui na wao wengeiomba CDM kuwataka radhi au vipi?
Waislam kuna wakati mwingine inatumidi tutumie hekima na busara kuliko hisia ambazo mara nyingi zinaleta chuki kwenye jamii.Tunapoiandama CHADEMA eti kisa hijabu tutakuwa hatujatumia elimu ambayo hata mtume alisisitiza kwani mambo mengine ambayo yako wazi hatusimami kidete bali kuacha tu porojo kuendelea fanya kazi mfano mahakama ya kadhi mpaka leo hatujui nani mbaya wetu kwani ata ccm iliaidi kitu kama hiki bt nothing.
Nurudi kutochanganya siasa na dini hapa tusidanganyane hivi vitu viko inseparable or compatible ila issue ni wakati gani,wapi na lini?
Kusema kuwa CHADEMA is agnst Islamic tutakua too narrow in thinking and reasoning.
Kitu gani kitafanya watu wawe na hisia na ushabiki wa udini ni kama hivi pale dini fulani kuchagua chama fulani na kufunga nacho ndoa,viongozi kujiusisha zaidi na siasa kuliko dini.Ni dhambi kubwa na izikwe kama tunataka mema.

Mkuu usi-mislead watu Hijab ni tofauti na mtandio

Hijab kwa mwanamke wa kiislam ni vazi la kidini na maamrisho kutoka kwa Muumba

Huwezi kulinganisha ni mitandao ya nuns ambayo in fact si amri ila utashi wa mvaaji...

Kudhalisha Hijab ni kudhalilisha alama za dini yetu Tukufu.

Kwani kuomba msamaha inawagharimu nini au ndio mnajidhihirisha chuki zenu kwa waislamu..total manifestation
 
CHADEMA waachane na siasa katika hili watekeleze agizo la Bakwata na Basuta.Kinyume cha hivyo chama kimekufa kabisa.
Mwanzo Chadema mlijitetea kwa taabu kwenye kampeni.Hapa kwenye hili ndio mmepiga muhuri kwamba Chama chenu kina chuki na uislamu.
Ingekuwa huyu DC ni mkristo wala kikao alichokuwa akifanya isingekuwa nongwa.
Ikiwa ni wizi wa kura mara ngapi mumekuwa na hisia hizo mbona haijawahi kutokea DC akakokotwa kama ng'ombe kwa kutumia hijabu!.

mzee nakubaliana nawe sometimes lakini hapo pekundu naona umezidisha unaonyesha chuki binafsi huku ukiwa umezifunga ndani ya hijabu ya udini dhidi ya CDM.
 
CHADEMA waachane na siasa katika hili watekeleze agizo la Bakwata na Basuta.Kinyume cha hivyo chama kimekufa kabisa.
Mwanzo Chadema mlijitetea kwa taabu kwenye kampeni.Hapa kwenye hili ndio mmepiga muhuri kwamba Chama chenu kina chuki na uislamu.
Ingekuwa huyu DC ni mkristo wala kikao alichokuwa akifanya isingekuwa nongwa.
Ikiwa ni wizi wa kura mara ngapi mumekuwa na hisia hizo mbona haijawahi kutokea DC akakokotwa kama ng'ombe kwa kutumia hijabu!.
Ami - please, wewe ni zaidi ya fikra hizi finyu kwa sababu unaelewa wazi Uislaam sio vazi kwani hata hao masista na Wayahudi huvaa hijab. Na kwa uhakika zaidi hata wanawake wa kitanzania huvaa khanga kiunoni na kichwani (hijab) na haiwafanyi wao kuwa waislaam. Hijab ni vazi lolote la kufunika nywele, Tuwe makini sana ktk hili kwa sababu tunajaribu kujenga ustaarabu na hekima ktk kuutangaza Uislaam ambao ni ibada na kuwa obide by the book...Kesho mtakuja sema kuvaa kanzu ni Uislaam..

Huyu mama kaweka mashtaka yake mahakamani kwa madai makubwa zaidi ya kuwa alitaka kuwa raped, leo nyie watetezi wa Uislaam msione makosa makubwa zaidi ktk hilo isipokuwa kuvuliwa Hijab. Kama kweli nyie waislaam mnajali mavazi ya wanawake, mwambieni kwanza mama Salma na viongozi wa CCM wavae hizo Hijab kisha ndio tutakuja weka mipaka.

Na kibaya zaidi Makristo ndani ya Chadema nayo hayakosi kuuchonga na pengine kwa makusudi kuonyesha kwamba Chadema ni chama cha wakristu.. Kwa hali yoyote ile mkuu wangu mnatafuta vurugu ambazo hazitaweza kutusaidia kabisa. CCM wanaondoka wapende wasipende na iwe kwa kupitia Chadema au chama kingine..Mnatumia nguvu kubwa sana kukisambaratisha Chadema lakini kwa bahati mbaya ndivyo mnavyozidi kukipa nguvu zaidi.
 
Mimi ni muislam na niko proud na dini yangu.

Na naomba wachangiaji wengine wenye kupenda kugeneralise, niwaambie huwa mnanikera sana mnapogeneralise waislam wote au stereotyping.

Lakini kwa hili la BAKWATA kulivalia njuga suala la hijabu kiasi hiki ni UNAFIKI mtupu. Wanatumika tu kipuuzi, uchaguzi ukiisha wanatupwa kule. BAKWATA hamjifunziiiiiiii???.... Hebu kasomeni tena ilani ya uchaguzi ya CCM kuhusu Mahakama ya Kadhi.
 
Ami - please, wewe ni zaidi ya fikra hizi finyu kwa sababu unaelewa wazi Uislaam sio vazi kwani hata hao masista na Wayahudi huvaa hijab. Na kwa uhakika zaidi hata wanawame wa kitanzania huvaa khanga kiunoni na kichwani na haiwafanyi wao kuwa waislaam. Tuwe makini sana ktk hili kwa sababu tunajaribu kujenga ustaarabu na hekima ktk kuutangaza Uislaam ambao ni ibada na kuwa obide by the book...

Huyu mama kaweka mashtaka yake mahakamani kwa madai makubwa zaidi ya kuwa alitaka kuwa raped, leo nyie watetezi wa Uislaam msione makosa makubwa zaidi ktk hilo isipokuwa kuvuliwa Hijab. Kama kweli nyie waislaam mnajali mavazi ya wanawake, mwambieni kwanza mama Salma na viongozi wa CCM wavae hizo Hijab kisha ndio tutakuja weka mipaka.
Na kibaya zaidi Makristo ndani ya Chadema nayo hayakosi kuuchonga na pengine kwa makusudi kuonyesha kwamba Chadema ni chama cha wakristu.. Kwa hali yoyote ile mkuu wangu mnatafuta vurugu ambazo hazitaweza kutusaidia kabisa. CCM wanaondoka wapende wasipende na iwe kwa kupitia Chadema au chama kingine..Mnatumia nguvu kubwa sana kukisambaratisha Chadema lakini kwa bahati mbaya ndivyo mnavyozidi kukipa nguvu zaidi.

Mkuu hatugombi kama mtu ameacha kuvaa mwenyewe hijabu yake japo muislamu e.g. slam etc hayo mamalaka ya kuadhibu hatuna wala si ruhusa kwa dini yetu

Lakini ikiwa muislamu mwanamke ameamua kufuata alama za dini yake akavaa hijabu halfu kundi fulani la wahuni wanalivua ili kumdhalilisha hatuwezi kukaa kimya...

Kwani chadema wanapata shida gani kuwaomba waislamu radhi..au ndio ule unafiki wao wa kuwachukia waislamu umefikia kiwango cha kuzidi akili kichwani sasa ...
 
Mimi ni muislam na niko proud na dini yangu.

Na naomba wachangiaji wengine wenye kupenda kugeneralise, niwaambie huwa mnanikera sana mnapogeneralise waislam wote au stereotyping.

Lakini kwa hili la BAKWATA kulivalia njuga suala la hijabu kiasi hiki ni UNAFIKI mtupu. Wanatumika tu kipuuzi, uchaguzi ukiisha wanatupwa kule. BAKWATA hamjifunziiiiiiii???.... Hebu kasomeni tena ilani ya uchaguzi ya CCM kuhusu Mahakama ya Kadhi.

Kila issue na wakati wake..

Mahakama itabaki kuwa issue na kuvua mwanamke hijabu itabaki kuwa issue

Besides kwani nini msimamo wa chadema kuhusu mahakama ya kadhi?

hauna tofauti na matakwa ya maaskofu...so ccm na cdm kwa issue ya waislamu wako pamoja mkuu hawana tofauti yoyote...
jitambue.
 
Mimi ni muislam na niko proud na dini yangu.

Na naomba wachangiaji wengine wenye kupenda kugeneralise, niwaambie huwa mnanikera sana mnapogeneralise waislam wote au stereotyping.

Lakini kwa hili la BAKWATA kulivalia njuga suala la hijabu kiasi hiki ni UNAFIKI mtupu. Wanatumika tu kipuuzi, uchaguzi ukiisha wanatupwa kule. BAKWATA hamjifunziiiiiiii???.... Hebu kasomeni tena ilani ya uchaguzi ya CCM kuhusu Mahakama ya Kadhi.
Bakwata huwa inashutumiwa hapa na pale na waislamu kwa baadhi ya wakati kuwa karibu na watawala kuliko na waislamu wanaowaongoza.Lakini kwa hili si Basuta tu waliowaunga mkono watafuata mashia na madhehebu nyengine.
Kuhusiana na mahakama ya kadhi wala usidhani mwisho wake ni kauli ya Kikwete na maaskofu.Hii mahakama kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu itakuja kwa kishindo huko mbele katika namna ambayo nyote mtashangaa.Chadema na wakristo wala hawatoiweza shari yake.
 
Its so sad but FUNNY!!!
Hivi wale majambazi waliovamia NMB wakiwa wamevaa hijabu wangekamatwa na kuvuliwa zile hijabu ninyi waislam mngeandamana kupinga kitenda hicho kutokana na kwamba kimedhalilisha uislam?!! Basi hamasisheni waislam wote wanaovaa kanzu na hijab wasifungwe kwa sababu ni kudhalilisha uislam!!!
 
Its so sad but FUNNY!!!
Hivi wale majambazi waliovamia NMB wakiwa wamevaa hijabu wangekamatwa na kuvuliwa zile hijabu ninyi waislam mngeandamana kupinga kitenda hicho kutokana na kwamba kimedhalilisha uislam?!! Basi hamasisheni waislam wote wanaovaa kanzu na hijab wasifungwe kwa sababu ni kudhalilisha uislam!!!

Mfano wako ni irrelevant..kabisa
 
Jamani tunaelekea wapi sisi Watanzania? Haya mabaraza ya kidini yanaelewa nini kuhusiana na haki na wajibu, wanatofautisha vipi reality na myth. Wanahusisha vipi tukio hili la Igunga na uisilam au ukatoriki? Hiki ni kipindi ambacho BUSARA kubwa inahitajika ili kuepusha migongano ya kidini baina ya dini zetu.

Siamini kama viongozi makini wa dini watapoteza muda wao kutengeneza migogoro baina ya dini zao na dini nyingine, lakini pia sishangazwi sana na mtazamo huu wa BAKWATA kwani hata viongozi wakubwa wa nchi hii wamesikika na kuonekana majukwaani wakipotosha mambo yaliyo dhahili kwa kisingizio cha dini.
Waulize Nigeria na Sudani hili la UDINI DINI limewafikisha wapi.
 
Jamani tunaelekea wapi sisi Watanzania? Haya mabaraza ya kidini yanaelewa nini kuhusiana na haki na wajibu, wanatofautisha vipi reality na myth. Wanahusisha vipi tukio hili la Igunga na uisilam au ukatoriki? Hiki ni kipindi ambacho BUSARA kubwa inahitajika ili kuepusha migongano ya kidini baina ya dini zetu.

Siamini kama viongozi makini wa dini watapoteza muda wao kutengeneza migogoro baina ya dini zao na dini nyingine, lakini pia sishangazwi sana na mtazamo huu wa BAKWATA kwani hata viongozi wakubwa wa nchi hii wamesikika na kuonekana majukwaani wakipotosha mambo yaliyo dhahili kwa kisingizio cha dini.
Waulize Nigeria na Sudani hili la UDINI DINI limewafikisha wapi.

Waombe radhi kuepusha ufa zaidi au siyo? very simple
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom