Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Hivi ikiwa mtu amevaa hijab na anauza bangi au madawa ya kulevya asisachiwe?
BAKWATA walitaka mkuu wa wilaya asikamatwe kwa kuwa amevaa hijab na hivyo hijab ni takatifu sana haipaswi kuguswa ikiwa imevaliwa hata kama aliyeivaa ametenda jambo baya?
BAKWATA walitaka mkuu wa wilaya asikamatwe kwa kuwa amevaa hijab na hivyo hijab ni takatifu sana haipaswi kuguswa ikiwa imevaliwa hata kama aliyeivaa ametenda jambo baya?