Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
He bu tuwekee hicho kifungu kuthibitisha hoja yako. Pia tuambie ni lini na wapi yeye Bakhressa alisema hatoaniri asiye Muislamu?
Kasome Sheria za ajira,mwambie akupe list ya majina ya staff wake jibu utalipata.Muislam ndugu yake ni muislam.
 
Mfano NSSF, si ndio eeh.., swala hapa ni dini kuwa kigezo, ukiona hivyo serikalini basi tambua hao wameshinda kwa vigezo vya ueledi na si dini
Kwa hiyo wakristo wakiwa wengi wameshinda kwa vigezo ,wakislam wakiwa wengi wana udini,
Nina shaka na elimu yako
 
Jiangalie wewe kwa level yako. Msaidizi wa nyumbani kwako unamuajiri vipi? Mara nyingi ni ndugu au mtu wa kwenu au mnasali naye. Ndicho anachofanya Bakhressa kwa kuwa yeye anaamini watu wa imani yake ndio waaminifu kwake. Hawatomdhuru.
Regardless, udini ni uovu, hata wewe kama unabagua watu katika ajiravkwa kigezo cha udini nyumbani kwako, hata kama ni house girl, acha mara moja
 
Mwishowe mtahoji na KWENYE VIWANDA VYAKE kwann kuna MISIKITI? Na nyie WAGALATIA funguweni vyenu... Muajiri akina ALFONSI na ALEX...
 
Kasome Sheria za ajira,mwambie akupe list ya majina ya staff wake jibu utalipata.Muislam ndugu yake ni muislam.


Kwa nini wewe uliyeleta hoja ya sheria usiiweke hapa badala yake unaniamuru mimi nikaisome? Basi mpelekeni Bakhressa mahakamani kama mna nguvu hiyo ya kisheria!
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Ila pale azam wamezidi asee wakigundua we Ni mkiristo wanakuzarau sana
 
Mfano NSSF, si ndio eeh.., swala hapa ni dini kuwa kigezo, ukiona hivyo serikalini basi tambua hao wameshinda kwa vigezo vya ueledi na si dini
Tatizo wakristo wanaiona hii nchi kama ya kwao peke yao tu na waislamu hawahusiki,lakini wajue wanatengenza kitu mbaya sana sana
 
Nyi wala nguruwe mna tabu sana,, kama bakhresa anazingua simuende kuomba ajira kwa Mengi au Mohmed enterprise, au kwa FIDA HUSSEN, au kwa manji, ,au la GSM, mna matajiri kibao ambao ni wakristo mnasemaga ,so kaombeni kazi huko kama VIP
Wauza mnyama hua wanalalamika wateja hakuna
kile kipindi chenu cha kushinda na njaa
na ndoa mwendokasi
 
"Muislamu ndugu yake ni Muislamu tuu" hii kauli niliwahi kuisikia kwenye muhandhara flani huko mkoani.. sasa nyie wenye upendo wa agape endeleeni na upendo wenu
 
mbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Kwa haraka pale azam TV wakristo sizan hata kama 10% wanafika ukilinganisha na waislam
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom