Bahati Kubwa! Ugunduzi wa Madini ya Dhahabu na Copper Yenye Thamani Kubwa: Mgunduzi ni Mining geology IT

Apr 6, 2024
99
116
"Asili ya Dhahabu: Ugunduzi Mpya katika Ardhi ya Tanzania!
Kupitia juhudi za kisayansi na utaalamu wa jiolojia, nimeweza kufanya ugunduzi wa eneo lenye thamani kubwa ya madini ya dhahabu na copper katika ardhi ya Tanzania. Eneo hili lenye hekta 20 limegunduliwa kuwa na kiwango kikubwa cha dhahabu, likiashiria fursa kubwa ya uchimbaji na maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Juhudi zangu zimefanyika kwa kuzingatia uchambuzi wa jiolojia na ukusanyaji wa sampuli, na natumai kuwa ugunduzi huu utakuwa baraka kwa jamii yetu na neema kwa siku zijazo."

Hii ni moja ya jiwe dogo kwenye sample kabla ya kusaga lilokwenda mahabara na kutoa majibu

20240509_123858.jpg


RIport ya vipimo toka kwenye sample ya picha hapo juu kwenye jiwe ilo
dd_page-0001.jpg


Kama wadau au wakezaji wataitaji kujua zaidi nitazidi kueleza maana naanda ripoti kamili.

Asanteni

**********************************************************************************************************
SAMPULI KUBWA NIMESHAKUSANYA LA ENEO KUBWA ILI KUPATA RIPOTI YA PILI SASA ZA PPM .
ANGALIZO:
Tambueni unapotaka kufanya utafiti ukachukua kiwango kidogo ni kujidhirisha kuwa unacho kifanya ni kipi ili kuondoa gharama zisizo kuwa na sababu kabla kufanya maamuzi step kwa step.


UPDATE:
Sampuli ya pili ambayo imechukuliwa ili kuanza process ya kutafuta mwamba kwa umakini na wapi eneo litakuwa na kipimo kupata ppm kubwa sasa.

P2
p2_page-0001.jpg



Naweka wazi tafiti sipo kwa ajili ya utapeli
 
"Asili ya Dhahabu: Ugunduzi Mpya katika Ardhi ya Tanzania!
Kupitia juhudi za kisayansi na utaalamu wa jiolojia, nimeweza kufanya ugunduzi wa eneo lenye thamani kubwa ya madini ya dhahabu na copper katika ardhi ya Tanzania. Eneo hili lenye hekta 20 limegunduliwa kuwa na kiwango kikubwa cha dhahabu, likiashiria fursa kubwa ya uchimbaji na maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Juhudi zangu zimefanyika kwa kuzingatia uchambuzi wa jiolojia na ukusanyaji wa sampuli, na natumai kuwa ugunduzi huu utakuwa baraka kwa jamii yetu na neema kwa siku zijazo."

Hii ni moja ya jiwe dogo kwenye sample kabla ya kusaga lilokwenda mahabara na kutoa majibu

View attachment 2988712

RIport ya vipimo toka kwenye sample ya picha hapo juu kwenye jiwe ilo
View attachment 2988714

Kama wadau au wakezaji wataitaji kujua zaidi nitazidi kueleza maana naanda ripoti kamili.

Asanteni
Sorry kaka,Cu 4.25 ppm hii ni sawa na Cu.purity asilimia ngapi??.
 
"Asili ya Dhahabu: Ugunduzi Mpya katika Ardhi ya Tanzania!
Kupitia juhudi za kisayansi na utaalamu wa jiolojia, nimeweza kufanya ugunduzi wa eneo lenye thamani kubwa ya madini ya dhahabu na copper katika ardhi ya Tanzania. Eneo hili lenye hekta 20 limegunduliwa kuwa na kiwango kikubwa cha dhahabu, likiashiria fursa kubwa ya uchimbaji na maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Juhudi zangu zimefanyika kwa kuzingatia uchambuzi wa jiolojia na ukusanyaji wa sampuli, na natumai kuwa ugunduzi huu utakuwa baraka kwa jamii yetu na neema kwa siku zijazo."

Hii ni moja ya jiwe dogo kwenye sample kabla ya kusaga lilokwenda mahabara na kutoa majibu

View attachment 2988712

RIport ya vipimo toka kwenye sample ya picha hapo juu kwenye jiwe ilo
View attachment 2988714

Kama wadau au wakezaji wataitaji kujua zaidi nitazidi kueleza maana naanda ripoti kamili.

Asanteni
Hongera sana mkuu!
 
Mkuu nina maswali machache kwako kidogo
1. Hizo gold 0.07 na 0.1 ndio thamani kubwa za ugunduzi wako?

2. Umegundua hayo madini kwa maana ya ore body au loose samples ulizopeleka maabara?
 
Mkuu nina maswali machache kwako kidogo
1. Hizo gold 0.07 na 0.1 ndio thamani kubwa za ugunduzi wako?

2. Umegundua hayo madini kwa maana ya ore body au loose samples ulizopeleka maabara?
 
Mwekezaji atakuja kunyakua eneo kwa kupewa leseni na serikali sikivu ya CCM, kumbuka ardhi ni mali ya serikali chini ya usimamizi wa rais kwa mujibu wa katiba yetu pendwa isiyotakiwa kubadilishwa.

Toka maktaba:

22 March 2024
Kijiji cha Matepwende
Namtumbo, Ruvuma
Tanzania

Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo na wale wa Ofisi ya Madini wafika kutoa elimu...

View: https://m.youtube.com/watch?v=c2AUXJSB6GE
Mamia ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini wamefurika katika Kijiji cha Matepwende Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma na kujikatia maeneo kwa ajili ya uchimbaji wa madini ya vito, shughuli inayofanywa katika Mlima Lihogo. Wachimbaji wataadharishwa kuwa na leseni bila hivyo ...
 
Mkuu nina maswali machache kwako kidogo
1. Hizo gold 0.07 na 0.1 ndio thamani kubwa za ugunduzi wako?

2. Umegundua hayo madini kwa maana ya ore body au loose samples ulizopeleka maabara?
Asante kwa kuniuliza. Ndio maana mwishoni nikasema ripoti kamili nitaleta.Bado changamoto za kuchukua sampuli kubwa ili kujua uwezo wa eneo.
ila mpaka sasa eneo ilo lijawa na rekodi wala historia kuwa na uchimbaji wala tafiti
 
Back
Top Bottom