Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Utaitwa mwanga sasa hivi. Ngoja aje...Mchepuko wa Maswi! Hana jipya! Hata kuswali aliacha! Anasomeshewa watoto UK! Ni wakati wa kumrudia Mungu wake, aepuke zinaa!
Utaitwa mwanga sasa hivi. Ngoja aje...Mchepuko wa Maswi! Hana jipya! Hata kuswali aliacha! Anasomeshewa watoto UK! Ni wakati wa kumrudia Mungu wake, aepuke zinaa!
Hii thread nimecheka sana leo
Pasco is this you???Oh no Ben, basi na wewe utakuwa hunielewi!, mimi siwezi kuwa kambi moja na wanga!, majizi, jambazi, majangili na wauaji!, mashetani wakubwa!, kumkubali "jamaa yangu" is one thing, na kuwa kambi yake is another!. Pasco
Kwa ubaguzi huu wa rangi kupenda vingaavyo, au viangaza, nakiri udhaifu, ila na mimi sio kosa langu, ubaguzi huu uko kwenye damu, tangu enzi za mababu na mababu, na tunahonga kweli kweli hadi ng'ombe zaidi ya mia!, uzuri wetu hatuangalii umri, hata wewe kama vipi sema tuu mang'ombe yaletwe hapo mitaa ya Gerezani, nikimanisha kama ukiachika au mmiliki akitangulia, na uzuri wetu wa ziada, hatuna mwisho wa idadi kusema mwisho wanne!, mwisho wetu ni mwisho wa idadi ya ng'ombe wa kulipia tuu!.Maandiko yako yanaonesha wewe ni mbaguzi wa rangi tu hauna kingine, hata ujaribu vipi ku justify, haisafishiki.
Huyo dada ni mshenzi tu hana lolote
ushnz wake ninI mboba dada wa watu mstaarabu tu...kwa level yake angekuwa mwingine asingefanya kazi.....angebweteka kwa mali za mshua wake...huyu dada ni hardworking sana
Ponjolo Punjabi, kwanza naomba nianze kwa kukusifia hiyo panjabi uliovalia kichwani!, Jee, unataka kuleta zako zile za kuleta?!, unaleta chokochoko za kumchokoa pweza?!, ili kuwaamsha wale 'mainzi' wa ile timu ya 'muuza utumbo?!.Pasco is a dirty minded harrasing women of colours he dared even to publish one Zanzibari scribe; Salma Said's photograph here in JF and boasted of having a fling with her and many coloured Zanzibari gilrs as a previlege he got from his status as a press corps member.
Mkuu Bandu Bandu, kama ni kumchukia, mchukie kwa lingine, lakini kwa hayo uliyamtuhumu sio!, kwani kazi ya PRO kwenye mashirika huwa ni nini?!.Huyo dada anapenda kutetea ufisadi,alikuwa anatetea ufisadi tanesco,aliwatetea akina maswi kipindi alivyowatuhumu kuwa wabunge wamehongwa,haya tuje tena sakata la escrow alikuwa akiwatetea tena akina maswi na muhongo as hakuna chochote walichofanya,huyo dada anajua maovu mengi na bado anakaa kimya,sasa jiulize ni kwa nini akae kimya????.....the answer is,she is also a corrupt,pia alikuwa akimtuhumu mengi waziwazi kuwa ndiyo mchochezi wa sakata la escrow na alikuwa aki msapoti bosi wake muhongo a.k.a muongo kuwa wa tanganyika hawana uwezo wa kuwekeza kwenye nishati na madini,i really hate her
Umeeleza vizuri bossman. Lakini akiandika kuhusu yanayojiri na hapo tanesco, usisahau kesi ya kina mhando iko mahakamani na lazma yeye ni shahidi. Haya mambo ayaweke akiba, akifikisha umri wa miaka 55 astaafu kwa hiari na aandike bio yake. Kwa sasa asubiri, hata kina clinton na kina madiba waliandika baada ya kutoka ofisini.
Ila seriously Pasco, umenikwaza kuongelea muonekano wake na rangi yake wakati tunaongelea taaluma yake. Huu ni ubaguzi wa kijinsia. Inakera sana mwanamke ambae anapambana kufika alipo na kuanza kuwa related na rangi ama umbo lake.
Kwa Tanzania sheria ya kukwea ni rahisi sana, "walambe wakuu miguu ule mema ya nchi".
Sioni kama ana bahati zaidi ya kuwa na watu wamshikao mkono kumuongoza njia.
Sitarajii mtu kama Badra kuandika chochote kuhusu jambo lolote alilokutana nalo kokote alipokuwa na alipo.
Pasco is a dirty minded harrasing women of colours he dared even to publish one Zanzibari scribe; Salma Said's photograph here in JF and boasted of having a fling with her and many coloured Zanzibari gilrs as a previlege he got from his status as a press corps member.
Huyo dada anapenda kutetea ufisadi,alikuwa anatetea ufisadi tanesco,aliwatetea akina maswi kipindi alivyowatuhumu kuwa wabunge wamehongwa,haya tuje tena sakata la escrow alikuwa akiwatetea tena akina maswi na muhongo as hakuna chochote walichofanya,huyo dada anajua maovu mengi na bado anakaa kimya,sasa jiulize ni kwa nini akae kimya????.....the answer is,she is also a corrupt,pia alikuwa akimtuhumu mengi waziwazi kuwa ndiyo mchochezi wa sakata la escrow na alikuwa aki msapoti bosi wake muhongo a.k.a muongo kuwa wa tanganyika hawana uwezo wa kuwekeza kwenye nishati na madini,i really hate her
Sasa na wewe umeanza wivu. Kama wamemtunuku ni sawa. Mie ninachokataa ni kuunganisha dots za hili wezere langu na aina ya gari ninayotumia na cheo changu kazini. Bado wapo wanawake wanaofanikiwa, manake wanaobebwa tunaona anguko lao linavyokuwa kubwa.
Nadhani hiyo historia fupi ya The Boss inatosha kusema kama aliweza dawasco, na anaweza tanesco hata kama alibebwa kwa urembo anaoongelea Pasco na Dark City basi alibebeka. Kwani mwanamke mrembo hawezi kufanikiwa kwa juhudi? Huo ndio ugomvi wangu.
Mkuu The Boss, you are very right, bahati nzuri, nimetokea kumfahamu Badra since when she was a little girl, she is and always has been a very hard working girl and always very serious, (a no nonsense girl!), kwa rangi yake na alivyo, she is and always will be a target kwa sisi the weak ones, hivyo she was always a target, and always will be, hivyo kumdhania she is an easy prey!, but she was born with a silver spoon and she's got a "midas touch", everything she touches, turn to gold, and everyone who tries to mess her, he or she, simply perish!. She has "powers from within!". She is an 'iron lady'!.
Kitabu atakuwa amekiandika siku nyingi labda ni kukiupdate tuu, the problem is sio kila kinachoandikwa ni lazima kiwe printed!, hata kuandika tuu moyoni na kukisave kwenye the safest savers (medula oblongata) inatosha!.
I beg you, no questions and no explanations kwa sababu mambo ya "powers from within" .ni ngumu kuyaelezea ukaeleweka just kama inavyotokea ajali mbaya many perish ila unakuta kuna mtu amesuurvive without a scratch!. She is a survivor !.
Pasco
saw mkuu....kumbe unamjuaa vizuri hako kabinti mixer kaa kiarabu na kisingidaaaa...hehehehe
Kwa ubaguzi huu wa rangi kupenda vingaavyo, au viangaza, nakiri udhaifu, ila na mimi sio kosa langu, ubaguzi huu uko kwenye damu, tangu enzi za mababu na mababu, na tunahonga kweli kweli hadi ng'ombe zaidi ya mia!, uzuri wetu hatuangalii umri, hata wewe kama vipi sema tuu mang'ombe yaletwe hapo mitaa ya Gerezani, nikimanisha kama ukiachika au mmiliki akitangulia, na uzuri wetu wa ziada, hatuna mwisho wa idadi kusema mwisho wanne!, mwisho wetu ni mwisho wa idadi ya ng'ombe wa kulipia tuu!.
Na ubaguzi wetu mzuri, utapewa kila kitu ila na wewe ni lazima ...
Pasco
Sasa na wewe umeanza wivu. Kama wamemtunuku ni sawa. Mie ninachokataa ni kuunganisha dots za hili wezere langu na aina ya gari ninayotumia na cheo changu kazini. Bado wapo wanawake wanaofanikiwa, manake wanaobebwa tunaona anguko lao linavyokuwa kubwa.
Nadhani hiyo historia fupi ya The Boss inatosha kusema kama aliweza dawasco, na anaweza tanesco hata kama alibebwa kwa urembo anaoongelea Pasco na Dark City basi alibebeka. Kwani mwanamke mrembo hawezi kufanikiwa kwa juhudi? Huo ndio ugomvi wangu.
Kwa Ulitaka Kusemaje? Unamtetea? Hana Lolote Huyo Ni ---- Tu Kama Wengine Hana Legacy Ambayo Ataweza Kuiacha As a pattern to be recollected,kwanza Ni Mzinzi Tu Hana Adabu Kabisa.