Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,182
- 128,900
No, but she's somebodies wife.for the sake of curiosity Pasco,is she the wife of Masoud Kipanya?
Pasco
No, but she's somebodies wife.for the sake of curiosity Pasco,is she the wife of Masoud Kipanya?
Torches = touches
Hii ndiyo mikanjanja inayojiita waandishi wa habari.
Rangi yake inahusu nini?
We have a long way to go.
I adore Badra but it has nothing to do with her color.
Oh no Ben, basi na wewe utakuwa hunielewi!, mimi siwezi kuwa kambi moja na wanga!, majizi, jambazi, majangili na wauaji!, mashetani wakubwa!, kumkubali "jamaa yangu" is one thing, na kuwa kambi yake is another!.Hivi hii ni friendly fire ama?Unajua mko kambi moja na Pasco?Ulichofanya ni ukiukwaji wa maadili ya kambi
Thanks for correction!, ila wanga utawajua tuu, ni "fault finders" kazi yao kutafuta makosa tuu, na ndio hawa huishia kujifia na vijeba vya roho!.
Torches = touches
Hii ndiyo mikanjanja inayojiita waandishi wa habari.
Rangi yake inahusu nini?
We have a long way to go.
I adore Badra but it has nothing to do with her color.
King'asti pole kwa kukwazika, facts are stubborn things!, mimi tatizo langu kubwa ni always kuusema ukweli jinsi ulivyo bila kuurembe au kukopesha!. Nakubaliana na wewe 100% kuwa kuna wengi wenu mnafika hapo mlipofika kwa derving merits, lakini pia naomba ukubaliane na mimi kuwa kuna wengine wengi, wanafika mbali kwa ku capitalise on weakness za watu, by turning them into strength!, hivyo hutumia "majaaliwa" yao kama ngazi ya kupandia mpaka kufika kileleni!, jee huyajui hayo?, au hayapo hivyo mimi nawasingizia?!, au unataka nikupe mpaka majina na mengine yako hadi ndani ya cabinet!.Ila seriously Pasco, umenikwaza kuongelea muonekano wake na rangi yake wakati tunaongelea taaluma yake. Huu ni ubaguzi wa kijinsia. Inakera sana mwanamke ambae anapambana kufika alipo na kuanza kuwa related na rangi ama umbo lake.
Umeeleza vizuri bossman. Lakini akiandika kuhusu yanayojiri na hapo tanesco, usisahau kesi ya kina mhando iko mahakamani na lazma yeye ni shahidi. Haya mambo ayaweke akiba, akifikisha umri wa miaka 55 astaafu kwa hiari na aandike bio yake. Kwa sasa asubiri, hata kina clinton na kina madiba waliandika baada ya kutoka ofisini.
Ila seriously Pasco, umenikwaza kuongelea muonekano wake na rangi yake wakati tunaongelea taaluma yake. Huu ni ubaguzi wa kijinsia. Inakera sana mwanamke ambae anapambana kufika alipo na kuanza kuwa related na rangi ama umbo lake.
Mkuu The Boss, you are very right, bahati nzuri, nimetokea kumfahamu Badra since when she was a little girl, she is and always has been a very hard working girl and always very serious, (a no nonsense girl!), kwa rangi yake na alivyo, she is and always will be a target kwa sisi the weak ones, hivyo she was always a target, and always will be, hivyo kumdhania she is an easy prey!, but she was born with a silver spoon and she's got a "midas touch", everything she touches, turn to gold, and everyone who tries to mess her, he or she, simply perish!. She has "powers from within!". She is an 'iron lady'!.
Kitabu atakuwa amekiandika siku nyingi labda ni kukiupdate tuu, the problem is sio kila kinachoandikwa ni lazima kiwe printed!, hata kuandika tuu moyoni na kukisave kwenye the safest savers (medula oblongata) inatosha!.
I beg you, no questions and no explanations kwa sababu mambo ya "powers from within" .ni ngumu kuyaelezea ukaeleweka just kama inavyotokea ajali mbaya many perish ila unakuta kuna mtu amesuurvive without a scratch!. She is a survivor !.
Pasco
No, but she's somebodies wife.
Pasco
Thanks for correction!, ila wanga utawajua tuu, ni "fault finders" kazi yao kutafuta makosa tuu, na ndio hawa huishia kujifia na vijeba vya roho!.
Ila pia nakupongeza kwa ku adore, kwetu sisi wengi rangi ndio number moja, na hata ukisikia mahari za ng'ombe 100!, usidhani ni tabia!, ni rangi tuu!, na dada zetu wanajua ndio maana wengi wanahangaika na mikorogo, na hata wale wasio jikoroga, mild skin lightening cremes hawakosi kutupia tupia angalau watakatishe tuu zile ngozi zao!.
Tena naomba nisisahau kukujulisha, japo nakujua wewe ni mwanga mkubwa, lakini bado na ku adore!,
wengine tunapendaga tuu, hata wanga tunawapenda!.
Pasco.
Torches = touches
Hii ndiyo mikanjanja inayojiita waandishi wa habari.
Rangi yake inahusu nini?
We have a long way to go.
I adore Badra but it has nothing to do with her color.
Mkuu The Boss, you are very right, bahati nzuri, nimetokea kumfahamu Badra since when she was a little girl, she is and always has been a very hard working girl and always very serious, (a no nonsense girl!), kwa rangi yake na alivyo, she is and always will be a target kwa sisi the weak ones, hivyo she was always a target, and always will be, hivyo kumdhania she is an easy prey!, but she was born with a silver spoon and she's got a "midas touch", everything she touches, turn to gold, and everyone who tries to mess her, he or she, simply perish!. She has "powers from within!". She is an 'iron lady'!.
Kitabu atakuwa amekiandika siku nyingi labda ni kukiupdate tuu, the problem is sio kila kinachoandikwa ni lazima kiwe printed!, hata kuandika tuu moyoni na kukisave kwenye the safest savers (medula oblongata) inatosha!.
I beg you, no questions and no explanations kwa sababu mambo ya "powers from within" .ni ngumu kuyaelezea ukaeleweka just kama inavyotokea ajali mbaya many perish ila unakuta kuna mtu amesuurvive without a scratch!. She is a survivor !.
Pasco
Umeeleza vizuri bossman. Lakini akiandika kuhusu yanayojiri na hapo tanesco, usisahau kesi ya kina mhando iko mahakamani na lazma yeye ni shahidi. Haya mambo ayaweke akiba, akifikisha umri wa miaka 55 astaafu kwa hiari na aandike bio yake. Kwa sasa asubiri, hata kina clinton na kina madiba waliandika baada ya kutoka ofisini.
Ila seriously Pasco, umenikwaza kuongelea muonekano wake na rangi yake wakati tunaongelea taaluma yake. Huu ni ubaguzi wa kijinsia. Inakera sana mwanamke ambae anapambana kufika alipo na kuanza kuwa related na rangi ama umbo lake.