Badra Masoud aandike kitabu muhimu mno!

Badra Masoud aandike kitabu muhimu mno!

Huyo dada anapenda kutetea ufisadi,alikuwa anatetea ufisadi tanesco,aliwatetea akina maswi kipindi alivyowatuhumu kuwa wabunge wamehongwa,haya tuje tena sakata la escrow alikuwa akiwatetea tena akina maswi na muhongo as hakuna chochote walichofanya,huyo dada anajua maovu mengi na bado anakaa kimya,sasa jiulize ni kwa nini akae kimya????.....the answer is,she is also a corrupt,pia alikuwa akimtuhumu mengi waziwazi kuwa ndiyo mchochezi wa sakata la escrow na alikuwa aki msapoti bosi wake muhongo a.k.a muongo kuwa wa tanganyika hawana uwezo wa kuwekeza kwenye nishati na madini,i really hate her

kwa nafasi aliyonayo badra yeye kusema na kuandika anachoambiwa na wakuu zake....period
hana maamuzi yoyote ktk tanesco....
 
kwa nafasi aliyonayo badra yeye kusema na kuandika anachoambiwa na wakuu zake....period
hana maamuzi yoyote ktk tanesco....

Hamna naye ana nafasi yake katika kutetea ufisadi alitakiwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika,hakwepi tuhuma za ufisadi na atakuwa anashirikishwa kwenye hayo madili
 
Mama yangu alinifundisha nisimuite mtu mzinzi unless nimeshazini nae. I presume kama hujazini nae, basi walau ulishawahi kunshikia mtu mguu akiwa anafanya hayo.

Simtetei, ila simhukumu manake sijui mambo yake binafsi. Na unakosea, i for one, siko kama wengine.
King'asti, unazidi kunimaliza!, siku hizi karibu wanunuzi wote wa 'magari', wana fanya test drive drive kabla hawajanunua!, lile gari linalotumika kufanyia test drive kwenye maduka ya brand new, nalo pia linauzwa kama used, sasa huwezi kulinunua gari lilifanyiwa test drive ukajidai ni brand new, hata kama mtu wa kwanza kufanya hiyo 'test drive' ndio wewe mwenyewe, hivyo 'ulilifungua mwanzo' na kisha ukalinunua mwenyewe, sheria ya upya ni 'gari' ambalo halijaendeshwa kabisa!. Matumizi yoyote ya gari kabla halijanunuliwa, ni 'using', hivyo mengi ya magari yaliyoko barabarani ni 'used', enzi zile za zamani, enzi za mabu zetu, ndio 'brand new' zilikuwa zikipatikana, kulikuwa hakunaga 'test drive!' ni either ununue, au uache!. Only wa enzi hizo ndio walikuwa na ile tag ya 'purity!', hivyo uko right, mtu hawezi kunyooshea kidole mtu mwingine yoyote kuwa ni 'used!' unless alitumia yeye, au alimshikia mguu!.

Pasco.
 
Mwanahabari Badra Masoud ambae sasa ni msemaji wa Wizara ya Nishati na madini unaweza kusema ni mtu mwenye bahati sana sababu matukio makubwa yanayohusu serikali hadi mawaziri kuondolewa yanatokea yeye akiwa jikoni kabisa nina uhakika ana taarifa nyingi muhimu mno kwa kusomwa na vizazi na vizazi kwanza Badra alikuwa mwandishi Habari Corporations, hiyo kampuni ikaja kununuliwa na Rostam na kumfanyia debe la nguvu Kikwete na Lowassa waingie madarakani Badra was there.

Halafu aliwahi fanya kazi City water huko nako kulikuwa na a lot yalitokea Badra was there Akaenda Tanesco wakati wa kilele cha kashfa kibao hadi mkurugenzi Mhando akapelekwa mahakamani na Idrissa akafanyiwa kampeni ya kumng'oa Badra was there Halafu kutoka Tanesco akaenda wizara ya Nishati hadi kashfa ya Escrow inatokea Muhongo na Maswi wanaondolewa. Badra was there and still there.

Kwa kweli tungekuwa Marekani Badra angepewa offa ya mamilioni ili aandike kitabu aeleze yoote aliyoyajua kuanzia Habari Corporation hadi City water hadi TANESCO hadi Wizara ya Nishati ingawa tuko TZ naamini still Badra anaweza kujua jukumu lake la kizalendo la kuacha documentation ya mengi ambayo Taifa linahitaji kuyajua.

Aandike kitabu please

Pasco ...


Wazo zuri sana. Title ya kitabu chake isikose ....grand corruption in Tanzania...

Kuna thread nimesoma leo nikasema kweli The Boss huyu huyu? Ah, kumbe ni The Bos (single "s"). The devil is in the detail!
 
Hamna naye ana nafasi yake katika kutetea ufisadi alitakiwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika,hakwepi tuhuma za ufisadi na atakuwa anashirikishwa kwenye hayo madili
Unless wewe ndio pekee hiyo mamlaka husika, kwa ndio wewe tuu, na hukuipata taarifa yake!, then you have the right kudai alitakiwa kutoa taarifa kwako ila hakutoa!, lakini kama wewe sii mamlaka, then you have no right kuclaim hakutoa taarifa, unless taarifa zote zikitolewa, lazima wewe uletewe taarifa zilizotolewa!.

Pasco
 
Unless wewe ndio pekee hiyo mamlaka husika, kwa ndio wewe tuu, na hukuipata taarifa yake!, then you have the right kudai alitakiwa kutoa taarifa kwako ila hakutoa!, lakini kama wewe sii mamlaka, then you have no right kuclaim hakutoa taarifa, unless taarifa zote zikitolewa, lazima wewe uletewe taarifa zilizotolewa!.

Pasco

Sijakuelewa
 
Sijakuelewa
Umesema alitakiwa kutoa taarifa mamlaka husika!, umejuaje kama hakutoa?!, unless kama hiyo mamlaka husika ndio wewe!, au kila taarifa inayotolewa mamlaka husika lazima ipitie kwako!.

Nadhani sasa umenielewa!.

Pasco
 
Kwa ufupi maana ya silver spoon and power from within .Kaka tafadhari.
Midas touch meaning pls
Silver spoon ni wtu waliozaliwa na bahati zao!, pamoja na bidii na juhudi katika kazi, pia ana bahati, Mungu alifanya kazi ya ziada kidogo wakati wa kuumba, sura sura, nywele nywele, shape shape, fugure fugure, guu guu, kichwa kichwa!, kama ilivyoelezwa alikuwa mwandishi tuu wa kawaida, sasa she is a big boss, media zinamtegemea ku survive!.

Powers from within, kanisome hapa Powers From Within: Ni Nguvu za Kufanya Lolote na Likafanikiwa!. Wengi wanazo ila bado hawajijui!.


Midas Touch ni uwezo aliokuwa nao Mfalme Midas, kila anachogusa kinageuka dhahabu!.

Pasco
 
Umesema alitakiwa kutoa taarifa mamlaka husika!, umejuaje kama hakutoa?!, unless kama hiyo mamlaka husika ndio wewe!, au kila taarifa inayotolewa mamlaka husika lazima ipitie kwako!.

Nadhani sasa umenielewa!.

Pasco

Sasa mimi nakwambia hakutoa taarifa kokote,kuhusu kuwa nimejuaje kama hakutoa ilo siyo suala la msingi wewe jua tu hakutoa na hawezi kutoa kwa sababu na yeye anashiriki katika ufisadi
 
Huyo dada ni mshenzi tu hana lolote

SWALI: Yeye Badra amekuwa anaponaponaje katika hizi kashfa wakati yeye kwa nafasi yake ndiye mbeba mikoba ya watoa/wala rushwa? Labda tuseme ana kazi nyingine zaidi ya huo u-Meneja Uhusiano? Kote alikopelekwa alikwenda kwa sifa au mbinu nyingine? Kwa hiyo atunge kitabu cha kueleza alivyokuwa akiwapa bahasha waandishi na au alivyokuwa akisafirisha vifurushi vya noti kwenda kunakohusika? Kazi ya mameneja Uhusiano Tanzania ni mbili tu. Kutoa ana kupokea rushwa kwa ajili ya viongozi wao, BASI!!!
 
Kazi rahisi duniani kuliko zote ni kukosoa.

Umenufurahisha, kuna watu wanapenda sana kukosoa watu wengine! Sikuwa najua kwamba kazi wanayofanya ni rahisi kuliko kazi zote duniani!
 
Mimi binafsi nampenda, I wish angekuwa mke wangu!
I just imagine show yake! dah!
 
Back
Top Bottom