Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,517
- 70,323
Danganya toto jingaa kula nyama mbichiiiiii
Video ya tukio pls!Baada ya video inayomuonesha askari akimpiga mtuhumiwa aliyekaa chini akiwa na pingu, Jeshi la Polisi limemchukulia hatua askari huyo kwa kumuweka mahabusu.
Msemaji wa Polisi, SACP David Misime amesema: “Kitendo alichofanya askati huyo si tu ni kinyume cha sheria bali pia ni kinyume cha maadili ya Polisi, tayari hatua zimechukuliwa na Kamanda wa Polisi Kinondoni.
“Kijana anayeonekana akipigwa alituhumiwa kuiba simu aina ya Samsung Galaxy Note 10 ambayo alikiri kuiba na kwenda kuonesha mtu aliyemuuzia."
Si danganya toto, askari wa juu huwapeleka sana askari wa chini mahabusuDanganya toto jingaa kula nyama mbichiiiiii
Badilisheni curriculum yenu iendane na wakati wa ssasa, mwana umleavyo ndivyo akuavyoImetolewa na Jeshi la Polisi:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:
Ndugu wanahabari,
Imeonekana kipande cha video kwenye mitandao ya kijamii inayoonyesha kijana mmoja akiwa na pingu huku akipigwa na askari, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria.
Ndugu wanahabari,
Kitendo hicho si tu ni kinyume cha sheria, bali pia ni kinyume na maadili ya Jeshi la Polisi.Tukio hilo limeshachukuliwa hatua kuanzia jana na kamanda wa Polisi Kinondoni na askari aliyehusika yupo mahabusu na hatua stahiki zinaendelea kuchukuliwa dhidi yake.
Kijana anayeonekana katika kipande cha video hiyo akipigwa, alituhumiwa kuiba simu aina ya Samsung Galaxy Note 10 ambayo alikiri kuiba na kwenda kuonyesha kwa mtu aliyemuuzia ambaye naye alikutwa na simu hiyo.
Jeshi la Polisi chini ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, litaendelea kusimamia Nidhamu, Haki, Weledi a Uadilifu kwa kuchukua hatua stahiki dhidi ya askari Polisi anayekiuka sheria na maadili ya Jeshi la Polisi.
View attachment 2332502
Hiyo PGO ina msimu na msimu, maeneo na maeneo, watu na watuViko vingi tu zaidi ya hivyo.
Napendekeza askari wenu mue mnawapiga msasa matumizi sahihi ya PGO.
Wengi wao Yale mafunzo ya CCP washayasahau Wana act kwa hisia
Limekuibia mchepuko nnKuna limoja nimepanga kulitia kiberiti nitaliitia mwizi
Nikwasababu tu ya ile videoWalau hatua imechukuliwa
Upo sahihi ila mtu aliyefungwa pingu na yupo ndani ya kituo,nikosaWezi wapigwe tu hakuna namna, maisha yalivyo magumu hivi unamwibia mwenzako? Si ukaibe benki
Elfu 50 aliyopewa askari ndio imesababisha yote hayoImetolewa na Jeshi la Polisi:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:
Ndugu wanahabari,
Imeonekana kipande cha video kwenye mitandao ya kijamii inayoonyesha kijana mmoja akiwa na pingu huku akipigwa na askari, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria.
Ndugu wanahabari,
Kitendo hicho si tu ni kinyume cha sheria, bali pia ni kinyume na maadili ya Jeshi la Polisi.Tukio hilo limeshachukuliwa hatua kuanzia jana na kamanda wa Polisi Kinondoni na askari aliyehusika yupo mahabusu na hatua stahiki zinaendelea kuchukuliwa dhidi yake.
Kijana anayeonekana katika kipande cha video hiyo akipigwa, alituhumiwa kuiba simu aina ya Samsung Galaxy Note 10 ambayo alikiri kuiba na kwenda kuonyesha kwa mtu aliyemuuzia ambaye naye alikutwa na simu hiyo.
Jeshi la Polisi chini ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, litaendelea kusimamia Nidhamu, Haki, Weledi a Uadilifu kwa kuchukua hatua stahiki dhidi ya askari Polisi anayekiuka sheria na maadili ya Jeshi la Polisi.
View attachment 2332502
Elfu 50 aliyopewa askari ndio imesababisha yote hayo