Ghost Protocol
Member
- May 23, 2022
- 5
- 3
I
Umenikulbusha hichi kitabu
Heshima kwako mkuu
Elfu 50 aliyopewa askari ndio imesababisha yote hayo
Hiyo ni smartphone imesaidia. Sijui ambapo hakuna simu hali ipoje.Imetolewa na Jeshi la Polisi:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:
Ndugu wanahabari,
Imeonekana kipande cha video kwenye mitandao ya kijamii inayoonyesha kijana mmoja akiwa na pingu huku akipigwa na askari, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria.
Ndugu wanahabari,
Kitendo hicho si tu ni kinyume cha sheria, bali pia ni kinyume na maadili ya Jeshi la Polisi.Tukio hilo limeshachukuliwa hatua kuanzia jana na kamanda wa Polisi Kinondoni na askari aliyehusika yupo mahabusu na hatua stahiki zinaendelea kuchukuliwa dhidi yake.
Kijana anayeonekana katika kipande cha video hiyo akipigwa, alituhumiwa kuiba simu aina ya Samsung Galaxy Note 10 ambayo alikiri kuiba na kwenda kuonyesha kwa mtu aliyemuuzia ambaye naye alikutwa na simu hiyo.
Jeshi la Polisi chini ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, litaendelea kusimamia Nidhamu, Haki, Weledi a Uadilifu kwa kuchukua hatua stahiki dhidi ya askari Polisi anayekiuka sheria na maadili ya Jeshi la Polisi.
View attachment 2332502