pingu

Pingu is a Swiss-British stop-motion clay animated children's comedy television series created by Otmar Gutmann and produced from 1990 to 2000 for Swiss television by The Pygos Group (formerly Trickfilmstudio and Pingu Filmstudio), and from 2003 to 2006 for British television by HIT Entertainment and Hot Animation. It centres on a family of anthropomorphic emperor penguins who live at the South Pole; the main character is the family's son and title character, Pingu.
The series originally ran for four series (each series is made up of multiple seasons) from 7 March 1990 to 9 April 2000 on SF DRS and BBC Two. It was then renewed for two more series from 1 August 2003 to 3 March 2006 on Cbeebies. Pingu was also nominated for a BAFTA award. The Pingu pilot episode was made on 28 May 1986.Pingu was very popular, due to its lack of a real spoken language: nearly all dialogue is in an invented grammelot "penguin language" referred to as 'Penguinese', consisting of babbling, muttering, and the titular character's characteristic sporadic loud honking noise, which can be popularly recognized as "Noot noot!" or other variants, stated to be "Noo, Noo!" by the defunct Pingu website's trivia page, accompanied by turning his beak into a megaphone-like shape. Within the first 4 series, all the characters were performed by Italian voice actor Carlo Bonomi, using a language of noises that he had already developed and used for the earlier Osvaldo Cavandoli's La Linea. In series 5 and 6, the Pingu cast was jointly voiced by David Sant and Marcello Magni.A Japanese reboot of the series, titled Pingu in the City, began airing on NHK-E on 7 October 2017.

View More On Wikipedia.org
  1. sinza pazuri

    Hongera Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga ndoa

    Nawapongeza Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga pingu za maisha japo waliamua kufanya ndoa ya siri. Chumvi kapata chombo ya ukweli. --- NUSRAT HANJE JIKO JIPYA LA MAULIDI KITENGE Mtangazaji nguli wa Michezo Kutoka Wasafifm Maulid Kitenge amefunga ndoa na Mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje...
  2. JanguKamaJangu

    Marekani: Mwanasheria asema Trump hatafika Mahakamani akiwa amefungwa pingu

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump (76) atasafiri kutoka Florida kwa ndege yake binafsi kuelekea New York kisha kujisalimisha kwa mamlaka za Usalama ambapo anatarajiwa kufikishwa Mahakamani Jumanne Aprili 4, 2023. Licha ya kuwa mashtaka yake hayajawekwa wazi lakini inadaitwa atashtakiwa...
  3. L

    Maswa: Kijana achukuliwa na wasiojulikana. Familia yamtafuta vituo vya Polisi bila mafanikio

    Breaking: Kijana mmoja achukuliwa Maswa na wasiojulikana, AFUNGWA PINGU na kupandishwa kwenye gari,Familia yatafuta vituo vya polisi bila mafanikio.
  4. J

    Baada ya video kusambaa mtuhumiwa mwenye pingu akipigwa, askari aliyehusika awekwa mahabusu

    Imetolewa na Jeshi la Polisi: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: Ndugu wanahabari, Imeonekana kipande cha video kwenye mitandao ya kijamii inayoonyesha kijana mmoja akiwa na pingu huku akipigwa na askari, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Ndugu wanahabari, Kitendo hicho si tu ni kinyume cha...
  5. B

    Mbowe kutokufungwa pingu yawa agenda ya kamati ya roho mbaya, malalamiko kufikishwa kwa Waziri. Tusubiri

    Nimesikia Watu Zaidi ya Kumi Sasa wakilaumu Kwa Nini Magereza siku hizi wanamwacha Mbowe free bila pingu na kuruhusu asalimiane na Watu? Hii imetokea siku chache baada ya wanachadema kuimba mahakamani huku watuhumiwa wakiwa wanafurahi. Mzee Mmoja mstaafu anaishi jirani kwangu hapa ameenda mbali...
  6. JokaKuu

    Kwanini Freeman Mbowe hafungwi pingu kama washtakiwa wenzake? Yeye si ndio kinara, sponsor, na mastermind wa tuhuma zao?

    Angalieni video hapo chini? Kwanini Mbowe hafungwi pingu? Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani. Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya. Bila Mbowe kuwa na malengo...
  7. D

    Comrade Peter Magoti afunga pingu za maisha

    Leo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi. Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa...
  8. Jembe Jembe

    Shahidi: Sabaya alinifunga Pingu miguu na Mikono na nilipigwa nusu ya kifo

    Shahidi wa sita katika kesi ya Unyang'anyi wa Kutumia Silaha na uporaji inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkaoni Kilimanjaro,Lengai Ole Sabaya(34) na wenzake wawili,Bakari Rahibu Msangi ameieleza Mahakama kuwa kipigo alichokipata ni sawa na nusu kifo kwani alipoteza fahamu kwa muda...
Back
Top Bottom