raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,898
- 37,111
Yaaani kama nyie ni kuhakikisha tunakula wote ili kama ni maini kuungua tuungue wote 😄Kabisa mwisho unaweka sumu kwa chakula afe taratibu .
Yaaani kama nyie ni kuhakikisha tunakula wote ili kama ni maini kuungua tuungue wote 😄Kabisa mwisho unaweka sumu kwa chakula afe taratibu .
Hapa anatafute tu gia za kwenda kwa mahawala wake,keshamchoka mmewe. Anahemea vizuli kila kitu wanakula,lakini msokolokwinyo halidhiki. Sasa kesha pita na wanaume zaidi ya mia,huyu hapa halidhishi mbususu, lazima aende anakojua yeyeUkisoma ushauri wa wanawake humu unaona kabisa namna ambavyo kwa nini siku hizi VICOBA vya wanawake vinasababisha ndoa nyingi kuvunjika. Huwezi kusikia wanaume wanashauriana upuuzi wa hivi huwa tunaacha mhusika aamue mwenyewe ila wenzetu wanaweka maumivu yao kwa wenzao ili wawe sawa.
Dada/mdogo wangu umeolewa mdogo sana jaribu kutafuta suluhu kanisani au nyumbani kwao otherwise kwa umri huo mpaka ufike 45 ushazaa na wanaume 8. Usione wenzako wamekaa kwenye ndoa. Ndoa sio mapenzi ndoa ni taasisisiku hizi mapenzi tafuta unapojua.
Unaanzaje kusaka mapenzi kwenye ndoa? Ungetaka mapenzi usingekubali kuolewa. Hapo mnaishi kuzaa na kujenga familia.
Labda nikufunze tu, kama anarudi asubuhi kalewa na anahudumia familia yake we unasubiri nini kujiongeza utafute mapenzi? Au nawe ndio wale mahaba niuwe?
Na hawa mabarmaids wa sahv walivyo na misambwanda aiseeee ni shiiiidaaaKashachoka hiyo na vile mlevi basi anashika huko videm kweny clubs.
Asilimia kubwa ya wanaume walio kwenye ndoa ndio wateja wakubwa wa kununua malaya, trust me!!Kununua Malaya Ni kitu cha kuvumilia pia ?
Nakazia, wanaume hatupendi makeleleUchawi wako uko hapa. Na usipo badilika hatorudi tena asubuhi itakua ni kila baada ya siku kadhaa ndiyo unamuona.
WANAUME HATUPENDI MAKELELE
Atulie tu mwamba akijua ni red card au kubadilishana majengo hapo mwana mambo mengi lakini familia Ana hudumia hilo ndio jambo la msingi,hv angetelelekezwa ingekuwaje?? Kuna kitu zaid ya huo ulev Na uchepukaji bibie kuna code kaifichaHapa anatafute tu gia za kwenda kwa mahawala wake,keshamchoka mmewe. Anahemea vizuli kila kitu wanakula,lakini msokolokwinyo halidhiki. Sasa kesha pita na wanaume zaidi ya mia,huyu hapa halidhishi mbususu, lazima aende anakojua yeye
Aisee nilijua ni mimi tu 😄 ndoa si mapenzi duuuuhKuna msemoo mpyaa nimeupata humu leoo.."Ndoaa ni taasisi na sio mapenzi"...Ama kwa hakikaa safari ni ndefu.
Unaolewaje sasa na mtu hufahamu tabia zakeTulikua Tunaishi Mikoa tofauti , So Nilikua Sizifahamu
Wanawake bwana mnamambo ya ajambu. Mwanaume anayeweza kuhudumia familia utegemee awe anakugegeda wewe tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee ukitaka wako peke yako chukua akina mzabzab ambao hatuna hela na tuna vibamia. Wenye hela lazima wagegede mbussusu nyingi.
Zaidi ya covid kwan kuna ugonjwa gan mpya tena bibieMoyo Unaniuma Sana , Kwa sababu mimi Sijawai hata kuwaza kumsaliti Then Magonjwa mengi Now days
Naona unamshauri mwenzio kuelekea kwenye kifo,Mwanaime hata achepuke akisikia Mke wake analiwa jua kifuatacho ni ITVTumia kinga.....kama anahudumia familia vizuri wewe oga pendeza kula maisha. Usisahau kinga
Aisee kwa namna ulivyoandika daah, nicheki PM hakika nataka nikuoe mimi naona una akili sanaNatamani kuvunja ndoa yangu.
Habari zenu wakuu, natumai mko poa. Nimekuja na nia ya dhati kutafuta ushauri kuhusu jambo langu ambalo linanitatiza.
Mimi ni msichana mwenye umri chini ya miaka 30. Nina mtoto mmoja wa kiume. Nimekuwa katika ndoa na mume wangu kwa takriban miaka miwili sasa.
Sababu za maamuzi yangu ni kama ifuatavyo:
1. Uchepukaji uliokithiri: Huyu mume wangu amekuwa akinihadaa sana. Sijawahi kuona kitu kilichoniumiza zaidi ya kugundua kuwa anatoka na wanawake wengine. Ameomba msamaha kila mara ninapomfumania, lakini bado anarudia tabia hiyo. Kesi zetu zimekuwa nyingi kwa wazazi na nadhani wamechoka kutusuluhisha.
2. Ulevi uliopitiliza: Mume wangu ni mlevi sana. Kurudi nyumbani asubuhi ni jambo la kawaida kwake. Nimeshazungumza naye na kumweleza jinsi ninavyojisikia kuhusu tabia yake ya kunywa kupindukia, ingawa anahudumia familia vizuri. Lakini, hupati muda na familia kabisa. Inanidhalilisha sana kwa sababu tunakaa na mdogo wake nyumbani, hivyo najihisi vibaya sana anaporudi asubuhi.
Ndoa yetu imefungwa kanisani na tumekuwa tukiishi pamoja kwa miaka miwili tu. Nashauriwa nifanye nini kuhusu maamuzi yangu haya, maana sijisikii furaha kabisa katika ndoa hii. Na mimi ni mchanga sana kuishi kama hivi hadi kifo kitutenganishe.
Mimiamadiwenani?😂😂😂Huna hiyo jeuri. Usiulize ni ipi.
Nakazia.Hiyo sababu namba moja ngoja nikung'ate sikio akuna mwanaume ambae achepuki ayupo
Sio lazima iwe chakula hapo nimeandika kwa code naweka hata kwenye mbususu tuone napo utakwepa 😁😁😁Yaaani kama nyie ni kuhakikisha tunakula wote ili kama ni maini kuungua tuungue wote 😄
Unaweka sumu kwenye mbousousou 😂🤣😆 utakuja ufe kifo kibaya wewe 😄Sio lazima iwe chakula hapo nimeandika kwa code naweka hata kwenye mbususu tuone napo utakwepa 😁😁😁