Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Mkuu hivi unaelewa maumivu ya kusalitiwa ukiwa kwenye ndoa?
Hivi wewe umeolewa kweli? Kama umeolewa are u saying hujawahi salitiwa na mme wako? Mi ni me na naeza kukwambia kati ya me kumi waliooa wa umri from 30-50 mmoja tu ndo hachepuki. Ni kweli kusalitiwa kunauma lakini sioni kama kuchomoka kwa ndoa ndo ufumbuzi wa hili jambo.

Sema kuna kuchepuka na kuna kuchepuka kulikopitiliza. Nafikiri me yeyote reasonable inabidi amrespect mke wake, na njia mojawapo kumrespect ni kutomwonyeshea laivu maovu yako.
 
Mambo Madogo Sana Ambayo Hahitaji Mawazo Makubwa Kama Yako
Uvunje Ndoa Halafu Iweje? Ishi Vizuri Na Mumeo Wakati Mnapelekana Kwa Wazazi Mpaka Mnachokwa Kufanyiwa Usuluhishi Wote Mlikosea Sana


Siyo Matatizo Yote Ya Ndoa Ni Kupeleka Kwa Wazazi Ama Mshenga
Mengine Mnamaliza Ninyi Wenyewe, Kwasasa Endelea Kuishi Naye Ukivunja Ndoa Ni Vile Hujui Ndoa Za Wengine

"Ndoa Ni Kuvumiliana "
Muda Wote Wa Maisha Yenu
 
Ukisoma ushauri wa wanawake humu unaona kabisa namna ambavyo kwa nini siku hizi VICOBA vya wanawake vinasababisha ndoa nyingi kuvunjika. Huwezi kusikia wanaume wanashauriana upuuzi wa hivi huwa tunaacha mhusika aamue mwenyewe ila wenzetu wanaweka maumivu yao kwa wenzao ili wawe sawa.

Dada/mdogo wangu umeolewa mdogo sana jaribu kutafuta suluhu kanisani au nyumbani kwao otherwise kwa umri huo mpaka ufike 45 ushazaa na wanaume 8. Usione wenzako wamekaa kwenye ndoa. Ndoa sio mapenzi ndoa ni taasisisiku hizi mapenzi tafuta unapojua.

Unaanzaje kusaka mapenzi kwenye ndoa? Ungetaka mapenzi usingekubali kuolewa. Hapo mnaishi kuzaa na kujenga familia.

Labda nikufunze tu, kama anarudi asubuhi kalewa na anahudumia familia yake we unasubiri nini kujiongeza utafute mapenzi? Au nawe ndio wale mahaba niuwe?
 
Wengi huwa wanatafuta kitulizo nje,, yani hapo bora aivunje hiyo ndoa kuitwa single mama sio ishu sana, ila kuolewa itakuwa vigumu hasa kutokana na yeye kuwa na hiyo ndoa ya kanisani
Sasa ukiwa single mama si bado utakuwa unaliwa tena bila nidhamu maana watakuwa wanajipigia na kukuacha. Tofauti nini sasa?
Ndoa sio mapenzi jamani ndoa ni taasisi.
 
Hivi wewe umeolewa kweli? Kama umeolewa are u saying hujawahi salitiwa na mme wako? Mi ni me na naeza kukwambia kati ya me kumi waliooa wa umri from 30-50 mmoja tu ndo hachepuki. Ni kweli kusalitiwa kunauma lakini sioni kama kuchomoka kwa ndoa ndo ufumbuzi wa hili jambo.

Sema kuna kuchepuka na kuna kuchepuka kulikopitiliza. Nafikiri me yeyote reasonable inabidi amrespect mke wake, na njia mojawapo kumrespect ni kutomwonyeshea laivu maovu yako.
Hujawahi kuingia kwenye ndoa tulia acha kujifanya mjuaji eti usaliti kwenye ndoa ni jambo la kawaida mbona watu wana uwana kama ni kawaida.
 
Natamani kuvunja Ndoa yangu


Habari zenu wakuu ,Hope Mko Poa . Nimekuja na New ID kutaka Userious kwenye hili Jambo langu linalo nitatiza .

Moja kwa moja kwenye Mada Mimi Ni Msichana Age below 30 .Ni mama wa mtoto Mmoja wa Kiume . Niko kwenye Ndoa na Huyu mume wangu almost two years Now .

The reason behind Ya Hayo Maamuzi yangu ni kama Ifuatavyo
Uchepukaji uliokithiri , Asee Huyu Jamaa Ni Mchepukaji Sijawahi Ona na kitu Kilichoniumiza zaidi ni Siku Niliyo gundua He Even Do Bitches . And He always Admit ukimfumania na anasema ataacha lkn Holla . Within this two Years Kesi zetu zishakua Nyingi kwa wazazi Nadhani Wamechoka kutusuluhisha Now.

Mlevi alio pitiza , The Guy ni mlevi Mno , Kurudi Asubuhi kwake ni kitu cha Kawaida Sana . Nimeshaongea Ad Nimechoka . though Familia anahudumia vizuri tu . Lkn Hapati muda na Familia Kbsaa . It real embarass me coz Tunaishi na Mdogo ake hapa Nyumbn So Najiskia viby Sana Kitendo cha yeye kurudi Asubuhi .


Ndoa yetu ni ya Kanisani na Tuna miaka 2 tu Ndoani . Mnashauri Nifanye Nini Ndugu zangu kuhusu ayo Maamuzi yangu Maana Actualy Sina Furaha Kwenye hii Ndoa . And am just too young to live like this til death do us Apart .
Vumilia acha kuutafuta u single mother kwa lazima hauna dili ulidhan ndoa ni kanisan Na vyeti hizo ndio shida Na raha ulitaka Wa kufanana nae sasa una taka kumkimbia kwa nin
 
Tulia wewe, mwanaume akiingia kwenye ndoa ndio hupata zaidi vishawishi unakuta mke ndio ametoka uzazi amejiachia balaa hapo unaandika ila ukute umevaa mikanga tupu na minywele umeiachia tu.

Tulia nawe jikague vizuri, haiwezekani ndoa ya miaka miwili unaanza kulalamika mtu anakucheat. Mpe mambo jipake poda nukia oga osha mashuka, nyumba ing'ae acha kumsemesha upuuzi kila saa na acha kumkaguakagua simu yake na kumdadisi alikuwa wapi instead anza kumpa pole kwa kazi na kumwambia maneno mazuri.

Ongea nae mambo yanayokuudhi kwa upendo na upole na mfanye ajisikie aibu kwa anayoyafanya pia uasiache kumkumbusha viapo vyenu kanisani na usiache pia kumuombea kwa Mungu.

Pia ongea nae kwa upole kuhusu hisia zako kwake jinsi unavyompenda na namna anavyokuumiza kwa matendo yake. Mfahamishe kwamba wewe ni mwanadamu haupendi kujuta kuolewa nae na haupendi ifike pahala muachane au mvunje ndoa sababu ambazo anaweza kuzuia yeye mwanaume wako.

Tell him your feelings dewply kwa upole. Tafuta sehemu mtoe out na umwambie unataka kukaa nae faragha ya dinner. Mjadili bila yeye kunywa pombe ili aelewe maana akilewa atakuchukulia poa.

Jaribu kumuelezea namna ambavyo pombe inamzidi pia angalia kama inasababishwa na stress za kazi au nini? Ongea nae acha kukimbilia kutafuta ushauri mwingi maisha ni yako wewe.

Pambana ndoa sio Big Brother House. Fikiria mwanao je ataishi na wababa wangapi? Unamuacha huyu utakutana na malaika? Wanaume ndio sisi sisi tu hatuna tofauti sana we just sin differently.

Komaa na ndoa we tafuta jamaa akuliwaze kimyakimya huku unatunza ndoa kwa maana kuishi pamoja ili mtoto akue mazingira salama.
Usimfundishe ujinga ndio ataharibu kabisa ndoa, umemshaur vizur Ila huko mwisho umeharibu kabisa
 
Natamani kuvunja Ndoa yangu


Habari zenu wakuu ,Hope Mko Poa . Nimekuja na New ID kutaka Userious kwenye hili Jambo langu linalo nitatiza .

Moja kwa moja kwenye Mada Mimi Ni Msichana Age below 30 .Ni mama wa mtoto Mmoja wa Kiume . Niko kwenye Ndoa na Huyu mume wangu almost two years Now .

The reason behind Ya Hayo Maamuzi yangu ni kama Ifuatavyo
Uchepukaji uliokithiri , Asee Huyu Jamaa Ni Mchepukaji Sijawahi Ona na kitu Kilichoniumiza zaidi ni Siku Niliyo gundua He Even Do Bitches . And He always Admit ukimfumania na anasema ataacha lkn Holla . Within this two Years Kesi zetu zishakua Nyingi kwa wazazi Nadhani Wamechoka kutusuluhisha Now.

Mlevi alio pitiza , The Guy ni mlevi Mno , Kurudi Asubuhi kwake ni kitu cha Kawaida Sana . Nimeshaongea Ad Nimechoka . though Familia anahudumia vizuri tu . Lkn Hapati muda na Familia Kbsaa . It real embarass me coz Tunaishi na Mdogo ake hapa Nyumbn So Najiskia viby Sana Kitendo cha yeye kurudi Asubuhi .


Ndoa yetu ni ya Kanisani na Tuna miaka 2 tu Ndoani . Mnashauri Nifanye Nini Ndugu zangu kuhusu ayo Maamuzi yangu Maana Actualy Sina Furaha Kwenye hii Ndoa . And am just too young to live like this til death do us Apart .
Kwanza wewe sio "msichana" ni mwanamke.

Huyo "mdogo wake" unayeishi nae ni mwanamme au mwanamke?
 
Back
Top Bottom