Mrs Joho 001
Member
- Aug 5, 2023
- 57
- 153
- Thread starter
- #81
Pole mkuu.
Ndoa ni baraka
Ndoa ni tamu..
ila ina mitihani mizito kinomaa..
Sijasema muachane.. ila kwa hivyo vimeo vya jamaa hata kwa maongozo ya biblia hiyo ndoa inakizi vigezo vya kuvunjika pasipo na shaka...
yatayobaki ni maamuzi yako binafsi
Shukran Mkuu kwa ushauri