Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Humu kuna unafiki sana mada ya usaliti ikiletwa na Mwanamke ushauri wa Wanaume ni Vumilia,ila mada ikiletwa ná Mwanaume ushauri ni piga chini hakufai[emoji2372]

Wanaume wana cheat ila huyu mwanaume anaonyesha dharau hio sio ndoa Jamani
Atoke haraka sana
Ingekuwa Ana cheat Ila kwa kujificha ningempa ushauri mwingine
Mume wake ni immature atateseka sana atoke tu
Kama kuolewa ameshaolewa nadhani sasa afocus kwenye mambo mengine huko mbeleni atampata mtu sahihi,kuna vitu alikosea wakiwa wachumba hakuvijua it’s never late
 
Natamani kuvunja Ndoa yangu

Habari zenu wakuu ,Hope Mko Poa. Nimekuja na New ID kutaka Userious kwenye hili Jambo langu linalo nitatiza.

Moja kwa moja kwenye Mada Mimi Ni Msichana Age below 30 .Ni mama wa mtoto Mmoja wa Kiume . Niko kwenye Ndoa na Huyu mume wangu almost two years Now.

The reason behind Ya Hayo Maamuzi yangu ni kama Ifuatavyo
Uchepukaji uliokithiri, Asee Huyu Jamaa Ni Mchepukaji Sijawahi Ona na kitu Kilichoniumiza zaidi ni Siku Niliyo gundua He Even Do Bitches. And He always Admit ukimfumania na anasema ataacha lkn Holla. Within this two Years Kesi zetu zishakua Nyingi kwa wazazi Nadhani Wamechoka kutusuluhisha Now.

Mlevi alio pitiza, The Guy ni mlevi Mno, Kurudi Asubuhi kwake ni kitu cha Kawaida Sana. Nimeshaongea Ad Nimechoka. though Familia anahudumia vizuri tu. Lkn Hapati muda na Familia Kbsaa. It real embarass me coz Tunaishi na Mdogo ake hapa Nyumbn So Najiskia viby Sana Kitendo cha yeye kurudi Asubuhi.

Ndoa yetu ni ya Kanisani na Tuna miaka 2 tu Ndoani. Mnashauri Nifanye Nini Ndugu zangu kuhusu ayo Maamuzi yangu Maana Actualy Sina Furaha Kwenye hii Ndoa. And am just too young to live like this til death do us Apart.
Kama hakunyanyasi wewe tulizana. Hakikisha unampa space ya kutosha na ikibidi tumia PEP kula baada ya tendo la ndoa kujikinga na maambukizi.
 
Hujawahi kuingia kwenye ndoa tulia acha kujifanya mjuaji eti usaliti kwenye ndoa ni jambo la kawaida mbona watu wana uwana kama ni kawaida.
Mi ndoa yangu ina miaka 13 na tuna watoto wa nne, wa mwisho ndo ananyonya now. Wife wangu nampenda balaa... but nilimsaliti mara kadhaa hata tukiwa bado wachumba na kwa ndoa nshachepuka mara kadhaa pia.

Nikubaliane na wewe, siku akinifuma laivu nachepuka am sure ataua. Hizi ndoa zimesimama usifikiri zimesimama kwa sababu watu ni watakatifu, bali ni ka neema kanasaidia watu tusiostahili tuonekane tupo smart. Kama me wako hachepuki basi mshukuru Mungu kwa ajili ya hilo!!!
 
Wote ni ushauri mzee si amekuja kusaka ushauri? Atachuja mwenyewe. Yote yanawezekana as long havunji ndoa
Alee familia uzinz sio dili asichepuke ataharibu zaid asidanganyike.kupata mwanaume anaeweza Lea damu sio yake kwa vijana Wa sasa ni ngumu atamegwa sana tena sana hadi atamkumbuka huyo mumewe. Ila aache kibur hakuna mwanaume mchepukaji kwa mwanamke Mwenye kinywa kizur,nyumbani kuna aman mwanamke anajua majukumu yake huo muda Wa kufanya vitu vya hovyo unatoka wapi,wacha waendekeze vibur vya vicoba
 
Uwe mwalimu wake kwa makosa anayo fanya, kwenye Ukristo hakuna kuvunja ndoa. We msamehe na muweke sawa kwenye hayo makosa, ndio imani inatutaka tuwe hivyo.

Shida ni kua Habadiliki kaka angu , Nimejaribu Part yangu ila ndo ivyo
 
Wanaume hatupendi kelele.
Huenda wewe una kelele sana na hiyo ndo sababu kuu ya ulevi wa mumeo na uchepukaji.

Cha kufanya we mwache kwa muda hata wa mwezi mmoja bila kumpigia kelele za uliwa wapi, kila siku nasema hili, we mwanaume mlevi sana, hujali familia, mbona wenzio hawako ivo nk nk.

Uwe busy na kazi au biashara yako, akiona umebadilika kazi itakua kwake sasa kuanza kufatilia kwanini hupigi kelele tena, au unachepuka akikuuliza ndo hapo mtakaa sawa.

Kelele, vikao na mshataka kwa wazazi haviwezi mbadilisha.

He knows Me , Me sio Mtu wa kelele kbsa . Ila mtu ndo arudi asubuhi usiongee chochote Jmn ?
 
Back
Top Bottom