Natamani kuvunja Ndoa yangu
Habari zenu wakuu ,Hope Mko Poa. Nimekuja na New ID kutaka Userious kwenye hili Jambo langu linalo nitatiza.
Moja kwa moja kwenye Mada Mimi Ni Msichana Age below 30 .Ni mama wa mtoto Mmoja wa Kiume . Niko kwenye Ndoa na Huyu mume wangu almost two years Now.
The reason behind Ya Hayo Maamuzi yangu ni kama Ifuatavyo
Uchepukaji uliokithiri, Asee Huyu Jamaa Ni Mchepukaji Sijawahi Ona na kitu Kilichoniumiza zaidi ni Siku Niliyo gundua He Even Do Bitches. And He always Admit ukimfumania na anasema ataacha lkn Holla. Within this two Years Kesi zetu zishakua Nyingi kwa wazazi Nadhani Wamechoka kutusuluhisha Now.
Mlevi alio pitiza, The Guy ni mlevi Mno, Kurudi Asubuhi kwake ni kitu cha Kawaida Sana. Nimeshaongea Ad Nimechoka. though Familia anahudumia vizuri tu. Lkn Hapati muda na Familia Kbsaa. It real embarass me coz Tunaishi na Mdogo ake hapa Nyumbn So Najiskia viby Sana Kitendo cha yeye kurudi Asubuhi.
Ndoa yetu ni ya Kanisani na Tuna miaka 2 tu Ndoani. Mnashauri Nifanye Nini Ndugu zangu kuhusu ayo Maamuzi yangu Maana Actualy Sina Furaha Kwenye hii Ndoa. And am just too young to live like this til death do us Apart.