unaambiwa kama huwezi kuacha jifunze kuvumilia, hapo amua ku badilika wewe sasa kama ye habadiliki anyway ndo umeshaolewa achana na kuwaza talaka kwa sasa wakati bado una njia za kutetea ndoa yako, jaribu kuwa kama unampuuza usionyeshe kujali saana matabia yake jifanye tu unaona fresh tu, akirudi hiyo asubuhi mkaribishe na supu kabisa waaala usiongee yaaani jifanye ni kawaida tu ndo mmeamka wote kingine kuwa bize kufanya unavyovipenda, asipo badilika ndo useme una achia ngazi ila trust me lazima atabadilika hata kidogo, ni ngumu ila jaribu.
kwenye kujilinda kiafya utajua mwenyewe.