Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Wewe una mapungufu gani mboni unaeleza tu kutaka sympathy za watu weakness zake umeeleza then what's your weakness nini unachokifanya kinachompelekea yeye kua na hali aliyokua nayo? Hakuna binadamu anaefanya kitu/Jambo bila kua na chanzo sasa chanzo cha yeye kua na tabia za kimalayamalaya ni nini

Umalaya ni Kama Hulka tu ya Mtu , Kwamba mimi ndo sababu ya yeye kuchepuka ?
 
Tulia wewe, mwanaume akiingia kwenye ndoa ndio hupata zaidi vishawishi unakuta mke ndio ametoka uzazi amejiachia balaa hapo unaandika ila ukute umevaa mikanga tupu na minywele umeiachia tu.

Tulia nawe jikague vizuri, haiwezekani ndoa ya miaka miwili unaanza kulalamika mtu anakucheat. Mpe mambo jipake poda nukia oga osha mashuka, nyumba ing'ae acha kumsemesha upuuzi kila saa na acha kumkaguakagua simu yake na kumdadisi alikuwa wapi instead anza kumpa pole kwa kazi na kumwambia maneno mazuri.

Ongea nae mambo yanayokuudhi kwa upendo na upole na mfanye ajisikie aibu kwa anayoyafanya pia uasiache kumkumbusha viapo vyenu kanisani na usiache pia kumuombea kwa Mungu.

Pia ongea nae kwa upole kuhusu hisia zako kwake jinsi unavyompenda na namna anavyokuumiza kwa matendo yake. Mfahamishe kwamba wewe ni mwanadamu haupendi kujuta kuolewa nae na haupendi ifike pahala muachane au mvunje ndoa sababu ambazo anaweza kuzuia yeye mwanaume wako.

Tell him your feelings dewply kwa upole. Tafuta sehemu mtoe out na umwambie unataka kukaa nae faragha ya dinner. Mjadili bila yeye kunywa pombe ili aelewe maana akilewa atakuchukulia poa.

Jaribu kumuelezea namna ambavyo pombe inamzidi pia angalia kama inasababishwa na stress za kazi au nini? Ongea nae acha kukimbilia kutafuta ushauri mwingi maisha ni yako wewe.

Pambana ndoa sio Big Brother House. Fikiria mwanao je ataishi na wababa wangapi? Unamuacha huyu utakutana na malaika? Wanaume ndio sisi sisi tu hatuna tofauti sana we just sin differently.

Komaa na ndoa we tafuta jamaa akuliwaze kimyakimya huku unatunza ndoa kwa maana kuishi pamoja ili mtoto akue mazingira salama.
Dah! Nilitaka nikupe like, but hapo mwisho umeharibu. Kutafuta jamaa wa kumliwaza kutamuongezea matatizo zaidi
 
Umalaya ni Kama Hulka tu ya Mtu , Kwamba mimi ndo sababu ya yeye kuchepuka ?
Haujanielewa mkuu nimesema wewe ni kivuli chake halisi cha mienendo, tabia na matendo yake, ukiwa mtu wa kupenda ibada nae utamshawishi apende ibada ili mtembee njia moja umesema mlifunga ndoa kanisani je Mara ya mwisho kwenda kanisani pamoja ilikua lini?
 
unaambiwa kama huwezi kuacha jifunze kuvumilia, hapo amua ku badilika wewe sasa kama ye habadiliki anyway ndo umeshaolewa achana na kuwaza talaka kwa sasa wakati bado una njia za kutetea ndoa yako, jaribu kuwa kama unampuuza usionyeshe kujali saana matabia yake jifanye tu unaona fresh tu, akirudi hiyo asubuhi mkaribishe na supu kabisa waaala usiongee yaaani jifanye ni kawaida tu ndo mmeamka wote kingine kuwa bize kufanya unavyovipenda, asipo badilika ndo useme una achia ngazi ila trust me lazima atabadilika hata kidogo, ni ngumu ila jaribu.
kwenye kujilinda kiafya utajua mwenyewe.
 
1.tulikua tunaishi Mikoa tofauti So Nilikua sizifahamu
2. Nampa kiroho safi kbsaa
3. Hapana mimi ni mpole
4 . Sina marafiki wa kiume
Basi kua mwalimu wake ila hapo kwenye namba tatu umeongopea maana kuna ujumbe huko chini umesadifu kua wewe ni muongeaji sana .

Punguza kuongea na acha kumfatilia kila anapo zingua .

,Mpe pigo la kiakili kwa sababu ulisha mwambia anakosea ila anaendelea wewe kua busy na majukumu yako usionyeshe kushtuka wala nini , kua busy tu na kazi zako na mwema kwake kwa week angalau moja lazima atauliza kulikoni na akiuliza tuu anzeni hapo hapo kuyajenga.

NB. WANAUME TUKIKOSEA ALAFU MWANAMKE AKAJUA NA AKAKAA KIMNYA HUAGA TUNAHISI HATIA MOYONI , ILA UKINYANYUA MDOMO NDIYO UMECHOCHEA KOSA

Kama ni uongo nipigwe mawe nipo hapa
 
Kwa umuri wenu 28 na 31yrs sidhani kama hiyo ndoa inaweza ku-survive hapo wengi mko kwenye age of adventure and regrate, kama unashida na ndoa tafuta mwanaume alio pevuka umri kuanzia 38yrs au tafuta mwanaume mwenye shida ya pesa mnyenyekevu ila sio masikini sana.
 
Back
Top Bottom