Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Uko sahihi kabisa, huyu Pslmp akubali mikataba yote tata ipelekwe bungeni. Kelele hazijaanza leo kwa huu wa Bagamoyo, yote yenye ukakasi ikajadiliwe tupate mwanga. Ununuzi wa ndege umepigiwa kelele sana, ujenzi wa uwanja wa ndege Chato, kelele tumezisikia, kwa nini huyu Pslmp anataka huu wa Bagamoyo tu?