Eti, Rais hakushauriwa vizuri kuhusu mradi wa ujenzi bandari ya Bagamoyo, Wakati huohuo yeye ndiye mshauri mkuu wa serikali, alikuwa wapi?
Raisi wetu amefariki ndo kunampa mwanya wa kumwandama na kumkandia kila Neno Baya, sasa tunataka mtwambie kama Kweli kazi yenu ni kuishauri serikali na kuisimamia
Kabla ya tamko lako Jana kuhusu ujenzi na uwekezaji wa bandari ya Bagamoyo, uliwahi pia kutamka kwamba, mradi huo ni hasara Kwa Serikali Kwa jinsi Mkataba wake ulivyokaa, na kama ndivyo, wewe ndiye umetufanya kama Taifa tuchelewe kuwa na mradi huo, unapaswa kujibu hili
Sasa Sisi tushike lipi?
Najiuliza, Yeye kama mkuu wa mhilimili huo, anaongoza chombo chenye kazi ya kuishauri na kuisimamia serikali, Alikuwa wapi, mbona alitaka Raisi aongezewe muda wa kutawala? Si ni yeye jamani au ni mwingine!! Je, hakuwa analiona tatizo la ufisadi uliokuwa unaendelea?
Istoshe, yeye huyohuyo ndiye aliyekataa kufanya kazi na CAG msomi bwana Assad, alimaanisha nini??
Kwa tarifa iliyosomwa na CAG bwana Kichere, imeibua madudu makubwa na ufisadi wa kutisha, badara ya yeye na mawaziri wote kama sio Bunge loote kuwajibika Kwa kushindwa kuisimamia serikali anaibuka na Jambo la ajabu tu ili masikio yetu ayaondoe kusikia tarifa za CAG, na ili tu tuanze kusikia habari za ujenzi bandari yetu pale Bagamoyo na yeye aone kama anapata pa kujipatia Kiki!! Haitawezekana,
Uliogopa nini kumshauri Raisi hapo awali kama kweli mradi haukuwa na tatizo, Kwa hiyo uliamua kumpaka uji Kwa mgongo wa chupa??
Tukionyesha hasira zetu wananchi tuliowatuma kwenda kusimamia rasilimali zetu mnatutumia wasiojulikana, ni Sawa Kwani kufa ni kutangulizana Tu
Tunalitaka Bunge liwajibike katika hili, la sivyo mtuambie ni Kwa nini mlitaka Raisi aongezewe muda
Tunataka pia, mradi wa Ujenzi bandari ya Bagamoyo, Mkataba wake uwekwe mezani tuambie yaliyomo na Kisha Bunge loote livunjwe, Kwani ni hasara tupu!!
Acha tupige 🏋️🏋️🏋️
Ni wakati wa speeker kuwajibishwa na Bunge lake
Kumbe hamuaminiki tena!!
Raisi wetu amefariki ndo kunampa mwanya wa kumwandama na kumkandia kila Neno Baya, sasa tunataka mtwambie kama Kweli kazi yenu ni kuishauri serikali na kuisimamia
Kabla ya tamko lako Jana kuhusu ujenzi na uwekezaji wa bandari ya Bagamoyo, uliwahi pia kutamka kwamba, mradi huo ni hasara Kwa Serikali Kwa jinsi Mkataba wake ulivyokaa, na kama ndivyo, wewe ndiye umetufanya kama Taifa tuchelewe kuwa na mradi huo, unapaswa kujibu hili
Sasa Sisi tushike lipi?
Najiuliza, Yeye kama mkuu wa mhilimili huo, anaongoza chombo chenye kazi ya kuishauri na kuisimamia serikali, Alikuwa wapi, mbona alitaka Raisi aongezewe muda wa kutawala? Si ni yeye jamani au ni mwingine!! Je, hakuwa analiona tatizo la ufisadi uliokuwa unaendelea?
Istoshe, yeye huyohuyo ndiye aliyekataa kufanya kazi na CAG msomi bwana Assad, alimaanisha nini??
Kwa tarifa iliyosomwa na CAG bwana Kichere, imeibua madudu makubwa na ufisadi wa kutisha, badara ya yeye na mawaziri wote kama sio Bunge loote kuwajibika Kwa kushindwa kuisimamia serikali anaibuka na Jambo la ajabu tu ili masikio yetu ayaondoe kusikia tarifa za CAG, na ili tu tuanze kusikia habari za ujenzi bandari yetu pale Bagamoyo na yeye aone kama anapata pa kujipatia Kiki!! Haitawezekana,
Uliogopa nini kumshauri Raisi hapo awali kama kweli mradi haukuwa na tatizo, Kwa hiyo uliamua kumpaka uji Kwa mgongo wa chupa??
Tukionyesha hasira zetu wananchi tuliowatuma kwenda kusimamia rasilimali zetu mnatutumia wasiojulikana, ni Sawa Kwani kufa ni kutangulizana Tu
Tunalitaka Bunge liwajibike katika hili, la sivyo mtuambie ni Kwa nini mlitaka Raisi aongezewe muda
Tunataka pia, mradi wa Ujenzi bandari ya Bagamoyo, Mkataba wake uwekwe mezani tuambie yaliyomo na Kisha Bunge loote livunjwe, Kwani ni hasara tupu!!
Acha tupige 🏋️🏋️🏋️
Ni wakati wa speeker kuwajibishwa na Bunge lake
Kumbe hamuaminiki tena!!