jakomala
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 514
- 367
Kwa Hussein sokoni?Niko Musoma
Kwa Hussein sokoni?Niko Musoma
Sometimes channel zinakata zenyewe.Kina shida gani kwani
Zipo amc 352 na African movie 300Wameipeleka huko hili iweje Azam kuna mda sijui wapo vipi
Waliharibu sana aiseeMimi DSTV waliniudhi walipo toa chanel ya 1 Gospel
angalia huu uzi ulichapishwa tarehe ngapi halafu connect dotsZipo amc 352 na African movie 300
Je naweza kutumia receiver ya star times kwa dish La Zuku?Wanavyo,na unaweza ukanunua receiver ya star times kwa 39000 tu na ukatumia dish la azam bila shida yoyote
Nishawahi kuizungumza kwa DSTV, Sema wanajifanya kichwa maji njaa zikiwatafuna watafanya ivvyoHawa azam bhana mm nangalia chanel 5 tu halafu nalipia 18000 muda wa kungalia wenyewe sina ni bora tuziwe chanel moja moja mtu unayo itaka
DSTV ukiachilia mbali bei zao, lakini kwenye stability wako vizuri sana. Hawabadili badili sana channels.habari zenu wakuu,
Nilijiunga na Azam Tv baada ya kuona humu JF watu wanaisifia sana. na channel zangu pendwa zilikuwa mbili tu AMC series na AMC Movie. sasa wametoa hizo channel yaani Azam haina radha tena. najirudia zangu star times pamoja na mapungufu yao lkn wanaeleweka angalau. sasa hivi najitahidi kuangalia tu fox.
Mambo yakikaa sawa nahamia DSTV nafikiri hawa hawana longolongo. nimeangalia kwenye channel list nimeona AMC zipo kwenye kifurushi cha chini. Wakuu watumiaji wa DSTV naombeni mnijuze hawa DSTV na wenyewe upuuzi wa kutoa channel wanavyojisikia wanao?
Azam mnajiharibia biashara sana, tunapiga simu kuulizia majibu hayaeleweki.
Ndio sh ngapi mkuu? Bei yakeDigitek hawajawahi niangusha. Kwanza ni bure, hakuna malipo yoyote baada ya kununua king'amuzi. ITV, TBC1, Channel 10, Star TV, EATV, Capital, Algezeera, Citizens TV, Emmanuel TV, Ipo nyingine ya Kiislam, na zingine kibao kama za Japan na maigizo n.k.
Kwa matumizi nyumbani na kwa kuwa sina muda wa kuangalia Tv zaidi ya taarifa ya habari nadhani hizo zinanitosha.
Mkuu ulilazimishwa?Sijui sasa hivi ni kiasi gani. Nilinunua toka tulipolazimishwa kuhama toka analog
Unatumia bila shida tena kama ulikuwa umeshafunga zuku usiitoe hapo weka tu receiver itaendelea kukamua kama kawaida.Startimes na zuku wapo kwenye satellite moja,ushauri wa buree bila kumuita fundiJe naweza kutumia receiver ya star times kwa dish La Zuku?
Nyie AZAM TV mnatujazia chaneli za makabachori utafikiri wateja wenu wengi ni makabachori?!!!.Leteni chaneli ambazo zinasisimua uchumi wa viwanda,kuwafahamisha watu wapi fursa zipo sio hizo za kuigiza maisha ya kusadikika tumechoshwa sasa.
BADILIKENI TUENDE SAWA OTHERWISE MTAANGUKIA PUA KAMA STAR TIMES SIKU SI NYINGI!!