Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,748
Kabla sijahamia DSTV, Kuna hiki kifurushi cha 35,000 nilikuwa napata chaneli mbc1,mbc 2 , espn, espn 2, mbc action , history, nat geo, fox news, discvrry, dsscvry ID.
Je, ni kweli Azam wameziondoa nyingi kati ya hizo chaneli nilizotaja hapo au ni maneno ya watu tu?
Nataka kuweka TV dukani. Sasa nafikiria kuweka azam na hizo chaneli hapo juu ndio burudani zangu.
Je, ni kweli Azam wameziondoa nyingi kati ya hizo chaneli nilizotaja hapo au ni maneno ya watu tu?
Nataka kuweka TV dukani. Sasa nafikiria kuweka azam na hizo chaneli hapo juu ndio burudani zangu.