Chona
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 523
- 360
Sijui sasa hivi ni kiasi gani. Nilinunua toka tulipolazimishwa kuhama toka analogMkuu kinauzwa bei gani maana mwenyewe naona Azam wananifilisi tu kulipia wakati muda wakuangalia tv sinaga
Sijui sasa hivi ni kiasi gani. Nilinunua toka tulipolazimishwa kuhama toka analogMkuu kinauzwa bei gani maana mwenyewe naona Azam wananifilisi tu kulipia wakati muda wakuangalia tv sinaga
Sidhani, muda wangu wa kukodoa kwenye TV ni mchache, hivyo mara nyingi mi ni taarifa za habari na vipindi vya uchambuzi kwa TV tofauti ambavyo najua muda wake. Labda wanaojua zaidi watakujuza. Kuhusu gharama, sikumbuki sasa ni kiasi gani wakati ule kilikuwa cheap ukilinganisha na vilivyokuwa sokoni na bado uhitajiki kulipia chochote baada ya kununuaMkuu kina movie za actions? Kina uzwa bei gani?
Sbukrani ntakitafuta hichoSidhani, muda wangu wa kukodoa kwenye TV ni mchache, hivyo mara nyingi mi ni taarifa za habari na vipindi vya uchambuzi kwa TV tofauti ambavyo najua muda wake. Labda wanaojua zaidi watakujuza. Kuhusu gharama, sikumbuki sasa ni kiasi gani wakati ule kilikuwa cheap ukilinganisha na vilivyokuwa sokoni na bado uhitajiki kulipia chochote baada ya kununua
riphabari zenu wakuu,
Nilijiunga na Azam Tv baada ya kuona humu JF watu wanaisifia sana. na channel zangu pendwa zilikuwa mbili tu AMC series na AMC Movie. sasa wametoa hizo channel yaani Azam haina radha tena. najirudia zangu star times pamoja na mapungufu yao lkn wanaeleweka angalau. sasa hivi najitahidi kuangalia tu fox.
Mambo yakikaa sawa nahamia DSTV nafikiri hawa hawana longolongo. nimeangalia kwenye channel list nimeona AMC zipo kwenye kifurushi cha chini. Wakuu watumiaji wa DSTV naombeni mnijuze hawa DSTV na wenyewe upuuzi wa kutoa channel wanavyojisikia wanao?
Azam mnajiharibia biashara sana, tunapiga simu kuulizia majibu hayaeleweki.
ya kweli hakuna , lakini nilipiga simu wakasema wameweka MUVI AFRICA UNITE LI CHANEL LA KISHAMBA LA WAZAMBIA SINEMA ZA KIZAMANIA HAZINA HATA ISSUE WANASEMA MKATABA ULIISHA MPAKA WAKISAINI TENAhabari zenu wakuu,
Nilijiunga na Azam Tv baada ya kuona humu JF watu wanaisifia sana. na channel zangu pendwa zilikuwa mbili tu AMC series na AMC Movie. sasa wametoa hizo channel yaani Azam haina radha tena. najirudia zangu star times pamoja na mapungufu yao lkn wanaeleweka angalau. sasa hivi najitahidi kuangalia tu fox.
Mambo yakikaa sawa nahamia DSTV nafikiri hawa hawana longolongo. nimeangalia kwenye channel list nimeona AMC zipo kwenye kifurushi cha chini. Wakuu watumiaji wa DSTV naombeni mnijuze hawa DSTV na wenyewe upuuzi wa kutoa channel wanavyojisikia wanao?
Azam mnajiharibia biashara sana, tunapiga simu kuulizia majibu hayaeleweki.
yaani sana tu, wanaweza ona tatizo dogo lkn likawaharibia sifa yao. wape wateja kitu wanachopenda. Azam illisifika sana ila sasa imeanza kushuka.KWELI MWAKA HUU UKIISHA HAWAJARUDISHA AFRICA MOVIE CHANEL NAHAMA KAMA KUNA MTU AZAM HUMU NDANI AFUKISHE UJUMBE MTAPOTEZA SANA WATEJA KWA STAILI HII SIKWEZI KULIPA 23,000 NAPATA MACHANELI YA KIHINDI TU YA NINI
Ilikuwa imezuiwa labda kama wameifungua leoAMC ipo jamani! Angalieni kwenye other channels
Acha kudanganya Tbc ipo akam kawaHawa jamaa yaan hela ikiisha wanakata hadi local channels, dah