AZAM TV nawahama kwa kweli

Mimi kuanzia January nahamia dstv,Nilikuwa nina furahia sana chanel ya African movie inayoonyesha movie za Ki-nigeria kwani mimi nina alerg na Bongo movie tangu walipoanza kujifanya wana harakati na kushiriki kwenye kampeni na ushabiki wa kisiasa,hivyo siangalii kabisa Bongo movie. Kuanzia wiki hii mwanzoni hiyo channel haionekani,nimekuwa frustrated nataka nihamie DSTV kwani wana channel nyingi za Nigeria movies
 
Tbc nayo ya kutolea mfano? Zingine je? Wengine hela ikikata wanaacha zote local channels
Tbc ndio channel ambayo haipo kibiashara inatumia kodi zetu kujiendesha so inapatikana bure.

Lakini channel kama Itv, Star tv, clouds,nk hadi ulipie ndio unazipata kutokana na Azma Tv company wanazilipia zile channel ile ziwepo kwenye king'amuzi chao.
 
0764700222 ndo huduma kwa wateja Azam.
Nimefoka siku 3 kuhusu AMC series na AMC movie kuondolewa.Wanadai et wanafuatilia mikataba tena iliisha ya awali.
 
Tbc ndio channel ambayo haipo kibiashara inatumia kodi zetu kujiendesha so inapatikana bure.

Lakini channel kama Itv, Star tv, clouds,nk hadi ulipie ndio unazipata kutokana na Azma Tv company wanazilipia zile channel ile ziwepo kwenye king'amuzi chao.
Km ndio hivyo, hao wengine wanawezaje kuziacha?
 
Waliwaondoa TV1 kisa walianza kuonesha EPL, wakatoa na LFC TV
Poor Azam
 
Ligi kuu bara ndio inawaokoa. TV1 ndio ilikua chaneli inayojitahidi lakini na yenyewe wakashindwa kuibakiza
 
Siku azam wakiondoa IDx, Discovery, National Geographic basi na mimi ndipo ntafungua dish na decoder na kulitupa uvunguni
Hizo mbona unazipata kwa 18000 star times ya dish na ziada ya history channel
 
Back
Top Bottom