e nkwasi
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 381
- 283
Hii imekaaje kiongozi. Fafanua kdgWanavyo,na unaweza ukanunua receiver ya star times kwa 39000 tu na ukatumia dish la azam bila shida yoyote
Hii imekaaje kiongozi. Fafanua kdgWanavyo,na unaweza ukanunua receiver ya star times kwa 39000 tu na ukatumia dish la azam bila shida yoyote
Kwenye hizo channels kuna ambayo unapata mieleka angalau Mara 1 kwa wiki?Digitek hawajawahi niangusha. Kwanza ni bure, hakuna malipo yoyote baada ya kununua king'amuzi. ITV, TBC1, Channel 10, Star TV, EATV, Capital, Algezeera, Citizens TV, Emmanuel TV, Ipo nyingine ya Kiislam, na zingine kibao kama za Japan na maigizo n.k.
Kwa matumizi nyumbani na kwa kuwa sina muda wa kuangalia Tv zaidi ya taarifa ya habari nadhani hizo zinanitosha.
Kwahiyo king'amuzi chake ni how much bossDigitek hawajawahi niangusha. Kwanza ni bure, hakuna malipo yoyote baada ya kununua king'amuzi. ITV, TBC1, Channel 10, Star TV, EATV, Capital, Algezeera, Citizens TV, Emmanuel TV, Ipo nyingine ya Kiislam, na zingine kibao kama za Japan na maigizo n.k.
Kwa matumizi nyumbani na kwa kuwa sina muda wa kuangalia Tv zaidi ya taarifa ya habari nadhani hizo zinanitosha.
Dish la azam linafaa kabisa kutumika unabadili muinamo kidogo saaana karibu na degree 40 ktk angle. Mimi baada yakuona receiver yao inanisumbua na sipati msaada wakueleweka nikaona isiwe tabu,kama ni league ya bongo tu tusizinguane nikanunua receiver ya dish ya star times tu mambo sasa ni murua kabisa. Hakuna utakacho kikosa zaidi ya hizo channel za azam pekee na gharama yao ipo chini.Hii imekaaje kiongozi. Fafanua kdg
Kule DSTV unazipata kwa kufurushi cha 19,000habari zenu wakuu,
Nilijiunga na Azam Tv baada ya kuona humu JF watu wanaisifia sana. na channel zangu pendwa zilikuwa mbili tu AMC series na AMC Movie. sasa wametoa hizo channel yaani Azam haina radha tena. najirudia zangu star times pamoja na mapungufu yao lkn wanaeleweka angalau. sasa hivi najitahidi kuangalia tu fox.
Mambo yakikaa sawa nahamia DSTV nafikiri hawa hawana longolongo. nimeangalia kwenye channel list nimeona AMC zipo kwenye kifurushi cha chini. Wakuu watumiaji wa DSTV naombeni mnijuze hawa DSTV na wenyewe upuuzi wa kutoa channel wanavyojisikia wanao?
Azam mnajiharibia biashara sana, tunapiga simu kuulizia majibu hayaeleweki.
KWELI MWAKA HUU UKIISHA HAWAJARUDISHA AFRICA MOVIE CHANEL NAHAMA KAMA KUNA MTU AZAM HUMU NDANI AFUKISHE UJUMBE MTAPOTEZA SANA WATEJA KWA STAILI HII SIKWEZI KULIPA 23,000 NAPATA MACHANELI YA KIHINDI TU YA NINI
Wana decoder za dish?? Bei zao zikojeDigitek hawajawahi niangusha. Kwanza ni bure, hakuna malipo yoyote baada ya kununua king'amuzi. ITV, TBC1, Channel 10, Star TV, EATV, Capital, Algezeera, Citizens TV, Emmanuel TV, Ipo nyingine ya Kiislam, na zingine kibao kama za Japan na maigizo n.k.
Kwa matumizi nyumbani na kwa kuwa sina muda wa kuangalia Tv zaidi ya taarifa ya habari nadhani hizo zinanitosha.
Sasa ukitumia dish azam na lnb yao utakuwa unapata channel gani hapo mkuuWanavyo,na unaweza ukanunua receiver ya star times kwa 39000 tu na ukatumia dish la azam bila shida yoyote
Uko wap mkuu uniuzie hyo risivahabari zenu wakuu,
Nilijiunga na Azam Tv baada ya kuona humu JF watu wanaisifia sana. na channel zangu pendwa zilikuwa mbili tu AMC series na AMC Movie. sasa wametoa hizo channel yaani Azam haina radha tena. najirudia zangu star times pamoja na mapungufu yao lkn wanaeleweka angalau. sasa hivi najitahidi kuangalia tu fox.
Mambo yakikaa sawa nahamia DSTV nafikiri hawa hawana longolongo. nimeangalia kwenye channel list nimeona AMC zipo kwenye kifurushi cha chini. Wakuu watumiaji wa DSTV naombeni mnijuze hawa DSTV na wenyewe upuuzi wa kutoa channel wanavyojisikia wanao?
Azam mnajiharibia biashara sana, tunapiga simu kuulizia majibu hayaeleweki.
Unapata za star times kwasababu receiver itakuwa umeiset kwa frequencies na polarization katika satellite ya star times na sio ya Azam. Usiwaze sana mkuu,tafuta fundi unaemwamini wa sattelite dishes umuulize au nenda kwenye startimes shop uulize kama haiwezekaniSasa ukitumia dish azam na lnb yao utakuwa unapata channel gani hapo mkuu
Sasa TBC nayo ni TV?!Acha kudanganya Tbc ipo akam kawa
Hawa azam bhana mm nangalia chanel 5 tu halafu nalipia 18000 muda wa kungalia wenyewe sina ni bora tuziwe chanel moja moja mtu unayo itakaMkuu kinauzwa bei gani maana mwenyewe naona Azam wananifilisi tu kulipia wakati muda wakuangalia tv sinaga