Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,814
- 9,189
Na ndio chombo cha kusagia watu kunguni
hapo sasaTBC na TCRA nani mfafanuzi sasa.
SureHii sentensi, nilichoelewa, alichomaanisha ni kuondoa habari yoyote inayoishambulia serikali..!!
Kuna utofaut gani na Millard ikiwa mada zinazopendwa ndio zinabakishwa? Utofaut wa hapa na Millard ayo ni kuwa waaandish wa Millard ayo wanalipwa wew hulipwi, ila wote mna kazi ya kuhakikisha idea za mwenye website zinafika,Nakubaliana na wewe JF wanamapungufu.
Hatahivyo, JF ni user-generated content site fahamu hilo.
Huko kwa Millard Ayo ninaweza kusajili akaunti yangu na kuanzisha mada na kujadili na wanachama wengine?
Hii ndio platform wenye akili tunatumia.Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana.
Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma iliyowasilishwa na Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo aliyesema JamiiForums sio chombo cha Habari bali ni Jukwaa la mtandao.
“Jamii Forum tusipepese macho ni chombo cha Habari kama vyombo vingine na sio Jukwaa tu kama tunavyoambiwa, kitu cha kuwashauri watafute wahariri wazuri wa kuhariri habari zao.” amesema Dkt. Rioba.
==
Pia soma:
Mkuu wa Programu JamiiForums: Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani, tuuthamini
Anataka tuanze kulipia kodi?Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana.
Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma iliyowasilishwa na Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo aliyesema JamiiForums sio chombo cha Habari bali ni Jukwaa la mtandao.
"Jamii Forum tusipepese macho ni chombo cha Habari kama vyombo vingine na sio Jukwaa tu kama tunavyoambiwa, kitu cha kuwashauri watafute wahariri wazuri wa kuhariri habari zao." amesema Dkt. Rioba
Nimekuuliza ninaweza sajili akaunti kwa Milard Ayo na kuanzisha mada kwa lengo la kujadili na member wengine kama inavyofanyika hapa JF?Kuna utofaut gani na Millard ikiwa mada zinazopendwa ndio zinabakishwa? Utofaut wa hapa na Millard ayo ni kuwa waaandish wa Millard ayo wanalipwa wew hulipwi, ila wote mna kazi ya kuhakikisha idea za mwenye website zinafika,
Huwez post mada ambayo millard hapend same huku, huwez post mada jf haipend
Hapo anamaanisha taarifa wasizozipenda ziwe zinapigwa msasa kabla hazijaruka hewani"Watafute wahariri wazuri wakuchuja habari zao"
Hajaoa?Akaoe kwanza ndipo aje aongee mbele na wanaume...
"Waandishi wa Milard Ayo" huwezi kuwalinganisha hata na Moderators wa JF, wewe umeenda mbali zaidi kuwalinganisha na members!Kuna utofaut gani na Millard ikiwa mada zinazopendwa ndio zinabakishwa? Utofaut wa hapa na Millard ayo ni kuwa waaandish wa Millard ayo wanalipwa wew hulipwi, ila wote mna kazi ya kuhakikisha idea za mwenye website zinafika,
Huwez post mada ambayo millard hapend same huku, huwez post mada jf haipend
Jamiiforums ina creativity ndogo sanaaaaa, utofaut wake na Millard Ayo ni mdogo sana"Waandishi wa Milard Ayo" huwezi kuwalinganisha hata na Moderators wa JF, wewe umeenda mbali zaidi kuwalinganisha na members!
Umesahau pia kuwa hapa kuna fursa ya kuwa anonymous "kutojulikana" tofauti na kwa Ayo.
Kwa akili za kiccm hapo wanawaza kuwabambikia Kodi tu.Inaonekana watu wengi wanashabikia huu mjadala bila kuelewa maana halisi na tofauti, hususan kisheria.