Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao

Huyu jamaa ndio anahitaji Elimu na sio kwamba yeye ndio atoe Elimu.... Huenda Jamii Forums kama Taasisi kwa ujumla wake ikawa chombo cha habari ila hili lidude ninalotype hapa sasa hivi na kutoa maandishi yangu ni Mtandao wa Kijamii...

Au kwa maana yake yeye ni kwamba duniani hakuna kitu kama Jukwaa / Mtandao / Social Media
 
Nakubaliana na wewe JF wanamapungufu.

Hatahivyo, JF ni user-generated content site fahamu hilo.

Huko kwa Millard Ayo ninaweza kusajili akaunti yangu na kuanzisha mada na kujadili na wanachama wengine?
Kuna utofaut gani na Millard ikiwa mada zinazopendwa ndio zinabakishwa? Utofaut wa hapa na Millard ayo ni kuwa waaandish wa Millard ayo wanalipwa wew hulipwi, ila wote mna kazi ya kuhakikisha idea za mwenye website zinafika,

Huwez post mada ambayo millard hapend same huku, huwez post mada jf haipend
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana.

Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma iliyowasilishwa na Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo aliyesema JamiiForums sio chombo cha Habari bali ni Jukwaa la mtandao.

“Jamii Forum tusipepese macho ni chombo cha Habari kama vyombo vingine na sio Jukwaa tu kama tunavyoambiwa, kitu cha kuwashauri watafute wahariri wazuri wa kuhariri habari zao.” amesema Dkt. Rioba.

==

Pia soma:

Mkuu wa Programu JamiiForums: Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani, tuuthamini
Hii ndio platform wenye akili tunatumia.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana.

Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma iliyowasilishwa na Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo aliyesema JamiiForums sio chombo cha Habari bali ni Jukwaa la mtandao.

"Jamii Forum tusipepese macho ni chombo cha Habari kama vyombo vingine na sio Jukwaa tu kama tunavyoambiwa, kitu cha kuwashauri watafute wahariri wazuri wa kuhariri habari zao." amesema Dkt. Rioba
Anataka tuanze kulipia kodi?
 
Kuna utofaut gani na Millard ikiwa mada zinazopendwa ndio zinabakishwa? Utofaut wa hapa na Millard ayo ni kuwa waaandish wa Millard ayo wanalipwa wew hulipwi, ila wote mna kazi ya kuhakikisha idea za mwenye website zinafika,

Huwez post mada ambayo millard hapend same huku, huwez post mada jf haipend
Nimekuuliza ninaweza sajili akaunti kwa Milard Ayo na kuanzisha mada kwa lengo la kujadili na member wengine kama inavyofanyika hapa JF?

Kama huwezi kuona kitu kilicho dhahiri nikusaidiaje?

JF ni jamvi.

Hapa watu wanajisajili, wanaweka mabandiko yao, wanajadiliana na wanachama wengine.

Kwasababu unaweza "ku-comment" kwenye social media pages za Milard Ayo hiyo haifanyi iwe sawa na JF.

Kuhusu kulipwa au kutolipwa hiyo ni jinsi unavyo tumia JF

JF ni jamvi hapa ukitaka unaweza tengeneza pesa vizuri kabisa.

Amka toka usingizini chalii.
 
Kuna utofaut gani na Millard ikiwa mada zinazopendwa ndio zinabakishwa? Utofaut wa hapa na Millard ayo ni kuwa waaandish wa Millard ayo wanalipwa wew hulipwi, ila wote mna kazi ya kuhakikisha idea za mwenye website zinafika,

Huwez post mada ambayo millard hapend same huku, huwez post mada jf haipend
"Waandishi wa Milard Ayo" huwezi kuwalinganisha hata na Moderators wa JF, wewe umeenda mbali zaidi kuwalinganisha na members!

Umesahau pia kuwa hapa kuna fursa ya kuwa anonymous "kutojulikana" tofauti na kwa Ayo.
 
"Waandishi wa Milard Ayo" huwezi kuwalinganisha hata na Moderators wa JF, wewe umeenda mbali zaidi kuwalinganisha na members!

Umesahau pia kuwa hapa kuna fursa ya kuwa anonymous "kutojulikana" tofauti na kwa Ayo.
Jamiiforums ina creativity ndogo sanaaaaa, utofaut wake na Millard Ayo ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom