Huko barabarani siku hizi madereva wa magari ya serikali wamekuwa wababe kupitiliza!
Nchi inaongozwa kwa sheria na taratibu!
Usalama barabarani unaongozwa na sheria za usalama barabarani.
Lakini bahati mbaya sana madereva wa magari ya serikali na polisi, Trafiki ,wanaUsalama, wanajeshi, Migambo na Greegurd wa ccm awamu ya sita wamekuwa wababe sana huko barabarani.
Nashauri ile sheria ya kuondoa NGAO ITILIWE MKAZO MAGARI YOTE YA SERIKALI YANG'OLEWE NGAO! ikiwezekana yapakwe rangi za taasisi yajulikane!
1. Majuzi hapo Tabata gari la polisi lenye NGAO lisilokuwa na plate number liliyangonga magari yaliyokuwa kwenye foleni ili kuyalazimisha yatanue ili lipite katikati yao, na baada ya kugonga wala HALIKUSIMAMA.
2. Mwezi uliopita kuna gari ya serikali ilitanua pale Lugalo Mwenge (opposite direction yaani ilipita barabara ya kwenda Tegeta ilihali inakwenda mjini nakupasua taa za daladala na haikusimama).
3. Mwezi huu huu wa tatu, maeneo ya kunduchi mtongani asubuhi mapema gari ya serikali yenye king'ora juu ilitanua na kugonga gari ndogo na kupasua taa wala haikusimama!
Kwa mifano hii michache! Nawashauri ndugu zangu kama una SILAHA yoyote hata kama ni RUNGU AU KISU AU BASTOLA bora usiibebe
maana UKIBEBA SILAHA unaweza kuitumia pasipo tarajiwa awamu hii ya sita hata kibarua wa serikali ameota sharubu!
Lakini kwa wale wenye hasira kama zangu tujitahidi kujizuia sana tusije yachoma moto hayo magari ya serikali yanayoendeshwa na madereva wajinga HATA KUWATIA NDOSI ZA UTOSI.
Viongozi hawawi mifano bora, hawa madereva wanatiwa viburi na baadhi ya tabia mbovu za viongozi!
Mambo kama hayo hutatuliwa kwa kutoa kafara gari ya kiongozi mmoja mkubwa anaevunja sheria mifano! Magufuli kipindi kile alimwamulisha yule mke wa waziri enzi hizo gari lake lilipokamatwa
Nchi inaongozwa kwa sheria na taratibu!
Usalama barabarani unaongozwa na sheria za usalama barabarani.
Lakini bahati mbaya sana madereva wa magari ya serikali na polisi, Trafiki ,wanaUsalama, wanajeshi, Migambo na Greegurd wa ccm awamu ya sita wamekuwa wababe sana huko barabarani.
Nashauri ile sheria ya kuondoa NGAO ITILIWE MKAZO MAGARI YOTE YA SERIKALI YANG'OLEWE NGAO! ikiwezekana yapakwe rangi za taasisi yajulikane!
1. Majuzi hapo Tabata gari la polisi lenye NGAO lisilokuwa na plate number liliyangonga magari yaliyokuwa kwenye foleni ili kuyalazimisha yatanue ili lipite katikati yao, na baada ya kugonga wala HALIKUSIMAMA.
2. Mwezi uliopita kuna gari ya serikali ilitanua pale Lugalo Mwenge (opposite direction yaani ilipita barabara ya kwenda Tegeta ilihali inakwenda mjini nakupasua taa za daladala na haikusimama).
3. Mwezi huu huu wa tatu, maeneo ya kunduchi mtongani asubuhi mapema gari ya serikali yenye king'ora juu ilitanua na kugonga gari ndogo na kupasua taa wala haikusimama!
Kwa mifano hii michache! Nawashauri ndugu zangu kama una SILAHA yoyote hata kama ni RUNGU AU KISU AU BASTOLA bora usiibebe
maana UKIBEBA SILAHA unaweza kuitumia pasipo tarajiwa awamu hii ya sita hata kibarua wa serikali ameota sharubu!
Lakini kwa wale wenye hasira kama zangu tujitahidi kujizuia sana tusije yachoma moto hayo magari ya serikali yanayoendeshwa na madereva wajinga HATA KUWATIA NDOSI ZA UTOSI.
Viongozi hawawi mifano bora, hawa madereva wanatiwa viburi na baadhi ya tabia mbovu za viongozi!
Mambo kama hayo hutatuliwa kwa kutoa kafara gari ya kiongozi mmoja mkubwa anaevunja sheria mifano! Magufuli kipindi kile alimwamulisha yule mke wa waziri enzi hizo gari lake lilipokamatwa