ATCL biashara inaelekea kuwashinda

ATCL biashara inaelekea kuwashinda

ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.

Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.

Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
Inawezekana abiria walikuwa hawajafikia level hivyo wakawa wanasubiri late comers
 
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.

Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.

Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
Ni sawa mkuu ila sometimes haya mambo kwenye airlines mbalimbali duniani hutokea sana..I mean delays huwa zinakuwepo....Solution kwa atcl kwasasa linapoanza kuibuka tena ni kwamba serikali iuze angalau hisa 40 za shirika hilo halafu yenyewe ibaki na asilimia 60 hapo lazma urasimu utapungua na am sure litakua shirika kubwa sana.
 
Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Ni kweli Mkuu hata ukijiuliza ni viumbe wa aina gani hupati jibu acacia wameshangilia,ndege kukamatwa wameshangilia,majengo udsm wameshangilia nadhani wapewe nyungo waruke watimize ndoto zao.
 
Ni kweli Mkuu hata ukijiuliza ni viumbe wa aina gani hupati jibu acacia wameshangilia,ndege kukamatwa wameshangilia,majengo udsm wameshangilia nadhani wapewe nyungo waruke watimize ndoto zao.
Chadema wana laana ya Dr Slaa
 
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.

Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.

Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
Tangia mwanzo mliambiwa wamepewa vitendea kazi wakati hawana business plan. Tusitegemee maajabu wakati tunaendesha mambo kama kawaida.
 
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.

Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.

Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
this could be an isolated case, which is normal in air travel industry. Please be reasonable.
 
Jamani hivi ni lazima kila kitu au tatizo zihusishwe na siasa?tumechoka tunataka at least tupumzike,itafika wakati mtu unapatikana na Malaria hospital unasema ni sababu ya sijui CUF au CCM , ebu tuache kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu, hii naifananisha na kipindi kile UKIMWI umepamba moto kila mtu akikonda au kuumwa kidogo hata magonjwa ya kawaida tayari watu wanasema ni UKIMWI kumbe kuna magonjwa mengine pia kama Kisukari ua Kansa yanayokondesha hata zaidi ya huo UKIMWI.
Siasa ndio inayoendesha Maisha yetu, matokeo na matukio yote haya ni kwa sababu ya mfumo mbovu wa kiuongozi, uliopo Madarakani.
 
Flights kuwa delayed ni kawaida, ila kwa sababu ATCL ni ya serikali basi watu washaanza kusema kuwa biashara imewashinda, haya mambo yashatokea kwa fastjet, na nakumbuka humu ndani nishawahi kusoma uzi kuwa precision iliacha abiria wake ikenda kenya kuchukua abiria from KQ.
 
Flights kuwa delayed ni kawaida, ila kwa sababu ATCL ni ya serikali basi watu washaanza kusema kuwa biashara imewashinda, haya mambo yashatokea kwa fastjet, na nakumbuka humu ndani nishawahi kusoma uzi kuwa precision iliacha abiria wake ikenda kenya kuchukua abiria from KQ.
We kuku kweli..
Nani kakwambia ni kawaida.??
Kawaida ni kwasababu za hali ya hewa au sababu za kijeshi tu..

Sio watu wana lidege libovu au wameona abiria wachache wakahairisha safari wewe uje hapa useme ni kawaida..
 
Kabisa, heri ATC mara kumi kuliko Fastjet. Hawa Fastjet mara nyingi wanalaza watu. Ijumaa iliyopita ilikuwa tuondoke saa nne wakahairisha hadi saa moja na dk 25 jioni, nilipofika wakasema imejaa wakatulaza wakasema turipoti kesho yake saa kumi alfajiri, watu tukafika kama walivyotaka lkn matokeo yake tukaondoka saa 2 asubuh kuja Mwanza
Mungu wangu! wala hamkuchukua hatua? ingekuwa mimi ningewashitaki mahakamani na wangelipa fidia kubwa sana.
 
Back
Top Bottom