ATCL biashara inaelekea kuwashinda

ATCL biashara inaelekea kuwashinda

mwanza

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2009
Posts
759
Reaction score
489
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.

Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.

Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
 
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka SAA 11 jioni wa dar - mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport. Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari. Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
Atcl haina tofauti na mkokoteni uliong'oka matairi na kumlazimu msukumaji kutumia nguvu nyingi
 
Hui usafiri ni wa ndege au wa mtumbwi?? Maana usafiri wa ndege ni usafiri wa fasta.

Ikiwa mtu anatakiwa aripoti saa tisa then aonoke saa tatu. Hahahaaa ni aina nyingine ya kuisoma namba.
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka SAA 11 jioni wa dar - mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport. Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari. Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
 
Heri hao wameondoka ingawa kwa kuchelewa! Fast jet hatukuondoka kabisa na kupewa majibu ya kibabe!
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka SAA 11 jioni wa dar - mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport. Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari. Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
 
Hujui kuwa hali ya hewa haipo shwari au unataka ukafe then nduguzo walalamike?
 
Mimi sitaki ujinga huo wa delay or cancellation flight yangu ya kesho ni kuodoka saa 17.25 kutua kia saa 20.30 saa 21.00 niwe kijijini natambika. Ole wenu fast jet mimi nina cheti cha mirembe. Leteni mchezo muisome namba.
 
Heri hao wameondoka ingawa kwa kuchelewa! Fast jet hatukuondoka kabisa na kupewa majibu ya kibabe!
Kabisa, heri ATC mara kumi kuliko Fastjet. Hawa Fastjet mara nyingi wanalaza watu. Ijumaa iliyopita ilikuwa tuondoke saa nne wakahairisha hadi saa moja na dk 25 jioni, nilipofika wakasema imejaa wakatulaza wakasema turipoti kesho yake saa kumi alfajiri, watu tukafika kama walivyotaka lkn matokeo yake tukaondoka saa 2 asubuh kuja Mwanza
 
Back
Top Bottom