Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,903
Labda awe anaendesha Baba Bashite mwenyewe.subiri treni standard gauge zianze
Labda awe anaendesha Baba Bashite mwenyewe.subiri treni standard gauge zianze
Mkuu wanataka wapelekwe hivyo hivyo ili wapate la kusema.Ss siupande kisesa express au kodi chata, watu wengine wanamawazo ya ajabu, kwani hawajakuambia sababu za kuchelewa? Kama mwanza kuna mvua mpelekwe tu! We vipi?
wenzio wanajadili matatizo yao ww unaleta unazi wa kitoto.Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Hawa ndugu zetu wana matatizo kweli hata huduma ni mbovu juzi tulisafiri toka KIA mpaka Zanzibar ndege ikiendelea kwenda Dar. Huyo mfanyakazi alishindwa kutujulisha kwamba tumefika Zanzibar tutelemke maana hiyo lugha......ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.
Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.
Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Hii tabia ya kushangilia mateso ya wengine inaliangamiza taifa letuSisi tunaosafiri kwa lifti za Maloli tunapeta.
Fast JET wanaamini "mteja ni fala"Heri hao wameondoka ingawa kwa kuchelewa! Fast jet hatukuondoka kabisa na kupewa majibu ya kibabe!
Jamani hivi ni lazima kila kitu au tatizo zihusishwe na siasa?tumechoka tunataka at least tupumzike,itafika wakati mtu unapatikana na Malaria hospital unasema ni sababu ya sijui CUF au CCM , ebu tuache kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu, hii naifananisha na kipindi kile UKIMWI umepamba moto kila mtu akikonda au kuumwa kidogo hata magonjwa ya kawaida tayari watu wanasema ni UKIMWI kumbe kuna magonjwa mengine pia kama Kisukari ua Kansa yanayokondesha hata zaidi ya huo UKIMWI.Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Si unajua wabongo kwa machozi!!angepanda Mohd trans aone.Ss siupande kisesa express au kodi chata, watu wengine wanamawazo ya ajabu, kwani hawajakuambia sababu za kuchelewa? Kama mwanza kuna mvua mpelekwe tu! We vipi?
Aiii!Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Nadhani kuna wa lakini kwa vyombo vya kusimamia hizi kampuni za Ndege, wamezidiwa na Sumatra kwenye mabasi nchi nzimaKabisa, heri ATC mara kumi kuliko Fastjet. Hawa Fastjet mara nyingi wanalaza watu. Ijumaa iliyopita ilikuwa tuondoke saa nne wakahairisha hadi saa moja na dk 25 jioni, nilipofika wakasema imejaa wakatulaza wakasema turipoti kesho yake saa kumi alfajiri, watu tukafika kama walivyotaka lkn matokeo yake tukaondoka saa 2 asubuh kuja Mwanza