Weka pichaChadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Weka pichaChadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Tuliombee hili shirika lisimame maana watakaoumia ni watoto wetu kizazi kijacho kulipa madeni ya hasaraATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.
Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.
Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako
Duuh kweli hii ndio Afrika.
Kufikia maendeleo bado sana.
Si yatakuwa hayohayo?subiri treni standard gauge zianze
Wangetoa miamvuli badala ya kuchelewesha watu.Ss siupande kisesa express au kodi chata, watu wengine wanamawazo ya ajabu, kwani hawajakuambia sababu za kuchelewa? Kama mwanza kuna mvua mpelekwe tu! We vipi?
Hujaiona? imeoga barafu ile mbaya!ngoja tuwaletee Boeing787 hamtalalamika tena
Umeiona wapi?Hujaiona? imeoga barafu ile mbaya!
Chadema wametokea wapi huku kwenye ndege kushindwa kusafiri?Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Poleni kwa kulazwaKabisa, heri ATC mara kumi kuliko Fastjet. Hawa Fastjet mara nyingi wanalaza watu. Ijumaa iliyopita ilikuwa tuondoke saa nne wakahairisha hadi saa moja na dk 25 jioni, nilipofika wakasema imejaa wakatulaza wakasema turipoti kesho yake saa kumi alfajiri, watu tukafika kama walivyotaka lkn matokeo yake tukaondoka saa 2 asubuh kuja Mwanza
hahahaa kumbe tusubiri hadi miaka hiyo ikikamilika?awamu ya tano hovyo sana....subiri treni standard gauge zianze
DAR LUXURY au KISBO mida hii uko mwanza mi nitapanda ndege siku ya kwenda kushuhudia mapanki akifanya majaribia pale s koreaKabisa, heri ATC mara kumi kuliko Fastjet. Hawa Fastjet mara nyingi wanalaza watu. Ijumaa iliyopita ilikuwa tuondoke saa nne wakahairisha hadi saa moja na dk 25 jioni, nilipofika wakasema imejaa wakatulaza wakasema turipoti kesho yake saa kumi alfajiri, watu tukafika kama walivyotaka lkn matokeo yake tukaondoka saa 2 asubuh kuja Mwanza
Sijui chadema wameingiaje hapo, jaribuni kufikilia kwa kutumia akili kidogo.Chadema wanashangilia matatizo ya ATCL !!
Watalipa madeni? Acha uongo wewe!!Tuliombee hili shirika lisimame maana watakaoumia ni watoto wetu kizazi kijacho kulipa madeni ya hasara
Mimi nitapanda siku hiyo Trump atakapotangaza Askari wa kujitolea kwenda kupigana na huyo kichaa wenu!!DAR LUXURY au KISBO mida hii uko mwanza mi nitapanda ndege siku ya kwenda kushuhudia mapanki akifanya majaribia pale s korea
umeona dash8 kwa mange unakuja kuropoka hujui 787 ni ndege ganiHujaiona? imeoga barafu ile mbaya!
KWENYE KANUNI ZA UCHUMI haiwezekani serikali ikaendesha kampuni,Chadema tunasema serikali inakazi ya kutunga sera na kuwezesha mazingira ambayo yatapelekea kampuni wapate fedha na kutulipa kodi.CCM wanaanza kufanya mchezo wao wanakusanya nguvu kupitia makampuni haya ili yawatafutie fedha za uchaguziATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.
Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili wawahi msongamani wa Magari.
Yaani ni sawa na MTU aliyesafiri na Gari toka SAA 12 asubuhi. Hii inakuwa haina maana kutumia Ndege ili uwahi shughuli zako