Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
yeah.. iko njiani yaja lakini waseme tu kwa furaha.. wengine tunaangalia kwa macho ya karibu kweli...
wooooh hongereni good nnews sie precision tushaanza na mwanza na tunaelekea angola na nairobi..nasikia linawasili kesho mchana saa nane bila viti sasa mmeleta kopo linalokuja kulala kweli jamani watanzania mtawaeleza nini ...na zile doller 360,000 mlizokuwa mkitoa zilikwenda wapi..waandishi wa habari mnaombwa mje kuona kilichomo ndani kama mlivyokuja precission ingawa mkaona hatari kutangaza tumeleta ndege shega tunashukuru pesa za wasukuma tushaanza kuzitumia...
hawa wakubwa wao kama ni kweli wana haki ya kuulizwa na kujibu,,na natumaini wataingia kimyakimya.....
wooooh hongereni good nnews sie precision tushaanza na mwanza na tunaelekea angola na nairobi..nasikia linawasili kesho mchana saa nane bila viti sasa mmeleta kopo linalokuja kulala kweli jamani watanzania mtawaeleza nini ...na zile doller 360,000 mlizokuwa mkitoa zilikwenda wapi..waandishi wa habari mnaombwa mje kuona kilichomo ndani kama mlivyokuja precission ingawa mkaona hatari kutangaza tumeleta ndege shega tunashukuru pesa za wasukuma tushaanza kuzitumia...
hawa wakubwa wao kama ni kweli wana haki ya kuulizwa na kujibu,,na natumaini wataingia kimyakimya.....
Dege letu limeshaingia nchini
Tutumieni mliopata picha ya hilo dege letu
Sijui itamchukua muda gani Rais Kikwete kupata viongozi waadilifu na wakweli.
Huyu jamaa anatukuza ufisadi na kamwe hatawanyazisha watanzania wenye kiu ya maendeleo ya nchi yao. Ni fursa ngapi tumewaachia watani zetu wa jadi kuchuma kwa ufisadi wetu?
Ni vema akajipima mwenyewe na ikiwezekana achukue uamzi sahihi kwa manufaa ya taifa. Si miaka ya ubabe hii na wala zama hizo hazitarudi. Sisi bado tuna imani na taifa letu na hatuwezi kuwaacha watu wachache waneemeke huku taifa na watanzaia walio wengi wakifa njaa na kukosa huduma za msingi.
Enyi wafanyakzi watiifu kwa taifa lenu, endeleeni kuwafumua mafisadi ndani ya mashirika yenu na sisi tutawaunga mkono.