Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
Askofu Mkuu Dk. Sylvester Gamanywa wa Wapo Mission Tanzania 🇹🇿 atatunukiwa u Profesa wa heshima kutoka Chuo cha Mipango Dodoma.
Hafla hiyo ya mahafali itafanyika Novemba 4 ambapo Waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Nchemba atakuwa mgeni rasmi.
Hayo yameelezwa kwenye ukurasa rasmi wa Askofu Gamanywa kwenye mitandao ya kijamii.
Sisi wana Wapo Mission Tanzania tunachukua fursa hii kumpongeza Askofu wetu ambaye anaenda kuwa mchungaji wa kwanza wa makanisa ya kiroho kuwa Profesa.
Tuendelee kumuombea mtumishi huyu.
Hafla hiyo ya mahafali itafanyika Novemba 4 ambapo Waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Nchemba atakuwa mgeni rasmi.
Hayo yameelezwa kwenye ukurasa rasmi wa Askofu Gamanywa kwenye mitandao ya kijamii.
Sisi wana Wapo Mission Tanzania tunachukua fursa hii kumpongeza Askofu wetu ambaye anaenda kuwa mchungaji wa kwanza wa makanisa ya kiroho kuwa Profesa.
Tuendelee kumuombea mtumishi huyu.