Mbowe ni malaika hakksei wala hajawahi kukosea na kuna siku alinguka akiwa amelewa chakari bado nyumba wakawa wanamteteaHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Na wewe umepata wapi nguvu ya kumuuliza?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Nawe/nyie mnapata wapi nguvu za kumbambikia?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Huko huko serikali ilikopatia nguvu ya kumshtaki Mbowe.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Ngongo najua wewe Ni mlutheri mwenzangu hunywi beer Kama Mimi, Ila nitakapo kukuta box mbili za juice zinakuhusu.Wewe unapata wapi nguvu ya kumpinga Baba Askofu Dr Shoo ambae ni Mkuu wa KKKT na Mkuu wa CCT.
Huyu si Askofu Rashid au Nabii Geodav
Kumbuka Jina anaitwa ShooHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Kumbuka Jina anaitwa Shoo
Tribalism
Sasa naelewa ndiyo maana CHADEMA wakaruhusiwa kumuombea Mbowe dhidi ya serikali kwenye makanisa ya KKKT na kisha kuwaingiza pia RC huko Mbeya na Mwanza.Wewe unapata wapi nguvu ya kumpinga Baba Askofu Dr Shoo ambae ni Mkuu wa KKKT na Mkuu wa CCT.
Huyu si Askofu Rashid au Nabii Geodav
Samia alipata wapi Nguvu ya kumuhukumu MboweHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Mmachame mwenzake. Huyu Baba Askofu anaeleweka issue ya mmachame ikitokea. Ingawa kwa hili la Mbowe anaweza kuwa na hoja kama kweli anachosema ndio kilichopoHomilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?