Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,628
- 2,351
Tokea Lini? Yule Kassim Hänga aliyempeleka kuuwawa huna habari yake? Na vipi Kambona alimfanya nini ??Askofu Severine Niwemugizi pasipo na kumung'unya maneno amefunguka:
“Mwalimu Nyerere alikuwa muumini wa uhuru wa mawazo, mijadala na kujenga hoja. Alipenda kuona jamii ya watu wanajadiliana kwa hoja hata pale wanapokinzani kimtazamo. Hakupenda hoja za upande mmoja ndiyo maana licha ya wenzake ndani ya CCM kupinga mfumo wa vyama vingi, yeye alishauri uruhusiwe,”
Amesema askofu huyu kuwa kwa hakika angekuwapo bakora ziliwahusu sana watu CCM na huko serikalini.
Bila shaka hata mheshimiwa jiwe angekuwapo asingenusurika!
Source:
Askofu Niwemugizi: Mwalimu Nyerere angekuwepo, angecharaza watu viboko