makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,399
- 4,688
Imani ya wengi haipo upande wako ni vyema unaposimamia usichokielewa Mana unakuwa hujielewi 😂😂😂😂Hata nikiweka ukweli ninaambiwa ninatetea duuh 😳🤣
Haya mkulungwa 🤣
Mr guluguja🤣🤣🤣🤣
Imani ya wengi haipo upande wako ni vyema unaposimamia usichokielewa Mana unakuwa hujielewi 😂😂😂😂Hata nikiweka ukweli ninaambiwa ninatetea duuh 😳🤣
Haya mkulungwa 🤣
Ccm lumumba watafuta kiupenyo wanashida Sana ujinga umewajaa Hawa majamaa...Mkuu bahati mbaya sana jamaa hana uwezo huo wa kujitafakari.
🤣🤣Kwani humu JF tunaishi kiimani?!!kwa hiyo asiye na ufuasi mkubwa ni mwongo na guluguja?!! Ha ha haImani ya wengi haipo upande wako ni vyema unaposimamia usichokielewa Mana unakuwa hujielewi 😂😂😂😂
Mr guluguja🤣🤣🤣🤣
Duuh 🤣🤣Mkuu bahati mbaya sana jamaa hana uwezo huo wa kujitafakari.
🤣🤣🤣🤣Aiseeh guluguja ni guluguja tu,sawa mkuu kuukubali ujinga ni ujinga unayoandika (unayoyatetea) unahitaji Imani ya wachahe Ila Kama hata wachache hawakuamini kumbe unaandika kwa maono yako shauli yako. Piga kazi piga kaziii.🤣🤣Kwani humu JF tunaishi kiimani?!!kwa hiyo asiye na ufuasi mkubwa ni mwongo na guluguja?!! Ha ha ha
Duuh 🤣🤣
BAK dunia haizunguki miguuni mwetu.....
🤣🤣 Argumentum ad hominem?!!Ccm lumumba watafuta kiupenyo wanashida Sana ujinga umewajaa Hawa majamaa...
Wapi nimeandika maoni yangu?!!!🤣🤣🤣🤣Aiseeh guluguja ni guluguja tu,sawa mkuu kuukubali ujinga ni ujinga unayoandika (unayoyatetea) unahitaji Imani ya wachahe Ila Kama hata wachache hawakuamini kumbe unaandika kwa maono yako shauli yako. Piga kazi piga kaziii.
Sote tunaweza.....With due respect mkuu. Hatuwezi kuwa wakweli kwa dhamira zetu wenyewe?
Kila kurasa inayoizungumzia chama Cha mapinduzi tofati nakukuta na tetezi zako zakijingaWapi nimeandika maoni yangu?!!!
Kuhusu hizo taasisi zinazofadhiliwa na akina FORD?!!! Khaaaa😳😳🤣
Jambo lolote asilolipenda mtu huweza likawa ni la kijinga mkuu....Kila kurasa inayoizungumzia chama Cha mapinduzi tofati nakukuta na tetezi zako zakijinga
Nyerere ana sura mbili wa madarakani na wa baada ya madaraka.Anazungumza yupi
Duuh 🤣🤣
BAK dunia haizunguki miguuni petu.....
Haki gani uizungumzayo?!!Haki HAIPINDISHWI wewe!!! Tia akili kichwani!!!! Acha kujitoa ufahamu eti huoni dhuluma na udhalimu wa kutisha unaofanywa na genge la wahuni wa maccm.
Sahihi Baba ASKOFUAskofu Severine Niwemugizi pasipo na kumung'unya maneno amefunguka:
“Mwalimu Nyerere alikuwa muumini wa uhuru wa mawazo, mijadala na kujenga hoja. Alipenda kuona jamii ya watu wanajadiliana kwa hoja hata pale wanapokinzani kimtazamo. Hakupenda hoja za upande mmoja ndiyo maana licha ya wenzake ndani ya CCM kupinga mfumo wa vyama vingi, yeye alishauri uruhusiwe,”
Amesema askofu huyu kuwa kwa hakika angekuwapo bakora ziliwahusu sana watu CCM na huko serikalini.
Bila shaka hata mheshimiwa jiwe angekuwapo asingenusurika!
Source:
Askofu Niwemugizi: Mwalimu Nyerere angekuwepo, angecharaza watu viboko
Haki gani uizungumzayo?!!
Kwa hiyo kuna dola zina hiyo haki uitafutayo?!!
Mi natofautiana na wengi nyerere ndo chanzo cha matatizo mengi tuliyo nayo kumsifia bila kumchallenge ni upumbavuAskofu Severine Niwemugizi pasipo na kumung'unya maneno amefunguka:
“Mwalimu Nyerere alikuwa muumini wa uhuru wa mawazo, mijadala na kujenga hoja. Alipenda kuona jamii ya watu wanajadiliana kwa hoja hata pale wanapokinzani kimtazamo. Hakupenda hoja za upande mmoja ndiyo maana licha ya wenzake ndani ya CCM kupinga mfumo wa vyama vingi, yeye alishauri uruhusiwe,”
Amesema askofu huyu kuwa kwa hakika angekuwapo bakora ziliwahusu sana watu CCM na huko serikalini.
Bila shaka hata mheshimiwa jiwe angekuwapo asingenusurika!
Source:
Askofu Niwemugizi: Mwalimu Nyerere angekuwepo, angecharaza watu viboko