Askofu Niwemugizi: Nyerere angekuwapo angewacharaza CCM viboko

Hata nikiweka ukweli ninaambiwa ninatetea duuh 😳🤣

Haya mkulungwa 🤣
Imani ya wengi haipo upande wako ni vyema unaposimamia usichokielewa Mana unakuwa hujielewi 😂😂😂😂
Mr guluguja🤣🤣🤣🤣
 
Imani ya wengi haipo upande wako ni vyema unaposimamia usichokielewa Mana unakuwa hujielewi 😂😂😂😂
Mr guluguja🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Kwani humu JF tunaishi kiimani?!!kwa hiyo asiye na ufuasi mkubwa ni mwongo na guluguja?!! Ha ha ha
 
🤣🤣Kwani humu JF tunaishi kiimani?!!kwa hiyo asiye na ufuasi mkubwa ni mwongo na guluguja?!! Ha ha ha
🤣🤣🤣🤣Aiseeh guluguja ni guluguja tu,sawa mkuu kuukubali ujinga ni ujinga unayoandika (unayoyatetea) unahitaji Imani ya wachahe Ila Kama hata wachache hawakuamini kumbe unaandika kwa maono yako shauli yako. Piga kazi piga kaziii.
 
🤣🤣🤣🤣Aiseeh guluguja ni guluguja tu,sawa mkuu kuukubali ujinga ni ujinga unayoandika (unayoyatetea) unahitaji Imani ya wachahe Ila Kama hata wachache hawakuamini kumbe unaandika kwa maono yako shauli yako. Piga kazi piga kaziii.
Wapi nimeandika maoni yangu?!!!

Kuhusu hizo taasisi zinazofadhiliwa na akina FORD?!!! Khaaaa😳😳🤣
 
Nyerere ana sura mbili wa madarakani na wa baada ya madaraka.Anazungumza yupi
 
Nyerere ana sura mbili wa madarakani na wa baada ya madaraka.Anazungumza yupi

Binadamu objective si aliye na gubu. Si king'ang'anizi. Hawezi jitanabaishw kuwa jiwe kwa kutokusikia kwake.

Binadamu objective hukiri mapungufu yake, hujifunza kwa wengine, husikiliza, huyatambua madhila ya watu wake, siyo mwongo, ni mwenye huruma, si mwuaji, si dhulumati nk:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Ya office za 19bn/- nayaweka kwenye fridge bado.
 
Haki HAIPINDISHWI wewe!!! Tia akili kichwani!!!! Acha kujitoa ufahamu eti huoni dhuluma na udhalimu wa kutisha unaofanywa na genge la wahuni wa maccm.

Duuh 🤣🤣

BAK dunia haizunguki miguuni petu.....
 
Haki HAIPINDISHWI wewe!!! Tia akili kichwani!!!! Acha kujitoa ufahamu eti huoni dhuluma na udhalimu wa kutisha unaofanywa na genge la wahuni wa maccm.
Haki gani uizungumzayo?!!

Kwa hiyo kuna dola zina hiyo haki uitafutayo?!!
 
Askofu Severine Niwemugizi pasipo na kumung'unya maneno amefunguka:

“Mwalimu Nyerere alikuwa muumini wa uhuru wa mawazo, mijadala na kujenga hoja. Alipenda kuona jamii ya watu wanajadiliana kwa hoja hata pale wanapokinzani kimtazamo. Hakupenda hoja za upande mmoja ndiyo maana licha ya wenzake ndani ya CCM kupinga mfumo wa vyama vingi, yeye alishauri uruhusiwe,”

Amesema askofu huyu kuwa kwa hakika angekuwapo bakora ziliwahusu sana watu CCM na huko serikalini.

Bila shaka hata mheshimiwa jiwe angekuwapo asingenusurika!

Source:

Askofu Niwemugizi: Mwalimu Nyerere angekuwepo, angecharaza watu viboko
Sahihi Baba ASKOFU
 
Askofu Severine Niwemugizi pasipo na kumung'unya maneno amefunguka:

“Mwalimu Nyerere alikuwa muumini wa uhuru wa mawazo, mijadala na kujenga hoja. Alipenda kuona jamii ya watu wanajadiliana kwa hoja hata pale wanapokinzani kimtazamo. Hakupenda hoja za upande mmoja ndiyo maana licha ya wenzake ndani ya CCM kupinga mfumo wa vyama vingi, yeye alishauri uruhusiwe,”

Amesema askofu huyu kuwa kwa hakika angekuwapo bakora ziliwahusu sana watu CCM na huko serikalini.

Bila shaka hata mheshimiwa jiwe angekuwapo asingenusurika!

Source:

Askofu Niwemugizi: Mwalimu Nyerere angekuwepo, angecharaza watu viboko
Mi natofautiana na wengi nyerere ndo chanzo cha matatizo mengi tuliyo nayo kumsifia bila kumchallenge ni upumbavu
 
Back
Top Bottom