Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,671
- 2,348
Yaani kaivamia Zanzibar Na kuuwa zaidi ya watu 10000 Na mpaka Leo haijakaa sawa inadidimia kwa mzimu Wake wa CCM, wewe unamuona ni mtu wa maana ??Hapana utakuwa umewahi mno kurukia kwenye conclusion.
Nyerere alikuwa Jembe mno kuliko hawa!
Uzi huu title yake ilikuwa "Mjue Nyerere in a Nutshell" bahati mbaya @mods wamekarabati kichwa kikaingia maji:
Mwalimu Nyerere alipunguza mshahara wake kwa uzalendo
Kukupa picha.
Nyerere alikuwa binadamu na kiongozi bora mno kuliko hawa.
Kuwa bora kuliko hawa hakuna maana ndiyo alikuwa optimal.