Harakati za Ukombozi na utetezi wa mtu mweusi huko Marekani zilifanyika Kanisani. CCM acheni kupindisha Mjadala wa Bandari

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,299
Kamwe huwezi kuwazuia Viongozi wa dini kukemea maovu hasa pale serikali inapokuwa na moyo mgumu na usio kuwa na huruma kwa wanchi wake.

Kilichofanywa na kanisa Katoliki ni kutimiza wajibu wao wa kichungaji na hakuna tatizo lolote. Kanisa halijaanza leo kuwakalipia wanasiasa wa hovyo.

Leo hii Marekani watu weusi wana haki haki sawa na hawa weupe..lakini harakati za ukombozi hazikuwa za kitoto. Martin Luther King alitumia madhabahu kuhakikisha mtu.mweusi anapata haki yake.

Sasa haiwezekani kabisa serikali ikawa inafanya mambo meusi afu iwazuie viongozi wa dini kuongea hilo halipo hata kidogo.

Viongozi wa dini wana historia nzuri sana katika kutetea haki za wananchi acheni waongee.
 
Acha kudanganya watu mnafiq wewe, walikubagueni hadi makanisani mwao, labda useme makanisa muliaoanzisha maalumu kwa black people.

Dini isiyokuwa na ubaguzi wa rangi ni moja tu duniani, sihitaji.

Toka mjumbe Wa mwenyezi Wa mwenyezi yupo nyuma ya swala zake alikuwepo black man Bilal na hadi kesho maka pale utakuta rangi zote zinahiji na hata yule mwanaharakati Wa marekani Malcolm x alipoenda kuhiji akakuta watu hawabaguani maka alishangaa sana.

Akija majaliwa kuswali au samia kwenye safu hana walinzi wowote ila Allah yupo kama mja mwingine ila nyie viongozi wenu hadi makanisani wanakaa na wavaa suti nyeusi sambamba.
 
Back
Top Bottom