blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,622
- 12,840
Yes... Kuna kitu kizito..Naanza kufikiri hii bandari ina jambo fulani hivi limejificha.
Soon it will be revealed
Yes... Kuna kitu kizito..Naanza kufikiri hii bandari ina jambo fulani hivi limejificha.
Historia ina kawaida ya kujirudia rudiaKwani Deep State, TISS, JWTZ na polisi wako tayari kutokuibakisha CCM madarakani?
Upi mbadala wa Ccm?
CDM mwenyekiti wake ni usalama wa taifa,
ACT Wazalendo kiongozi wao mkuu ni usalama wa taifa, Shibuda ni usalama wa taifa, aliyekuwa wa TLP alikuwa ni usalama mapandikizi ya Deep state na CCM.
Tanzania hatuna upinzani halisi bali tuna wanachama wapinzani lkn si viongozi wa vyama vingi,
Sijaona chama kwa sasa cha kuweza kuitoa CCM, labda CCM ipasuke vipande viwili hapo ndipo tutapata upinzani halisi.
Nafikiri hii speech ndo ilimnyima huyu mwamba ubunge....
Dude limesimama kmmkee...Mama kaliamsha dude na kwa hulka ya viongozi waliopo madarakani hata simuoni wa kulituliza hili dude
Ana ugonjwa wa akili huyu sio bure 😁😁Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Duh...!.Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Kwa nini mletewe watu wawatawale? Kwa nini mnakubali?Leo ndio mmeyaona hayo baada ya kutunyonya na kutupitezea utaifa wetu mkatugeuza wilaya tukapiga kelele tokea wakati wa karume mpaka sasa ikafikia hadi mkamuondosha rais aliyechaguliwa kihalali na wazanzibari kwa kuhoji muungano na mpaka leo mnatuletea watu mnaotaka nyinyi watutawale cc wazanzibari wala hatujutii kwani mmeturudisha sana nyuma tungekuwa mbali sana kama c muungano huu usiofahamika.
Wakati mwengine uwe unaficha ujinga wako.Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.
Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.
Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
Nyerere anapenda muungano sasa Samia kaona aunganishe muungano wa bandari na Dubai😂Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.
Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.
Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
watu wanachapa kazi we unazungumzia habari ya mashaka.Rais Samia kwa hilo ninao uhakika atalijutia sana na limewafanya Wananchi wawe na mashaka naye!
Anao mda, ajisahihishe kwa maana kukosea kupo.
Sawa, shukurani.Historia ina kawaida ya kujirudia rudia
Yale yote unayoyaona yanatokea leo yalishawahi kutokea kitambo.
Unawakumbuka Hitler wa Ujerumani,Mussolini wa ltaly, General Franco, wote hao walikuwa na vyama imara na madhubuti kuliko CCM lakini mwisho wake ilikuwaje?.
Usidhani CCM ni tofauti katika historia,ni juzi tu Lowasa karibu wasambaratishe kama hila zisingetumika.
Huyu mbunge namkubali sana. CCM hawapendi wabunge makini. Ndio maana Magufuli alimkata akagawa jimbo lake kwa wapinzani. Nchi hii ya Tanganyika sio ya wala urojo. Warudi kwao wakaipambanie nchi yao ya Zanzibar watuachie Tanganyika yetu.
Nakusoma sana mkuu.Wazanzibar hawawezi kuuvunja muungano kabla ya kuuza mali za Tanganyika kwa waarabu wenzao. Uuzaji huu wa mali za Tanganyika ni mwanzo wa kuvunjika kwa muungano. Watanganyika wasipochukua hatua, ipo siku nao watauzwa utumwani kwa waarabu.
👏👏👏 Tanganyika 👏👏👏Tanganyika 👏👏👏Tanganyika!!!Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.
Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.
Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?