TANZIA Askofu Gerald Mpango ambaye ni kaka wa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango afariki dunia

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.


mpango.jpg

Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amehani msiba wa kaka yake, Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango aliyefariki jana jijini Dar es Salaam

mpangos.jpg

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.


View attachment 2089457
View attachment 2089456
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Poleni sana makamu wa Rais. Mungu awake faraja.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.


View attachment 2089457
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amehani msiba wa kaka yake, Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango aliyefariki jana jijini Dar es Salaam

View attachment 2089456
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
R.I.P
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19 Januari 2022 Jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.


View attachment 2089457
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amehani msiba wa kaka yake, Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango aliyefariki jana jijini Dar es Salaam

View attachment 2089456
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
RIP Bishop, we lived as brothers those days
 
Pole kwa familia ya Dr Mpango. RiP Askofu. Mwendo umeumaliza, kwa imani yako umepigana vita iliyo njema. Mungu aitazame roho yako kwa jicho la msamaha.

Amen.
 
Back
Top Bottom