Nico1
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 825
- 306
lakini mmoja asiingilie kazi ya mwenzie na kujiona yupo sawa
Hapo ndipo point yangu ilipojikita mkuu
lakini mmoja asiingilie kazi ya mwenzie na kujiona yupo sawa
usipanik mkuu labda anataka wamfute dunian wampeleke pluto,tatizo likowap?aaaah.jamani huyu anayeshawishi serkali kumfuta mtu kwenye uso wa dunia Tcra mki wapi?
Maana yake hata maaskofu kawarekodi wakati wanapokea mil 60 hadi 300 za lowasahata lowasa inabidi awe makini na huyu mcongomani,asiwe anaropoka bila tahadhari,maana ngwajima anadai kurecord ndo kazi yake....
ananikumbusha enzi nasoma middle school,miaka ya 1960 Kulikua na mkurugenzi wa FBI kule marekani aitwa J Edga Hoover,huyu alikua na siri za karibu kila kibosile,kina kenedy,jack ,robert,ford etc,,,
matokeo yake wakawa wanamuogopa na alikua katika nafasi nzuri ya kuwablackmail,
hi ni hatari sana kwa usalama wa taifa
bado ...............
Hili laweza kuwa somo zuri na fundisho tosha kwa wale wanaopenda mno kuongea na kufunguka kuhusu mambo yao binafdi
Mazungumzo yote aliyorekodi Gwajima ya mchumba wa Dr Slaa na wengine pia yametufundisha mengi
1: kwamba Dr Slaa pamoja na uwezo wake wote wa kujieleza na kusimamia mambo kwa ufanisi, elimu yake ya theologia na daraja lake LA upadri hakuwa anajiamini na alikuwa dhaifu mno kwenye mahusiano mpaka kutafuta msaada wa Gwajima
2:Zile enzi za usipige picha hapa zimepitwa na wakati kutokana na technolojia kukua
3:gwajima ni mjanja mtoto wa mjini mhuni anayejiamini asiyeogopa chochote aliyeaminika mno na wale waliomwamini na hivyo kumpa nafasi kubwa ya kumwamini na kumwambia yao ya ndani bila kujua kuwa jamaa alikuwa anaweka kumbukumbu kwa matumizi ya baadae, wengi sasa matumbo joto Wakiwa hawana uhakika kama nao walirekodiwa au la
4: Serikali imeshikwa pabaya na kupitia Gwajima mambo mengi yaliyo nyuma ya pazia bila kujifahamu wamempa loophole kubwa sana ya kuyafahamu kwahiyo kuanzia sasa inabidi waende naye kwa tahadhari kubwa la sivyo atazidi kuharibu
Halafu jamaa badala ya kuchutama kaziba uso kwa kiganja.
Kama ndo wachungaji wetu hawa bora niwe muislam kabisaaaa
serikali haiwezi kushikwa pabaya na kifaranga kama gwajima. ikiamua kumondoa kwenye uso wa nchi ni kazi ya dakika chache tu. bado yupo ana anabwabwaja kwakua sio tishio lolote kwa ustawi wa nchi hii. pumbavu.
Hakuna mwenye mamlaka wala uwezo wa kumuondoa yyt isipkua Mungu pekeyake, kwa wasio waamini ndo wanaweza kuondolewa kipumbavu
Hivi kuna mtu anaweza kufanya kitu kama hichi?
Wakati mwingine jamani tuone aibu
Si hawa ndiyo waliosema kuwa ni CCM ndiyo waliompeleka Slaa pale Serena?
Leo inakuja kuwa ni Josephine!
Hahahaha!
Hahaha dawa imeingia vizuriii. CCM wanatapatapa