Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Kiukweli, kwa sisi tunaompenda dr Slaa kiukweli kweli, tunaumia na tunamsikitia sana huyu mzee wetu.

Baada ya miaka mingi ya utumishi huku na kule, baada ya mambo mengi ya kishujaa na kujitolea, sasa hivi ndivyo maisha ya huyu mzee yanavyoishia....Total disgrace and failure of the highest order.

Hata kama, kwa move zake za sasa, kuna maslah flan hivi ya kifedha kayapata dr slaa, hata kama ni makubwa kias gan, kiukwel hayawezi kulingana na gharama na kiwango cha heshima na nafasi aliyokuwa amejijengea slaa hapa Tanzania, kwa Watanzania na dunia kwa ujumla. Dakta kadanganyika sana aisee!! kiukwel ukisikia binadam kutumika exactly kama kondomu ndo huku. kondomu huwa inatupwa kwenye shimo la choo au kumwagiwa mafuta ya taa/petrol na kuchomwa moto baada ya kumaliza ile kazi yetu.

Kosa alilofanya dakta Ni kama vile Mandela alivotoka gerezani baada ya miaka 27 eti ageuke na kusema anaungana na makaburu kuendeleza utawala wao makaburu. Hata kama angekuwa amepewa magunia ya pesa sidhani kama yangekuwa na maana yoyote kwake ukilinganisha na nafasi yake kwa nchi yake, watu wake na dunia kwa ujumla.

Kweli kina mama na kina dada ni kina mama na dada zetu na ni kweli kila penye mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke nyuma. Hata hivyo, kupitia hili, na mengine ya aina hii, ni vema pia wanaume tuwe macho kuwa baadhi ya wanawake ni viumbe khatari sana, kwa maisha na harakati za mwanaume, hasa kama tukikosea namna ya kuwa handle.

Ama kwa hakika, Kwa wale wasomaji wa biblia, hii ni stori ya kusikitisha sana ya Samsoni mwenye nguvu na mamlaka kulaghaiwa kizembe na kizezeta sana na kiumbe mwanamke.

dah, eeeh Mungu eeeeeh...well, anyway, kwaheri dakta, tumeshakupoteza!! umeachwa uchi wa mnyama.

Naandika hapa kwa uchungu sana, tunakusikitikia na kukuhurumia sana mzee wetu, lakini safari ya ukombozi lazima iendelee.

Kwa wale wasomaji na waumini wa biblia, Bwana Yesu Kristu ilibidi adhalilishwe kwa kutukanwa, kutemewa mate na makohozi, taji la miiba kichwani na mwisho kutundikwa msalabani uchi na kwa aibu kuu hadi kifo lakini mwishoni alikishinda kifo, akafufuka kutoka kaburini na kuwaletea ukombozi wa milele mamilion kwa mamilioni ya watu wamwaminio. Kama ilivyokuwa kwa Bwana wetu Yesu Kristu, Mzee wangu dakta slaa pengine usiwaze sana mzee kwa uchafu huu uliojipaka mwenyewe kwani, kama ilikuwa ni lazima ujivue nguo, na ubaki uchi hivyo, ili Taifa nzima la Tanzania likombolewe, basi na iwe hivyo mzee.

Inawezekana udhalili na aibu uliyoamua kujivika ni sehemu muhimu ya malipo ya gharama za kulikomboa taifa letu.

pole mzee, maji yalishamwagika...sasa angalia usiendelee kuwakimbiza waliobeba nguo zako.....chutama baba yetu tafadhali utufichie aibu sisi wajukuuzo. Tafadhali ubaki na kaheshima japo kidogo babu yetu.

Hhaaa! Haya maneno yamenichoma moyo wangu ni machungu lakini basi tena Dr tutakusahau soon. Pamoja na heshima uliojijengea.kweli Samso alidanganywa na Delila.akasema siri zote.
 
.....mandiko yameandika maanguko mengi ya wanaume yanayosababishwa na wanawake....hata Adam alidanganywa na Eva akala tunda lile....Samson alidanganywa na Delila....mifano ni mingi...hata pia inajulikana kuwa penye mafanikio kwa mwanaume nyuma kuna mwanamke....na vile vile penye anguko la mwanaume mara nyingi pia kuna mwanamke.....Pia maandiko husema mwanamke mwerevu hujenga nyumba yake lakini yule mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake....

....yoote yalomtokea dr yana uhusiano wa moja kwa moja na mchumba wake (wala si mkewe)....inasikitisha sana...mtu huyu angepewa urais angetufikisha wapi????....kama leo unaweza kuambiwa na mwanamke wako usitoke ndani!....ama hama chama...ama acha siasa!!...nawe unatii...je ukiwa rais tutafika????????da da!!

Yaani ni bora haya yametokea mapema mkuu. Binafsi najiuliza Dr Slaa nilivyokuwa namuona kwenye majukwaa leo amekuwa wa kufungia ndani na mchumba wake na akatii amri? Ninapata shida kuelewa kama angekuwa Rais angepelekeshwaje nchi ingetikisika. Ndio maana mwalimu Jk Nyerere alikemea hili.
 
hivi wazee kiukweli tuweke siasa pembeni....hivi inakuweje mwanaUME utawaliwe na kuendeshwa kiasi hicho na mwanamke(tena dem tu) kama gari bovu jaman?????!!!!!!! how in this world!!!

hakiyamama mimi mama ngina wangu kuliko nikubali aniendesha hivo nakunywa sumu mimi nife tu, shyee, haiwesekani, hii ni aibu kubwa kwa moran, ndito haiwesi tawala yeye hifi...shyee, ndito nakuja juu yangu alafu yeye nakatikia mimi juu yangu?!!! kwani nani nanunua pombe? nani nanunua nyama? nani nalipia chumba? shyeeeee!!! hero mmasai!!!!!!!!

mbrahhhhh, vidthah ni vidthah mbrah!!!!

Hahahahahaaa umeua mkuu.
 
Wachungaji Wachungaji acheni kuwatukana wanawake matusi ya mafumbo maana nikimsikiliza Gwajima ni kama vile anawadharau sana wanawake kwa maamuzi yao na kwamba wapo wanaume wana akili za kushikiwa na wake zao ni kosa kubwa! kama vile wanawake hawana akili. Hebu tujiulize sisi wenyewe ikiwa Kiongozi wa Chama ni mwanamke na mumewe kamshauri haya mkewe na kukataa kujiunga na UKAWA bado itasemekana huyu mwanamke ana akili za kushikiwa na mwanamme?..

Kuna akili gani ya ndoa ambayo mwanamme hutakiwi kumsikiliza mkewe! hata kama maamuzi ya Dr.Slaa yanatokana na mkewe ina maana hata katika mikutano ya Chadema mkewe alikuwepo akimpa viwiko vya kubali au kataa? Je, alipochaguliwa kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema, hiyo kamati kuu ilikwenda mshauri mkewe kwanza! na alikubali baada ya kuongea na mkewe au?

Huyu Gwajima, Askofu mzima wa dini inakuwaje awe mshauri na msemaji mkuu wa Chadema (UKAWA) tena amefikia ku record watu kama ushahidi wake wakati sheria za kiimani, Mchungaji au Askofu anafungwa na sheria ya Usiri ( Confidentiality) na muumini wake kaitka swala lolote iweje iwe rahisi kwa Mchungaji huyu ku record mazungumzo yake na Mkewe Dr. Slaa ili kufichua siri za Dr.Slaa. Huu ndio uchungaji kweli au Utapeli?

Jamani hii UKAWA imeingiliwa vibaya sana, hawa watu wametokea wapi? Huyu Gwajima anajulikana mujini kwa kubariki kitandani wale wenye shida zao za maisha, leo amekuwa shujaa wa UKAWA! Ama kweli walisema ukistaajabu ya Mussa, Utaona ya Firaun!
 
Elungata ya Mlema ilikuwa zamani, moto huu si wakawaida!!
Mbona hamuulizi mzigo alopewa Dr South Africa??
Maana Askofu anataka kujibu!!
 
Last edited by a moderator:
Gwajima nae! Sasa hii ndio nini kuvuana nguo hadharani?....mpaka underwear! Hii mbaya sana.
mimi sijaona majibu aliojibu gwajima zaidi ya kutoa hadharani mambo ya familia ndio viongozi wa dini za kisasa sijawahi sikia paloko akitoa siri za wanandoa
 
Wachungaji Wachungaji acheni kuwatukana wanawake matusi ya mafumbo maana nikimsikiliza Gwajima ni kama vile anawadharau sana wanawake kwa maamuzi yao na kwamba wapo wanaume wana akili za kushikiwa na wake zao ni kosa kubwa! kama vile wanawake hawana akili. Hebu tujiulize sisi wenyewe ikiwa Kiongozi wa Chama ni mwanamke na mumewe kamshauri haya mkewe na kukataa kujiunga na UKAWA bado itasemekana huyu mwanamke ana akili za kushikiwa na mwanamme?..

Kuna akili gani ya ndoa ambayo mwanamme hutakiwi kumsikiliza mkewe! hata kama maamuzi ya Dr.Slaa yanatokana na mkewe ina maana hata katika mikutano ya Chadema mkewe alikuwepo akimpa viwiko vya kubali au kataa? Je, alipochaguliwa kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema, hiyo kamati kuu ilikwenda mshauri mkewe kwanza! na alikubali baada ya kuongea na mkewe au?

Huyu Gwajima, Askofu mzima wa dini inakuwaje awe mshauri na msemaji mkuu wa Chadema (UKAWA) tena amefikia ku record watu kama ushahidi wake wakati sheria za kiimani, Mchungaji au Askofu anafungwa na sheria ya Usiri ( Confidentiality) na muumini wake kaitka swala lolote iweje iwe rahisi kwa Mchungaji huyu ku record mazungumzo yake na Mkewe Dr. Slaa ili kufichua siri za Dr.Slaa. Huu ndio uchungaji kweli au Utapeli?

Jamani hii UKAWA imeingiliwa vibaya sana, hawa watu wametokea wapi? Huyu Gwajima anajulikana mujini kwa kubariki kitandani wale wenye shida zao za maisha, leo amekuwa shujaa wa UKAWA! Ama kweli walisema ukistaajabu ya Mussa, Utaona ya Firaun!

You people are just too sensitive! Here are the facts:-
  • Gwajima is a friend of Lowassa, am not surprised if he supports him. It doesn't necessarily mean he is with chadema or supports it. He supported Lowassa even when he was still with CCM.
  • Gwajima was accused of wooing Lowassa to chadema in Dr. Slaa's speech. So obviously, he had to respond.
  • Gwajima has not claimed to speak on behalf of Chadema or Ukawa.
If you are afraid of Bishops and priests' meddling in politics, how would you feel if it was Pengo instead? Gwajima doesn't have as mature church institutions as other christian denominations. I don't consider him a threat. By the way, isn't Sheikh Ponda political? I know, some of you have for a long time vowed to only vote for/support CCM or CUF. Now that CUF is under Ukawa umbrella, feel free to vote for CCM. Then later you can come here whining about catholics/christian dominance ('christian/catholic system') in politics/govt when you had an opportunity to uproot the system but squandered it.
 
Wachungaji Wachungaji acheni kuwatukana wanawake matusi ya mafumbo maana nikimsikiliza Gwajima ni kama vile anawadharau sana wanawake kwa maamuzi yao na kwamba wapo wanaume wana akili za kushikiwa na wake zao ni kosa kubwa! kama vile wanawake hawana akili. Hebu tujiulize sisi wenyewe ikiwa Kiongozi wa Chama ni mwanamke na mumewe kamshauri haya mkewe na kukataa kujiunga na UKAWA bado itasemekana huyu mwanamke ana akili za kushikiwa na mwanamme?..

Kuna akili gani ya ndoa ambayo mwanamme hutakiwi kumsikiliza mkewe! hata kama maamuzi ya Dr.Slaa yanatokana na mkewe ina maana hata katika mikutano ya Chadema mkewe alikuwepo akimpa viwiko vya kubali au kataa? Je, alipochaguliwa kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema, hiyo kamati kuu ilikwenda mshauri mkewe kwanza! na alikubali baada ya kuongea na mkewe au?

Huyu Gwajima, Askofu mzima wa dini inakuwaje awe mshauri na msemaji mkuu wa Chadema (UKAWA) tena amefikia ku record watu kama ushahidi wake wakati sheria za kiimani, Mchungaji au Askofu anafungwa na sheria ya Usiri ( Confidentiality) na muumini wake kaitka swala lolote iweje iwe rahisi kwa Mchungaji huyu ku record mazungumzo yake na Mkewe Dr. Slaa ili kufichua siri za Dr.Slaa. Huu ndio uchungaji kweli au Utapeli?

Jamani hii UKAWA imeingiliwa vibaya sana, hawa watu wametokea wapi? Huyu Gwajima anajulikana mujini kwa kubariki kitandani wale wenye shida zao za maisha, leo amekuwa shujaa wa UKAWA! Ama kweli walisema ukistaajabu ya Mussa, Utaona ya Firaun!

Mkuu Mkandara,

Kwanza katika mambo yote yanayotokea kwa sasa nafikiri kufanya recording ni muhimu ili kuwepo na balance katika "counter accusations". Ni njia nzuri ya kujilinda na kuhifadhi ushahidi pale utapohitajika baadae.

Cha msingi tu ni kwamba endapo Josephine aliridhia Askofu Gwajima kufanya hio recording.

Baada ya majibu ya Askofu Gwajima jana tunaweza kusema kwamba kwanza, Josephine Mushumbusi hakuja kwa Dr Slaa kirahisirahisi hivyo alikua na dhamira fulani. Rejea majibu yake kwa gazeti la mtanzania juzi anaposema kwamba yeye si mwanasiasa bali ni mwanaharakati

Lakini Josephine amesema kwamba ana biashara zake na alipanga tayari na Dr Slaa waanze biashara hizo ingawa hatufahamu kwamba wangeendelea na biashara hizo hata baada ya Dr Slaa kushinda au kushindwa kwenye uchaguzi wa October 25.

Ila ukweli haupingiki kwamba Josephine alikuwepo hotelini Serena kufanikisha adidu za rejea za ushahidi kutoka kwa Mwakyembe kuhusiana na kashfa ya Richmond kabla ya mkutano na waandishi wa habari, ingawa haya hivyo kwa mujibu wa Said Kubenea katika hotuba aloitoa kule Kyela alisema kuna ripoti mbili, ile ya inayomtaja Lowasa na ile inayomtaja mkuu wa kaya.

Lakini jambo la msingi kabisa kuliko yote ni kwamba hata kama kuna tatizo lolote lile linaloshabihiana na tatizo lililotokea siku ile ya ujio wa Lowasa Chadema, Josephine hakupaswa kumlaza mumewe nje kwenye gari.

Pia hakupaswa kupinga na kumpa masharti ya ama ahudhurie au asihudhurie mkutano wa kumkaribisha Lowasa Chadema.

Sasa kama Dr Slaa atajibu haya alosema askofu Gwajima basi ndio tutahitimisha kwamba ni nani anawachezea akili watanzania.

Lakini kama hatajibu hayo basi ntahitimisha ilee makala yangu kuhusu tofauti ya IQ na EI ambayo ipo kwenye jukwaa la intelligence kwamba Dr Slaa na rafiki yake Lipumba hawana sifa za kuwa wanasiasa, na kwamba wamekuwa wakitumiwa na CCM kuvuruga siasa za Tanzania.

Watambue kuwa Idara ya Usalama siku hizi hawana uwezo wa kuhodhi kazi peke yao tu bali siku hizi kuna matawi mengine kila mahali kiasi cha kuweza kufuatiliwa nyendo zao pale tu wanapokwaa ndege.
 
Huyu Gwajima ni mnafiki,Leo anajifanya kuutaja uislamu na mtume wake kwa wema,wakati mahubiri yake yanachukia na kuusimanga uislamu na mtume Muhammad (S.A.W)Leo kulikoni?kuna nini kilichomshawishi?

Mbona tangu mwanzoni aliweka wazi kuwa asemi kama za ukweli au uongo. Yeye ameongelea dini zote buda, ukristo na uislam zilivuma kwa wakati wake.
 
Gwajima kulisemea taifa juu ya siasa nikitu chema sana kwa mstakabali wa taifa, NB: Church movement kwenye nationalism.
 
Wana jamvi salaam kwenu,nakuja naombi moja muhimu sana kwa wana jamvi kwamba ni muhimu tukawa na uvumilivu wa kiimani kwa viongozi wetu mbali mbali wa dini mbali mbali,tuwasikilize na tuvumilie kwani haiwezekani watanzania woote 45million tukampenda kiongozi wa dini moja,tuwache maneno ya kashfa,dharau,kubeza na kuona kama wafuasi wa kiongozi husika wanafanya makosa kuwa waumini wa huyo kiongozi wa kiroho.mungu atubariki wote na kutujaza uvumilivu.
 
Hili laweza kuwa somo zuri na fundisho tosha kwa wale wanaopenda mno kuongea na kufunguka kuhusu mambo yao binafdi
Mazungumzo yote aliyorekodi Gwajima ya mchumba wa Dr Slaa na wengine pia yametufundisha mengi

1: kwamba Dr Slaa pamoja na uwezo wake wote wa kujieleza na kusimamia mambo kwa ufanisi, elimu yake ya theologia na daraja lake LA upadri hakuwa anajiamini na alikuwa dhaifu mno kwenye mahusiano mpaka kutafuta msaada wa Gwajima

2:Zile enzi za usipige picha hapa zimepitwa na wakati kutokana na technolojia kukua

3:gwajima ni mjanja mtoto wa mjini mhuni anayejiamini asiyeogopa chochote aliyeaminika mno na wale waliomwamini na hivyo kumpa nafasi kubwa ya kumwamini na kumwambia yao ya ndani bila kujua kuwa jamaa alikuwa anaweka kumbukumbu kwa matumizi ya baadae, wengi sasa matumbo joto Wakiwa hawana uhakika kama nao walirekodiwa au la

4: Serikali imeshikwa pabaya na kupitia Gwajima mambo mengi yaliyo nyuma ya pazia bila kujifahamu wamempa loophole kubwa sana ya kuyafahamu kwahiyo kuanzia sasa inabidi waende naye kwa tahadhari kubwa la sivyo atazidi kuharibu
 
Kuna kiongozi mmoja wa imani nchini Kenya, aliwaamınisha waumini wake kuwa yeye ndiye Mungu.Bahati mbaya juzi kafarıkı.Sidhanı km Gwajima na huyo Mkenya ni vıongozi wa kiroho.
 
Lakini mi naona poa tu,kukomesha vigeugeu.Na Mungu alimpa akili Gwajima kumrekodi Slaa ili Slaa akileta vyoko aumbuliwe.Haiingii akilini Dr awaanike wenzie halafu yeye atunziwe siri.Hata wewe ukifanya deal na mtu weka records hawezi kuruka
 
Wana jamvi salaam kwenu,nakuja naombi moja muhimu sana kwa wana jamvi kwamba ni muhimu tukawa na uvumilivu wa kiimani kwa viongozi wetu mbali mbali wa dini mbali mbali,tuwasikilize na tuvumilie kwani haiwezekani watanzania woote 45million tukampenda kiongozi wa dini moja,tuwache maneno ya kashfa,dharau,kubeza na kuona kama wafuasi wa kiongozi husika wanafanya makosa kuwa waumini wa huyo kiongozi wa kiroho.mungu atubariki wote na kutujaza uvumilivu.

Tatizo viongozi wa kikristo watapimwa kwa yard stick ambayo ni biblia takatifu. Wakipwaya watachanwa laivu. Ndiposa viongozi wa dini yawapasa wachunge ndimi zao.
 
  • Thanks
Reactions: ZU
Mi si amini kama alirecord ila zimetengenezwa tu na kama bingwa wa kurecord kila kitu atuletee na record ya kamati kuu ambayo ilimpitisha Lowassa
 
Ukianzisha vita huna budi kuisimamia hadi ulingoni Dr/ccm wamelianzisha.! Dr mihogo/ccm wana mishane na Gwajima ana Atomic bomb kwahyo anajiamini wasipo kuwa makini Gwajima atadondosha A Little Boy!
 
Back
Top Bottom