Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Nikuulize mshana jr,kuna mitikasi ya kisiasa tunapanga pm,hata ile ya hatari,halafu kumbe mimi ni snitch..nikaja kukuanika huku,utaniacha kweli.

Na ndio maana nikasema Gwajima ni mtoto wa mjini Halafu mjanja na trust me jamaa anajua mengi tena ya pande zote. Amekuwa mwerevu kuliko TISS yetu
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi, mimi siyo mwanasiasa na sina chama. Nimeona ujumbe mfupi wa sms uliotoka kwa daktari kwenda kwa Gwajima, na mengine mengi ambayo hayajanibariki. Hata hivyo ni kama majibu ya Gwajima kwa Dr. Silaa ambayo nahisi yeye(Dr) alidai watu waliotuhumiwa na press conferrence yake wajitokeze na kukanusha.
Ombi: Dr, huwa nakuaminia kwa weledi wako katika kujenga hoja, naomba ujitokeze tena hadharani umjibu pastor Gwajima.
 
Tatizo viongozi wa kikristo watapimwa kwa yard stick ambayo ni biblia takatifu. Wakipwaya watachanwa laivu. Ndiposa viongozi wa dini yawapasa wachunge ndimi zao.

Wacha kutumia lugha ya kuudhi kwa viongozi wa kidini maana haisaidii chochote
 
Polepole ulisikika ukimsifu sana Dr.Slaa kwa uamuzi wake wa kusimamia kile anachokiamini.

Je,baada ya Bishop Gwajima kufunguka, nini maoni yako?

Ukipenda boga, penda na ua lake.

Channel 10 na nyinyi mnahusika hapa kwani ndio mmekuwa mstari wa mbele kumpa airtime huyu bwana.
 
Kuna kiongozi mmoja wa imani nchini Kenya, aliwaamınisha waumini wake kuwa yeye ndiye Mungu.Bahati mbaya juzi kafarıkı.Sidhanı km Gwajima na huyo Mkenya ni vıongozi wa kiroho.

Mbona unajichanganya?
 
Ni bora ukosee Sehemu nyingine kuliko kukosea kuoa..Hawezi kwasababu katawaliwa na mkewe.
 
Ni kweli wakisema maaskofu sio uchochezi ila tatizo ni wakisema masheikh ni uchochezi,

Aliyemtuma dr silaa ndo aliyeanzisha yote, na wameambulia uchochezi ya dini ya Wakiristo. Hapa Uislam umetoka wapi tena?
 
Mbona tangu mwanzoni aliweka wazi kuwa asemi kama za ukweli au uongo. Yeye ameongelea dini zote buda, ukristo na uislam zilivuma kwa wakati wake.
Hivi bado UKAWA mnahangaika na Gwajima.Askofu anayepiga siasa fujo,hajakataa ushenga,hajakanusha kumuambia Slaa kuhusu maaskofu kuhongwa,aliitisha mashabiki badala yaWAANDISHI
 
Najua umeshindwa kuelewa pale niliposema kiongozi wa Imani na kiongozi wa kiroho.Kuna utofauti wa kimantiki.Hata Free massonary nı ımanı.

Jambo la msingi nikuchunga ndimi zetu juu ya imani zetu hasa kipindi hiki muhimu kuelekea uchaguzi mkuu
 
Kama unalengo la kumtetea Gwajima sikuungi mkono. Tatizo watu kama Gwajima wanajaribu ku- brainwash watu.
Tafakari; Leo anakuja kusema kuwa kanisa Katoliki na viongozi wake ni "very credible" wakati juzi juzi tu kamdhalilisha vibaya kiongozi wao mkuu (Card. Pengo). Sasa anajikomba kwao, au anajua jamaa wamesahau!! Hiyo credibility ya kanisa hilo ameigundua lini, leo? Huyu si anadhani wote sie ni wajinga na brainwashed?
 
Back
Top Bottom