jang
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,415
- 1,189
gwajima na wachungaji wake hawajajibu hoja za dr slaa zaidi ya kueleza matatizo ya kifamilia yeye ni mshenga tu gwajima.
ni kosa kabisa kiongozi wa dini kutangaza mambo haya ya kifamilia ndio dini za kisasa hizo
Tulia dawa iingie