Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

gwajima na wachungaji wake hawajajibu hoja za dr slaa zaidi ya kueleza matatizo ya kifamilia yeye ni mshenga tu gwajima.
ni kosa kabisa kiongozi wa dini kutangaza mambo haya ya kifamilia ndio dini za kisasa hizo

Tulia dawa iingie
 
2. mke kadondoka kazimia kabisa...maombi toka Korea yakamzindua Josephine!
 
gwajima na wachungaji wake hawajajibu hoja za dr slaa zaidi ya kueleza matatizo ya kifamilia yeye ni mshenga tu gwajima.
ni kosa kabisa kiongozi wa dini kutangaza mambo haya ya kifamilia ndio dini za kisasa hizo
Maaskofu wa siku hata maadili ziro.!
 
These people are a joke. Each and everyone of them. And to think ni viongozi wa dini. Inakuaje askofu akutane na mwanamke bar? Peke yake? Na inakuaje askofu anaongelea matatizo ya ndoa that he was entrusted with? What a joke .
 
Slaa aliona Mauza uza kuwa gari limepinduka mara kadhaa, Josephine alipandisha mashetani Gwajima akamuombea yakatoka! ... Airport Josephine alidondoka akapandisha mashetani ..
 
Duh, hii kali sasa.
Eti siku moja Mke wa Gwajima aliamua kusafiri kimyakimya lakini kufika Airport akamkuta Bi. Josephine eti kaja kuwasindikiza wakati hawakumpa taarifa. Soon Bi. Josephine akaanguka kupandisha mashetani.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni maigizo tu!
Kwanza tangu awali Slaa alikiri kuwa nyumba anayoishi alinunua kwa michango ikiwemo ya Mbowe!

Leo Gwajima anasema kuwa mke ndiye mwenye nyumba na alimfungia virago vyake!
How comes????

Slaa alikataa hajawahi kubadili mawasiliano yake
Je Gwajima kwanini sasa atoe SMS ya namba nyingine?

Hivi si huyu Gwajima aliyemnyang'anya Mbasha mke?

Mkuu huwezi jua, Je kama alishakabidhi Hati ya Nyumba kwa Mama.
 
Mwanamke ambaye anamwambia hutoki ndani nk huyo mume anaweza kuwa Rais?
 
Back
Top Bottom