Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Kumbe jamaa penda sana ile kitu ya chini eh!!! Jasiri haachi asili hata kama ni Padri teh teh teh. Saita sayu na mambo yetu ndo kwao bana
 
serikali haiwezi kushikwa pabaya na kifaranga kama gwajima. ikiamua kumondoa kwenye uso wa nchi ni kazi ya dakika chache tu. bado yupo ana anabwabwaja kwakua sio tishio lolote kwa ustawi wa nchi hii. pumbavu.
 
Watu wa CCM bana kila anaye wakosoa ni mbaya kwao Mashekh wali wakosoa waka wasingizia ugaidi, Gwajima kawakosoa wana mbambikia kesi!? Ila wao kipindi kile KIKWETE anasifiwa na kuambiwa kuwa yeye ni chaguo la Mungu hawakuona kama hao viongozi wanachanganya siasa na dini au ni wachochezi. You have to be a fo*l so as to be a CCM suporter.
 
Gwajima ni genious,kawa outsmart watu wajanja hapa mjini.

Maisha ya dr mihogo yalikua chini ya gwajima,gwajima alikua anajua dr kalala sa ngapi,kalala wapi,kalala na nani,kapiga vingapi,kama alikua anaingia chumvini au la anakula nn,gwajima ni genious.

Yawezekana alimuwekea hata cctv au vinasa auti bila yeye kujua, aje ajibu gwajima amuanike. Safi sana gwajima.

Kuanzia sasa natangaza kumsamehe gwajima kwa makosa yake yote aliokua anatuhumiwa zamani,namsamehe kwa maslahi mapana ya taifa.

Lazima watu wajue,ukimgusa lowassa umekwisha,lowassa hagusiki mpaka ikulu.gwajima ni ajent wa lowassa wa siku nyingi.

Ccm na bado ***** zenu.
 
Nyie acheni..hamjui yule mama anamfanya nini dr slaa... dr sla ukimuona tu yupo na yule mama anakuwa kama zezeta flan hivi. huwa hajitambui hata kidogo. mi siku zote najiuliza sababu ni nini.... sasa naelewa kuwa tatizo lilikuwa nini. maskini dr slaa amekuwa kama mjinga kama ndondocha hata hajielewe kwa yule mama tizama sasa anavyoumbuka. alidhani watu wangenyamaza tu? no hakuwah kufikiria kabisa kuwa haya yatafika huku. yule mama mswahili sana alitangaza kwa watu kuwa yeye atakuwa first lady? haaah. very childish and totally un-matured.

Ndio dozi ya nshumtama at work
 
Kiongozi wa kiroho anazungumzia matatizo ya ndoa za watu kwasababu ya siasa ......Alafu badala ya kuja kukanusha maswali ya Dr Slaa anakuja kusema mambo ya ndani ....haya ndio matatizo ya uaskofu wa kupeana na mkeo .....maadili zero ....

Yote kayataka Dr Kasava na wanaomkirimu
 
Japa chadema mumefanya makosa.
Jee huyu gwajima ni mani cdm ?
Kuwa mchungaji hakukumainishi msafi..gwajima alimtukana pengo ..
Hivi SG aripoti kwa gwajima ndio nini ? Mnapunga mapepo ? Yeye nani hata aingie kamati kuu
Jee hichi chama kinaongozwa na kanisa?
Tunshitaji maelezo
 
Khaa!! Kumbe bado wapumbavu. Mbona Huyu Gwajima hajajibu hoja hata moja ya Dr Slaa??:glasses-nerdy:
 
serikali haiwezi kushikwa pabaya na kifaranga kama gwajima. ikiamua kumondoa kwenye uso wa nchi ni kazi ya dakika chache tu. bado yupo ana anabwabwaja kwakua sio tishio lolote kwa ustawi wa nchi hii. pumbavu.

Hao watakaopanga kumuondoa nao ni victims wake
 
toka lini gwajima anawaheshimu maaskofu wa kanisa katoriki au anasahau yeye ndie alimtukana baba askofu kadinali Pengo, halafu anajifanya anajua sana maana ya ndoa lakini anasahau yeye ni mtuhumiwa wa kuivunja ndoa ya Flora Mbasha bahati mbaya waandishi huwa wanaenda kama masanamu wanashindwa kuuliza maswali

Msaidie Masha, mwende mahakamani
 
Back
Top Bottom